UNAJIMU: Sayari ya Mercury na Athari zake katika Maisha yetu

Wewe una dini.?
 
Mkuu umemaliza kila kitu, binafsi naona sina misamiati rahisi ya kuwaelewesha wengine wakaelewa. Especially beginners.
 
Unaweza kuthibitisha kwamba kifafa kinaongezeka kipindi cha mwezi mpevu?
 
Mkuu umemaliza kila kitu, binafsi naona sina misamiati rahisi ya kuwaelewesha wengine wakaelewa. Especially beginners.
Hujathibitisha Mercury inaathiri mikataba duniani.

Hujathibitisha kifafa kinaongezeka kipindi cha mwezi mpevu.
 
Yaani Jamaa na yeye anazile habari kujiunga na group langu la WhatsApp ni 5000
Analeta bla bla tu
Hawa wengine inaonekana kama waganga wa kienyeji wamekuja kivingine tu hapa.

Wanatumia teknolojia kuongeza soko.

Watu wengi wapo JF na Whatsapp, na wao wanajiweka huku
 
Yaani Jamaa na yeye anazile habari kujiunga na group langu la WhatsApp ni 5000
Analeta bla bla tu
Bure inagharimu ndugu. Nishafundisha bure kwa muda wa miezi miwili. nikaona matokeo yake.

Kama elimu ni gharama basi jaribu ujinga.
 
Hawa wengine inaonekana kama waganga wa kienyeji wamekuja kivingine tu hapa.

Wanatumia teknolojia kuongeza soko.

Watu wengi wapo JF na Whatsapp, na wao wanajiweka huku
Hahahahhh...
Kuna wengine wanasema hili tukio la leo la moon eclipse litasababisha majanga makubwa sana hata kupelekea kiama duniani..
Nipo hapa nje nasubiria kwa hamu nione[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hahahahhh...
Kuna wengine wanasema hili tukio la leo la moon eclipse litasababisha majanga makubwa sana hata kupelekea kiama duniani..
Nipo hapa nje nasubiria kwa hamu nione[emoji3][emoji3][emoji3]
Ujima mtupu.

Kuna jamaa hapa alileta zake anasema sayari ya Mercury inaonekana kurudi kinyume sasa (Mercury in retrograde) hilo ni jambo ambalo kiunajimu litasababisha mikataba iende vibaya haoa duniani.

Nikamwambia thibitisha kuna uhusiano hapo.

Hadithi nyingi, kimepanda, kimeshuka, ooh, mi najua sana, we hujui, ooh njoo group la gu la Whatsapp.

Nikaona hapa ndio mwanzo wa kuchajiwa Sh 5,000 ili kuunganishwa group la Whatsapp la mganga wa kienyeji.

Mpaka sasa hajathibitisha.
 
Last edited:
Hahahahhh..
Itakua hii mikataba ya kipuuzi ya madini huwa tunapigwa sababu ya mercury retrograde
Itabidi jamaa aunganishwe na jiwe atoe msaada ili tusiwe tunasign utumbo kwenye hii mikataba[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ukiwa na imani kwenye vitu hivi unakuwa mtumwa wallah yan,unaweza usivae nguo hadi uangalie nyota zinasemaje Leo nivae nguo gani,yan unakuwa driven
 
Hahahahhh..
Itakua hii mikataba ya kipuuzi ya madini huwa tunapigwa sababu ya mercury retrograde
Itabidi jamaa aunganishwe na jiwe atoe msaada ili tusiwe tunasign utumbo kwenye hii mikataba[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
We acha tu.

Ila siwezi kushangaa watu wanaamini haya mambo hukonkwetu mpaka leo.

Hata Marekani as recently as the Reagan years, mke wake Reagan alikuwa anapanga kila kitu kwa ushauri wa astrologers.

But then again, the Reagans were from California.

Hollywood at that.

What do you expect?
 
UPUUZI HUU FANYA KAZI KIJANA ACHA UTAPELI
 
Suala limekaa kitheorem zaidi,japo sipingani nalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…