Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Na ukitoka ccm unaenda Tiielopii.Huo ndio ukweli wenyewe 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukitoka ccm unaenda Tiielopii.Huo ndio ukweli wenyewe 😀
Hiyo ni kuwaaminisha wajinga kama wewe kuwa anasoma sana, hivi kwa akili yako kwa masaa anayokuwa bungeni kwa siku moja amesoma vitabu vyote hivyo? Msukuma amekupata kweli kweli wewe boya.Ndugu zangu Watanzania,
Kwa kawaida picha huzungumza zaidi kuliko hata Mdomo wenyewe.
Pichani ni waheshimiwa viongozi wetu mbalimbali wakati huo wakiwa Mjengoni pamoja wakituwakilisha sisi watanzania.
Je wewe Umejifunza nini kutokea katika picha hii?
Mimi nimejifunza kuwa Mheshimiwa Joseph Kasheku Msukuma Mbunge wa Geita inaonyesha ni mtu anayependa sana kujisomea na kufuatilia vitu mbalimbali vinavyokuwa vinajili na kuendelea Bungeni.
Ni mtu ambaye inaonyesha anasoma sana nyaraka za Bunge zinazokuwa mezani Pake. Pengine ndio sababu amekuwa akichangia mijadala mingi na hoja nyingi sana bungeni kwa kutoa hoja Chanya na zenye mashiko kama ambavyo tuliona katika suala la kikokotoo ambapo ni miongoni kwa Michango yake ilipelekea serikali kusikia kilio cha wastaafu na kubadili sheria hiyo.View attachment 3252858
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kumbe unaelewa Wewe,kazi Yako kusifia tuu chama kijani hata kikikosea,poti Bwana acha kujitoa ufahamu,nitakuleta Mirembe!Ndugu zangu Watanzania,
Kwa kawaida picha huzungumza zaidi kuliko hata Mdomo wenyewe.
Pichani ni waheshimiwa viongozi wetu mbalimbali wakati huo wakiwa Mjengoni pamoja wakituwakilisha sisi watanzania.
Je wewe Umejifunza nini kutokea katika picha hii?
Mimi nimejifunza kuwa Mheshimiwa Joseph Kasheku Msukuma Mbunge wa Geita inaonyesha ni mtu anayependa sana kujisomea na kufuatilia vitu mbalimbali vinavyokuwa vinajili na kuendelea Bungeni.
Ni mtu ambaye inaonyesha anasoma sana nyaraka za Bunge zinazokuwa mezani Pake. Pengine ndio sababu amekuwa akichangia mijadala mingi na hoja nyingi sana bungeni kwa kutoa hoja Chanya na zenye mashiko kama ambavyo tuliona katika suala la kikokotoo ambapo ni miongoni kwa Michango yake ilipelekea serikali kusikia kilio cha wastaafu na kubadili sheria hiyo.View attachment 3252858
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Hata kina Lema ni wanaCCM mioyoni mwao.Ndugu zangu Watanzania,
Kwa kawaida picha huzungumza zaidi kuliko hata Mdomo wenyewe.
Pichani ni waheshimiwa viongozi wetu mbalimbali wakati huo wakiwa Mjengoni pamoja wakituwakilisha sisi watanzania.
Je wewe Umejifunza nini kutokea katika picha hii?
Mimi nimejifunza kuwa Mheshimiwa Joseph Kasheku Msukuma Mbunge wa Geita inaonyesha ni mtu anayependa sana kujisomea na kufuatilia vitu mbalimbali vinavyokuwa vinajili na kuendelea Bungeni.
Ni mtu ambaye inaonyesha anasoma sana nyaraka za Bunge zinazokuwa mezani Pake. Pengine ndio sababu amekuwa akichangia mijadala mingi na hoja nyingi sana bungeni kwa kutoa hoja Chanya na zenye mashiko kama ambavyo tuliona katika suala la kikokotoo ambapo ni miongoni kwa Michango yake ilipelekea serikali kusikia kilio cha wastaafu na kubadili sheria hiyo.View attachment 3252858
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Wameshiba Sasa wanapumua!Swali ni kuwa umejifunza nini kutoka kwenye picha hiyo ya waheshimiwa?
