Unajifunza Nini kutoka Kwenye Picha Hii Ya Waheshimiwa?

Hiyo ni kuwaaminisha wajinga kama wewe kuwa anasoma sana, hivi kwa akili yako kwa masaa anayokuwa bungeni kwa siku moja amesoma vitabu vyote hivyo? Msukuma amekupata kweli kweli wewe boya.
 
Kumbe unaelewa Wewe,kazi Yako kusifia tuu chama kijani hata kikikosea,poti Bwana acha kujitoa ufahamu,nitakuleta Mirembe!
 
Hata kina Lema ni wanaCCM mioyoni mwao.
 
Hiyo ni kuwaaminisha wajinga kama wewe kuwa anasoma sana, hivi kwa akili yako kwa masaa anayokuwa bungeni kwa siku moja amesoma vitabu vyote hivyo? Msukuma amekupata kweli kweli wewe boya.
Anasoma vyote na kuvimaliza maana siyo kichwa Panzi kama wewe
πŸ˜€πŸ˜€
 
Asiyejua kusoma ameshika gazette la The guardian
 
Elimu ni Zaidi ya vyeti vya Darasani
Kwa mara ya pili unaandika kitu cha kweli na kilicho na maana.
Kwa nini unakuwa chawa wakati unaonekana una akili timamu!!??
Kama ni njaa,tafuta kazi halali yenye heshima ufanye uachane na uchawa.

Kizazi chako kikija kukusoma huko mbeleni, (internet inahifadhi vitu), watakuja kubadilisha huo ubini kwa fedheha ya maandishi yako.
 
Hujala
hujalala muda gani uliyepost hiyo 🀣🀣🀣
 
Nimejifunza kuwa chai na vitumbua ni tamu sana. Chai ya mama na kitumbua cha mama.

Mama anaupiga mwingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…