kichekoh
JF-Expert Member
- Sep 19, 2015
- 1,376
- 1,479
Kuanzia tarehe 26/07/2018 usiku saa 7 hadi tarehe 19/08/2018 sayari ya Mercury inakua inazidiwa kasi na Dunia hivyo sayari ya Mercury kuonekana kama inarudi nyuma lakini kiuhalisia inakua inakwenda katika mwendo wake wa kawaida.
Tukio kama hili kinajimu kinaitwa (Retrograde), na kwa sayari ya Mercury hufanya hivi Mara 3 hadi 4 ndani ya mwaka 1. Mercury huwa katika hali hiyo kwa muda wa siku 21 hadi 25.
TAFSIRI YAKE KINAJIMU.
Mercury inapokua katika hali hii huleta mkanganyiko katika masuala yote yanayohusu mawasiliano. Kuanzia mazungumzo ya kila siku, mikataba, kuuza na kununua, hati, makubaliano, safari, barua na mengine yanayofanana na hayo.
Mambo hayo niliyoyotaja hapo juu huwa katika mwendo wa kujikongoja tofauti na ilivyo kawaida. Kunakua na kuchelewa na changamoto nyingi sana katika masuala mengi yanayohusu mawasiliano.
Hivyo katika kipindi hiki si kizuri kufanya yafuatayo;
kusaini mkataba wowote muhimu, kuanzisha biashara mpya, hakikisha unapitia kwa umakini meseji tunazotuma na kuzipokea. Kuhama na kuhamia nyumba mpya. Mercury unapokua katika hali hii huwa inaleta utata katika mazungumzo ya kila siku. Mtu anaweza akakwambia hivi halafu unaemwambia akaelewa tofauti na ulivyokusudia. Kwa hiyo ni vizuri kuuliza mara mbili kama hujaelewa.
Hiki ni kipindi kizuri cha kufanya marekebisho vitu vyote vinavyohusiana na mawasiliano kama vile simu, computer, radio, Tv lakini sio muda wa kununua chochote kipya kinachohusiana na hiki. Pia ni muda wa kurudia kusoma upya barua, documents, na kupitia upya mikataba ambayo uliosaini hapo mwanzo. Kufanya hivi kutapelekea kugundua tatizo ambalo hukuligundua mwanzo.
Mwenye masikio na asikie......
Kwa Ushauri, Elimu etc.... Nicheki.
WhatsApp 0782 82 11 77.
Tukio kama hili kinajimu kinaitwa (Retrograde), na kwa sayari ya Mercury hufanya hivi Mara 3 hadi 4 ndani ya mwaka 1. Mercury huwa katika hali hiyo kwa muda wa siku 21 hadi 25.
TAFSIRI YAKE KINAJIMU.
Mercury inapokua katika hali hii huleta mkanganyiko katika masuala yote yanayohusu mawasiliano. Kuanzia mazungumzo ya kila siku, mikataba, kuuza na kununua, hati, makubaliano, safari, barua na mengine yanayofanana na hayo.
Mambo hayo niliyoyotaja hapo juu huwa katika mwendo wa kujikongoja tofauti na ilivyo kawaida. Kunakua na kuchelewa na changamoto nyingi sana katika masuala mengi yanayohusu mawasiliano.
Hivyo katika kipindi hiki si kizuri kufanya yafuatayo;
kusaini mkataba wowote muhimu, kuanzisha biashara mpya, hakikisha unapitia kwa umakini meseji tunazotuma na kuzipokea. Kuhama na kuhamia nyumba mpya. Mercury unapokua katika hali hii huwa inaleta utata katika mazungumzo ya kila siku. Mtu anaweza akakwambia hivi halafu unaemwambia akaelewa tofauti na ulivyokusudia. Kwa hiyo ni vizuri kuuliza mara mbili kama hujaelewa.
Hiki ni kipindi kizuri cha kufanya marekebisho vitu vyote vinavyohusiana na mawasiliano kama vile simu, computer, radio, Tv lakini sio muda wa kununua chochote kipya kinachohusiana na hiki. Pia ni muda wa kurudia kusoma upya barua, documents, na kupitia upya mikataba ambayo uliosaini hapo mwanzo. Kufanya hivi kutapelekea kugundua tatizo ambalo hukuligundua mwanzo.
Mwenye masikio na asikie......
Kwa Ushauri, Elimu etc.... Nicheki.
WhatsApp 0782 82 11 77.