Unajifunza Nini kutoka Kwenye Picha Hii Ya Waheshimiwa?

Unajifunza Nini kutoka Kwenye Picha Hii Ya Waheshimiwa?

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa kawaida picha huzungumza zaidi kuliko hata Mdomo wenyewe.

Pichani ni waheshimiwa viongozi wetu mbalimbali wakati huo wakiwa Mjengoni pamoja wakituwakilisha sisi watanzania.

Je wewe Umejifunza nini kutokea katika picha hii?

Mimi nimejifunza kuwa Mheshimiwa Joseph Kasheku Msukuma Mbunge wa Geita inaonyesha ni mtu anayependa sana kujisomea na kufuatilia vitu mbalimbali vinavyokuwa vinajili na kuendelea Bungeni.

Ni mtu ambaye inaonyesha anasoma sana nyaraka za Bunge zinazokuwa mezani Pake. Pengine ndio sababu amekuwa akichangia mijadala mingi na hoja nyingi sana bungeni kwa kutoa hoja Chanya na zenye mashiko kama ambavyo tuliona katika suala la kikokotoo ambapo ni miongoni kwa Michango yake ilipelekea serikali kusikia kilio cha wastaafu na kubadili sheria hiyo.
Screenshot_20250228-121131_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa kawaida picha huzungumza zaidi kuliko hata Mdomo wenyewe.

Pichani ni waheshimiwa viongozi wetu mbalimbali wakati huo wakiwa Mjengoni pamoja wakituwakilisha sisi watanzania.

Je wewe Umejifunza nini kutokea katika picha hii?

Mimi nimejifunza kuwa Mheshimiwa Joseph Kasheku Msukuma Mbunge wa Geita inaonyesha ni mtu anayependa sana kujisomea na kufuatilia vitu mbalimbali vinavyokuwa vinajili na kuendelea Bungeni.

Ni mtu ambaye inaonyesha anasoma sana nyaraka za Bunge zinazokuwa mezani Pake. Pengine ndio sababu amekuwa akichangia mijadala mingi na hoja nyingi sana bungeni kwa kutoa hoja Chanya na zenye mashiko kama ambavyo tuliona katika suala la kikokotoo ambapo ni miongoni kwa Michango yake ilipelekea serikali kusikia kilio cha wastaafu na kubadili sheria hiyo.View attachment 3252858

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Nyingine za kupigia tu picha ili Luca,Choice na Tlaattlaah wapate pakuamzia.
 
Mada za kipuuzi namna hii ndizo Mods wa Jf wanapaswa kuzifutilia mbali kabisa.
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa kawaida picha huzungumza zaidi kuliko hata Mdomo wenyewe.

Pichani ni waheshimiwa viongozi wetu mbalimbali wakati huo wakiwa Mjengoni pamoja wakituwakilisha sisi watanzania.

Je wewe Umejifunza nini kutokea katika picha hii?

Mimi nimejifunza kuwa Mheshimiwa Joseph Kasheku Msukuma Mbunge wa Geita inaonyesha ni mtu anayependa sana kujisomea na kufuatilia vitu mbalimbali vinavyokuwa vinajili na kuendelea Bungeni.

Ni mtu ambaye inaonyesha anasoma sana nyaraka za Bunge zinazokuwa mezani Pake. Pengine ndio sababu amekuwa akichangia mijadala mingi na hoja nyingi sana bungeni kwa kutoa hoja Chanya na zenye mashiko kama ambavyo tuliona katika suala la kikokotoo ambapo ni miongoni kwa Michango yake ilipelekea serikali kusikia kilio cha wastaafu na kubadili sheria hiyo.View attachment 3252858

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa kawaida picha huzungumza zaidi kuliko hata Mdomo wenyewe.

Pichani ni waheshimiwa viongozi wetu mbalimbali wakati huo wakiwa Mjengoni pamoja wakituwakilisha sisi watanzania.

Je wewe Umejifunza nini kutokea katika picha hii?

Mimi nimejifunza kuwa Mheshimiwa Joseph Kasheku Msukuma Mbunge wa Geita inaonyesha ni mtu anayependa sana kujisomea na kufuatilia vitu mbalimbali vinavyokuwa vinajili na kuendelea Bungeni.

Ni mtu ambaye inaonyesha anasoma sana nyaraka za Bunge zinazokuwa mezani Pake. Pengine ndio sababu amekuwa akichangia mijadala mingi na hoja nyingi sana bungeni kwa kutoa hoja Chanya na zenye mashiko kama ambavyo tuliona katika suala la kikokotoo ambapo ni miongoni kwa Michango yake ilipelekea serikali kusikia kilio cha wastaafu na kubadili sheria hiyo.View attachment 3252858

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
N
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa kawaida picha huzungumza zaidi kuliko hata Mdomo wenyewe.

Pichani ni waheshimiwa viongozi wetu mbalimbali wakati huo wakiwa Mjengoni pamoja wakituwakilisha sisi watanzania.

Je wewe Umejifunza nini kutokea katika picha hii?

Mimi nimejifunza kuwa Mheshimiwa Joseph Kasheku Msukuma Mbunge wa Geita inaonyesha ni mtu anayependa sana kujisomea na kufuatilia vitu mbalimbali vinavyokuwa vinajili na kuendelea Bungeni.

Ni mtu ambaye inaonyesha anasoma sana nyaraka za Bunge zinazokuwa mezani Pake. Pengine ndio sababu amekuwa akichangia mijadala mingi na hoja nyingi sana bungeni kwa kutoa hoja Chanya na zenye mashiko kama ambavyo tuliona katika suala la kikokotoo ambapo ni miongoni kwa Michango yake ilipelekea serikali kusikia kilio cha wastaafu na kubadili sheria hiyo.View attachment 3252858

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Nimejufunza kuwa Chadema ni chama cha kufanyia mazoezi ukifuzu unaingia CCM...
 
Back
Top Bottom