Unajifunza nini kupitia picha hii?

Unajifunza nini kupitia picha hii?

sasa zile namba unazani zinapatikanaje... iko hivi.. nakusajilia mpaka mwisho nakwambia mtandao unasumbua ila ukweli ni kwamba ussjili ilikamilika, hapo anakua kapata line ya kuiuza kwa tapel. ndio maana tunasisitizwa kukagua mara kwa mara namba zetu za NIDA zimesanili namba zp. usiyoijua futa fasta.
Hizi kazi kwa siku pato Lake linasogeza hata maisha ya kujitegemea? Au ilimradi utoke home?. Mana next year nataka nikadondoshe kichumba kimoja sehem hiv nianze na ufugaji wa kuku wa kiswahili na kilimo kama.. maeneo ya suburban ni mazur kwa urban farming.

What you think if Dkt. Gwajima D chini ya wizara yake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kama dellloite na pharmacess wakaandaa mradi kama hii kusapoti vijana wenye nia?. Urban farming haihitaj mtaj mkubwa ni kama 1.2 m per unit?
 
Hizi kazi kwa siku pato Lake linasogeza hata maisha ya kujitegemea? Au ilimradi utoke home?. Mana next year nataka nikadondoshe kichumba kimoja sehem hiv nianze na ufugaji wa kuku wa kiswahili na kilimo kama.. maeneo ya suburban ni mazur kwa urban farming.

What you think if Dkt. Gwajima D chini ya wizara yake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kama dellloite na pharmacess wakaandaa mradi kama hii kusapoti vijana wenye nia?. Urban farming haihitaj mtaj mkubwa ni kama 1.2 m per unit?
Ukipata wazo na mtaji wakufanya kitu, we fanya... hii miradi ya kiserikali wenye sign zao hulazimisha iwe yenye manufaa kwao. hata huyo kwenye picha unaweza kuta anamfanyia kazi kiongozi wa serikali mwenye dhamana yakuhakikisha maisha ya wananchi yanakua bora.
 
hii michongo huwa ina promo za uongo sana . unahakikishia mafanikio ila ukiingia field unaona bora ungegoma. ila Tutaishi vipi kama Weusi?
Unaambiwa kila laini ukisajiri unapata buku, ukisajiri laini 30 kwa siku ni elfu 30 bado hujauza vocha na mazaga kibao.

Ingia sasa mtaani, wana hata vocha ya jero huuzi, ukifanikiwa kusajiri hazizidi Tatu kwa siku nzima
 
Ukipata wazo na mtaji wakufanya kitu, we fanya... hii miradi ya kiserikali wenye sign zao hulazimisha iwe yenye manufaa kwao. hata huyo kwenye picha unaweza kuta anamfanyia kazi kiongozi wa serikali mwenye dhamana yakuhakikisha maisha ya wananchi yanakua bora.
Hiv unajua kuna matatizo kama pandemic zile communicable hayaondoki mpaka kuwa na equity life economically?. UKIMWI, GBV na ujinga ujingwa mwingine uliofungamana sababu zinazoashiria umaskin haziondoki mpka umaskini uondoke. Na empowerment hasa ya uchumi ina michango chanya kutatua changamoto zisizosikia dawa zake.

Anaeweza kutag waziri wa fedha anisaidie. Atusaidie kun gawio la akias gan kwenda kwenye miradi inayoweza kupunguza umaskini wa mtu mmoja mmoja hasa unskilled personel?
 
Back
Top Bottom