Kwa mujibu wa matamanio yako?Ila wote ni Watanzania lakini.Hata kina Lema ni wanaCCM mioyoni mwao.
Huo ndio ukweliHata kina Lema ni wanaCCM mioyoni mwao.
Anasoma vyote na kuvimaliza maana siyo kichwa Panzi kama weweHiyo ni kuwaaminisha wajinga kama wewe kuwa anasoma sana, hivi kwa akili yako kwa masaa anayokuwa bungeni kwa siku moja amesoma vitabu vyote hivyo? Msukuma amekupata kweli kweli wewe boya.
Asiyejua kusoma ameshika gazette la The guardianNdugu zangu Watanzania,
Kwa kawaida picha huzungumza zaidi kuliko hata Mdomo wenyewe.
Pichani ni waheshimiwa viongozi wetu mbalimbali wakati huo wakiwa Mjengoni pamoja wakituwakilisha sisi watanzania.
Je wewe Umejifunza nini kutokea katika picha hii?
Mimi nimejifunza kuwa Mheshimiwa Joseph Kasheku Msukuma Mbunge wa Geita inaonyesha ni mtu anayependa sana kujisomea na kufuatilia vitu mbalimbali vinavyokuwa vinajili na kuendelea Bungeni.
Ni mtu ambaye inaonyesha anasoma sana nyaraka za Bunge zinazokuwa mezani Pake. Pengine ndio sababu amekuwa akichangia mijadala mingi na hoja nyingi sana bungeni kwa kutoa hoja Chanya na zenye mashiko kama ambavyo tuliona katika suala la kikokotoo ambapo ni miongoni kwa Michango yake ilipelekea serikali kusikia kilio cha wastaafu na kubadili sheria hiyo.View attachment 3252858
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kwa kuamini hivyo tu inatosha kuhitimisha kuwa wewe ni kilaza. KwaheriAnasoma vyote na kuvimaliza maana siyo kichwa Panzi kama wewe
😀😀
Acha dharau zako hapa wewe. Huwezi kuwa Mheshimiwa mbunge kama hujui kusoma na kuandikaAsiyejua kusoma ameshika gazette la The guardian
Kwa CCM lolote linawezekana ni pesa zako tu na kujipendekeza Kwa wakubwaAcha dharau zako hapa wewe. Huwezi kuwa Mheshimiwa mbunge kama hujui kusoma na kuandika
Kwa mara ya pili unaandika kitu cha kweli na kilicho na maana.Elimu ni Zaidi ya vyeti vya Darasani
HujalaNdugu zangu Watanzania,
Kwa kawaida picha huzungumza zaidi kuliko hata Mdomo wenyewe.
Pichani ni waheshimiwa viongozi wetu mbalimbali wakati huo wakiwa Mjengoni pamoja wakituwakilisha sisi watanzania.
Je wewe Umejifunza nini kutokea katika picha hii?
Mimi nimejifunza kuwa Mheshimiwa Joseph Kasheku Msukuma Mbunge wa Geita inaonyesha ni mtu anayependa sana kujisomea na kufuatilia vitu mbalimbali vinavyokuwa vinajili na kuendelea Bungeni.
Ni mtu ambaye inaonyesha anasoma sana nyaraka za Bunge zinazokuwa mezani Pake. Pengine ndio sababu amekuwa akichangia mijadala mingi na hoja nyingi sana bungeni kwa kutoa hoja Chanya na zenye mashiko kama ambavyo tuliona katika suala la kikokotoo ambapo ni miongoni kwa Michango yake ilipelekea serikali kusikia kilio cha wastaafu na kubadili sheria hiyo.View attachment 3252858
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
hujalala muda gani uliyepost hiyo 🤣🤣🤣Kwa mara ya pili unaandika kitu cha kweli na kilicho na maana.
Kwa nini unakuwa chawa wakati unaonekana una akili timamu!!??
Kama ni njaa,tafuta kazi halali yenye heshima ufanye uachane na uchawa.
Kizazi chako kikija kukusoma huko mbeleni, (internet inahifadhi vitu), watakuja kubadilisha huo ubini kwa fedheha ya maandishi yako.