UNAJIMU: Sayari ya Mercury na Athari zake katika Maisha yetu

UNAJIMU: Sayari ya Mercury na Athari zake katika Maisha yetu

Unajua kinacholeta utata kwenye elimu hii ya unajimu ni kuhusianisha yanayotokea angani na maisha yetu hapa duniani. Hapo ndio kwenye tatizo.

Hata hivyo umeuliza swali sana. Ni hivii, sayari inapokua katika hali kama hiyo (Retrograde) huwa inakua haipo katika hali yake ya kawaida (direct motion). Hivyo inakua kama imeweka pause kwa kipindi chote inachokua retrograde.

Inakua kama vile mtu ambaye kaamua kujipa likizo kwa muda. Mfanyakazi anapojipa likizo ina maana anafunga ofisi. Ofisi inapofungwa ina maana hakuna huduma.

Hicho ndicho inachofanya Mercury, inapumzika kwa muda takribani siku 21 hadi 25. Inakua ina slow down. Na hufanya hivyo mara 3 had 4 ndani ya mwaka 1.

Utata mwingine kati ya sisi wanajimu na nyinyi upo hapa, kwamba wanajimu huamini kwamba Mercury ndio msimamizi wa masuala yote yanayohusu mawasiliano na masuala yote niliyotaja kwenye mada yangu.

Sasa kama msimamizi wa hayo mambo yupo likizo je nani atayasimamia hayo mambo?

Jibu lake inabidi sisi tusubiri mpaka muda ofisi itakapofunguliwa. Lini? Tarehe 19 august. Kwa hiyo mambo yote yanayosimamiwa na mercury inabidi yaachwe kwa sasa.

Unajua kwa nini mercury anasimamia hayo mambo?? Elimu hiyo naitoa darasani kwangu sio hapa.

Nimetumia lugha nyepesi kwa sababu ili hata asiyejua nae ajifunze.

Swali jingine tafadhali.
Naomba nijibu kama hutojali. Unaamini katika Mungu.?
 
Na mimi nina swali lako ManchoG , hivi kwa nini tabiri za kinajimu zina mapokeo tofauti ukilinganisha na tabiri zingine kama tabiri za hali ya hewa (weather forecast) ama tabiri za mahitaji (demand forecasts).

Kumbuka zote hizo ni tabiri, na watu wanachukulia kawaida. Kwa nini unajimu?
 
Unajua kinacholeta utata kwenye elimu hii ya unajimu ni kuhusianisha yanayotokea angani na maisha yetu hapa duniani. Hapo ndio kwenye tatizo.

Hata hivyo umeuliza swali sana. Ni hivii, sayari inapokua katika hali kama hiyo (Retrograde) huwa inakua haipo katika hali yake ya kawaida (direct motion). Hivyo inakua kama imeweka pause kwa kipindi chote inachokua retrograde.

Inakua kama vile mtu ambaye kaamua kujipa likizo kwa muda. Mfanyakazi anapojipa likizo ina maana anafunga ofisi. Ofisi inapofungwa ina maana hakuna huduma.

Hicho ndicho inachofanya Mercury, inapumzika kwa muda takribani siku 21 hadi 25. Inakua ina slow down. Na hufanya hivyo mara 3 had 4 ndani ya mwaka 1.

Utata mwingine kati ya sisi wanajimu na nyinyi upo hapa, kwamba wanajimu huamini kwamba Mercury ndio msimamizi wa masuala yote yanayohusu mawasiliano na masuala yote niliyotaja kwenye mada yangu.

Sasa kama msimamizi wa hayo mambo yupo likizo je nani atayasimamia hayo mambo?

Jibu lake inabidi sisi tusubiri mpaka muda ofisi itakapofunguliwa. Lini? Tarehe 19 august. Kwa hiyo mambo yote yanayosimamiwa na mercury inabidi yaachwe kwa sasa.

Unajua kwa nini mercury anasimamia hayo mambo?? Elimu hiyo naitoa darasani kwangu sio hapa.

Nimetumia lugha nyepesi kwa sababu ili hata asiyejua nae ajifunze.

Swali jingine tafadhali.
Kila kitu ni vile wewe unavyoamin me naamini kila litokealo duniani ni mungu kapema sio sayar wala chombo chochote kile duniani thuts all
 
Kwa hiyo kila kitu kigumu hakijulikani?

Ninachotaka uelewe hapa, Kuusoma na kuuelewa unajimu sio kama kukanda chapati. Unatakiwa uwe zaidi ya serious kuimaster hii kitu.

Mi nimetumia miaka 3 lakini bado kuna watu sijawafikia.
Umesomea chuo gani MKUU?
 
Unajua kinacholeta utata kwenye elimu hii ya unajimu ni kuhusianisha yanayotokea angani na maisha yetu hapa duniani. Hapo ndio kwenye tatizo.

