Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiv mkakati gani wa masoko unatoaga watu wa aina hii? Afisa masoko huwa anaamin customer care si nzur au anaamin kuna wateja hawapat msaada kwa wakati?Afisa mauzo
Ni aina ya promotionHiv mkakati gani wa masoko unatoaga watu wa aina hii? Afisa masoko huwa anaamin customer care si nzur au anaamin kuna wateja hawapat msaada kwa wakati?
Mkono shavuni unaongea mengi sana.. kuna majuto na sauti za kumkosoa kushindwa hapo kichwani. Naheshim sana mkono ukiwekwa shavuni kama hivyoMaisha ni safari ndefu Mkuu
Ukikutana naye mtu wa hivyo kama una nafasi, mpe hata ofa ya Lunch
Kwa maana unaweza kukuta hajala chochote tangu asubuhi 🙌
Tatizo lenu watu wa marketing ni uongo uongoUtamshawishi nn mteja na nja imetoka tumboni imehamia kichwani? Kumbe have cello wana nafuu mana wanakupa nauli buku 3
Kikubwa anafanya tafakuri ya kwamba pamoja na mizunguko yote aliyoifanya lakini hajafanikiwa kutimiza lengo la Siku 🙌Mkono shavuni unaongea mengi sana.. kuna majuto na sauti za kumkosoa kushindwa hapo kichwani. Naheshim sana mkono ukiwekwa shavuni kama hivyo
Ni satellite outreach!. Wanaemaga Kila kitu bure.. yani vocha bure na lain bure wakati huo anaetafuta watu atalipwa kwa commission. Hii haileti pich kwamba kuna outsource ya huduma hapa!Ni aina ya promotion
Kuongeza mauzo
Marketing au sales?Tatizo lenu watu wa marketing ni uongo uongo
Tatizo vijana wa leo unaweza kuta kakaa hapo na mawazo kumbe anawaza hela amliwa kwenye ku betMkono shavuni unaongea mengi sana.. kuna majuto na sauti za kumkosoa kushindwa hapo kichwani. Naheshim sana mkono ukiwekwa shavuni kama hivyo
Hahaha hutaki? Ile ni hela ya septa ya michezo mkuu. Septa inayohusika n koka hii ipo.Halafu utasikia kizimkazi anagawa milioni Tano Kwa Kila magoli anayofungwa
Marketing and salesMarketing au sales?
Uliajiri ndugu au uliformalize mfumo uliotumika katika uajiri wao?Tatizo vijana wa leo unaweza kuta kakaa hapo na mawazo kumbe anawaza hela amliwa kwenye ku bet
Au ana mawazo hela kashatumia kwa demu wake kashakojoa ndio akil zinarudi.
Mim siku hiz sina huruma sana na watu hasa hawa wa sales, nikikumbuka zile nyau, nilikua nalizipa 200k kwa mwezi halaf nazipa lunch na chai ofisin na bado nazipa nauli na kwenye sales kwa juu nawapa kamisheni kumbe zinakwenda kucheza cheza tu market na kurud gheto.
Ofisin internet zinachezea Forex zile mbuzi na simu za kuoiga kwa wateja mbuz moja ikauza ikasema imeibiwa kweenye mwendokasi...
Sina huruma kabisaa na hawa watu, acha wateseke tu. Hakuna kitu rahis rahis duniani.
Mungu anisamehe sana.
Sio ndugu wala sina uhusiano naye. Nilimtoa kwenye kampuni ile ya wachinaUliajiri ndugu au uliformalize mfumo uliotumika katika uajiri wao?
Hahaha.. wewe andaa thread tukajadili hili la ofis yako huko. NitagMarketing and sales
Sema darah nawapa pole sana kwa wadada wahangaikaji wote,Asee 🤔
Tupia neno moja kwa kuangalia picha hii.. kuna mengi sana yamejificha hapo.
View attachment 3076551
Freelancer anakuwa chini ya team leader anaemsimamia.Hapo mnaenda kiteam... so mnapofanya vizuri kamishen inakuwepo but haikidhi.. wajanja wa hizi kazi ndio hucheza na wazee wa Tuma kwenye namba hii angalau wasikose kabisa..
Ukaiba wafanyakazi ulijua mchina anafaidi sio?Sio ndugu wala sina uhusiano naye. Nilimtoa kwenye kampuni ile ya wachina
Naona watu wengi sana hamna elimu ya hii kamishen ndyo maana wengne wanasema vocha mara nini lkn ukweli uko hviiiHizi kazi kwa siku pato Lake linasogeza hata maisha ya kujitegemea? Au ilimradi utoke home?. Mana next year nataka nikadondoshe kichumba kimoja sehem hiv nianze na ufugaji wa kuku wa kiswahili na kilimo kama.. maeneo ya suburban ni mazur kwa urban farming.
What you think if Dkt. Gwajima D chini ya wizara yake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kama dellloite na pharmacess wakaandaa mradi kama hii kusapoti vijana wenye nia?. Urban farming haihitaj mtaj mkubwa ni kama 1.2 m per unit?