Hata hivyo umeuliza swali sana. Ni hivii, sayari inapokua katika hali kama hiyo (Retrograde) huwa inakua haipo katika hali yake ya kawaida (direct motion). Hivyo inakua kama imeweka pause kwa kipindi chote inachokua retrograde.

Inakua kama vile mtu ambaye kaamua kujipa likizo kwa muda. Mfanyakazi anapojipa likizo ina maana anafunga ofisi. Ofisi inapofungwa ina maana hakuna huduma.

Hicho ndicho inachofanya Mercury, inapumzika kwa muda takribani siku 21 hadi 25. Inakua ina slow down. Na hufanya hivyo mara 3 had 4 ndani ya mwaka 1.

Utata mwingine kati ya sisi wanajimu na nyinyi upo hapa, kwamba wanajimu huamini kwamba Mercury ndio msimamizi wa masuala yote yanayohusu mawasiliano na masuala yote niliyotaja kwenye mada yangu.

Sasa kama msimamizi wa hayo mambo yupo likizo je nani atayasimamia hayo mambo?

Jibu lake inabidi sisi tusubiri mpaka muda ofisi itakapofunguliwa. Lini? Tarehe 19 august. Kwa hiyo mambo yote yanayosimamiwa na mercury inabidi yaachwe kwa sasa.

Unajua kwa nini mercury anasimamia hayo mambo?? Elimu hiyo naitoa darasani kwangu sio hapa.

Nimetumia lugha nyepesi kwa sababu ili hata asiyejua nae ajifunze.

Swali jingine tafadhali.
Mbona tumesaini mkataba na wakorea mwezi wa saba ? Hatujasubiri hiyo Agosti?
Unanikumbusha mambo ya MM Ezekiel ktk magazeti. Inshort unajimu si chochote si lolote naona kama utawapiga watu hela humu
 
Unaweza kubainisha ni ipi.?

Nikiwa na maana ya kutaka kujua kama ni hizi tunazozifahamu sisi za ukristo na uislamu au una imani nyingine.?
Dini ni Imani, na kila mtu ana amini anachokijua yeye mwenyewe. Kwa sasa sipo kwenye hizi ukristo wala uislam.

Maelekezo ya kwanza ya Unajimu kwa ufupi sana niliyapata kwa muislam, tena mwalimu wa madrasa. Ingawa nikaja kugundua baadae anajua vitu vichache sana.

Ndipo nikaanza kujiendeleza mwenyewe kupitia online course. Na 90% ya elimu hii nimeipata mataifa ya magharibi.
 
Mbona tumesaini mkataba na wakorea mwezi wa saba ? Hatujasubiri hiyo Agosti?
Unanikumbusha mambo ya MM Ezekiel ktk magazeti. Inshort unajimu si chochote si lolote naona kama utawapiga watu hela humu
Kwa hiyo kuna mtu atakufunga kamba usisaini mikataba???

Elewa jambo moja, hizi planets hazina kazi ya kutuzuia wala kutushurutisha sisi kufanya lolote, isipokua kazi yake ni kutoa ishara kwetu tunapotaka kufanya jambo fulani.

Hata mimi sikuelewa unajimu kwa siku moja, nilipata tabu kama wewe.
 
Dini ni Imani, na kila mtu ana amini anachokijua yeye mwenyewe. Kwa sasa sipo kwenye hizi ukristo wala uislam.

Maelekezo ya kwanza ya Unajimu kwa ufupi sana niliyapata kwa muislam, tena mwalimu wa madrasa. Ingawa nikaja kugundua baadae anajua vitu vichache sana.

Ndipo nikaanza kujiendeleza mwenyewe kupitia online course. Na 90% ya elimu hii nimeipata mataifa ya magharibi.
Sawa nimekuelewa shukran
 
Kila kitu ni vile wewe unavyoamin me naamini kila litokealo duniani ni mungu kapema sio sayar wala chombo chochote kile duniani thuts all
Kila kitu duniani kinapangwa na Mungu, hizi sayari kazi yake ni kutoa ishara tu basi.
 
Mimi wajibu wangu ni kumleta Kiranga hapa![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Hakuna mchafua nyuzi za watu kama wewe mkuu!!....Ukibisha nitaagiza kura
ipigwe!![emoji53][emoji53][emoji53]
Nyuzi nyingine naachia wadanganyane tu.

Nawasoma naona ujinga kama vichekesho fulani kwamba dunia ya leo ya kutembea na internet kiganjani kwenye 4G network, bado watu wanaamini ujinga wa kijima.

Eti Mercury in retrograde inasababisha mkinzano kwenye mikataba.

What a load of bollocks.
 
Last edited:
Nyuzi nyingine naachia wadanganyane tu.

Nawasoma naona ujinga kama vichekesho fulani kwamba dunia ya keo ya kutembea na internet kiganjani kwenye 4G network, bado watu wanaamini ujinga wa kijima.
Mkuu Jua na mwezi ni sayari![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Back
Top Bottom