UNAJIMU: Sayari ya Mercury na Athari zake katika Maisha yetu

UNAJIMU: Sayari ya Mercury na Athari zake katika Maisha yetu

Mkuu samahani hii elimu inasomewa wapi? Chuo Kipi? ama mnatumia material zipi katika kusoma. naomba unisaidie nimetafuta sana bila mafanikio
Kibongo bongo elimu hii haipo, ila mbele kuna vyuo vya kumwaga. Vyuo vingi vipo India na Marekani.
 
Kibongo bongo elimu hii haipo, ila mbele kuna vyuo vya kumwaga. Vyuo vingi vipo India na Marekani.
Bado hujathibitisha inakuwaje sayari ya Mercury inaathiri mikataba duniani.
 
Nikithibitisha hii itakua ni mara ya ngapi?
Itakuwa ya kwanza, kwa sababu hujawahi kuthibitisha hapo awali.

Kuandika "Mercury inaathiri mikataba duniani" si kuthibitisha.

Kama mimi kudai kwamba mimi ni bilionea Bill Gates kusivyo kuthibitisha mimi ni bilionea huyo.

Thibitisha.
 
Itakuwa ya kwanza, kwa sababu hujawahi kuthibitisha hapo awali.

Kuandika "Mercury inaathiri mikataba duniani" si kuthibitisha.

Kama mimi kudai kwamba mimi ni bilionea Bill Gates kusivyo kuthibitisha mimi ni bilionea huyo.

Thibitisha.
Nenda kasome comment namba 58.
 
Nenda kasome comment namba 58.

Umeandika hivi

Mercury ni ruler wa mambo yote yanayohusu mawasiliano,.

Ni ruler kwa minajili gani? Unajuaje hilo? Umepata vipi hizo habari?Unaweza kuthibitisha hilo? Unajuaje kwamba hizo habari ni za kweli na si za uzushi wa kale tu?


sasa inapokua ina transit retrograde ina express its energy inwardly more than outwardly..

Ina express energy gani? Kwa nini inwardly na si outwardly? N akamaina express energy inwardly ita athiri vipi vitu vya nje yake?

Ni kama ina pause for some time..

Iki pause inaathiri vipi mikataba ya duniani?

Sasa na mambo yote yanayohusu mercury ikiwemo mikataba nayo yanakua katika sluggish state..

Kuna uhusianogani wa Mercury ku pause na mikataba kuwa sluggish? Kinachounganisha hivyo viwili ni nini na kwa nini hili lisiwe uzushi wa kale tu?

Mtu anaposema mwezi unasababisha maji ya bahari kupwa , anaweza kuonesha yanafanya hivyo kwa msukumo wa gravity.

Wewe nguvu gani za sayari ya Mercury zinafanya mikataba iwe sluggish?

That's why tunashauriwa na sisi tuachane na mambo yanayohusu mercury at all ikiwemo mikataba..

Hujathibitisha kitu, umelazimisha jambo.

Usipoelewa na hapo ntaanza kupata mashaka na wewe.

Hapa kuna kipi cha kuelewa wakati umelazimisha jambo bilakulielezea?

Kipi kinachosababisha mwendo wa Mercury uathiri mikataba duniani?

Hujajibu swali hili.
 
hukawii kusema wakufuate whatsapp rafiki yangu
poa hatutasaini mikataba wala kuanzisha biashara mpya
wacha ikae
HAKUNA CHA DARAJA LA SARENDA
 
Umeandika hivi



Ni ruler kwa minajili gani? Unajuaje hilo? Umepata vipi hizo habari?Unaweza kuthibitisha hilo? Unajuaje kwamba hizo habari ni za kweli na si za uzushi wa kale tu?




Ina express energy gani? Kwa nini inwardly na si outwardly? N akamaina express energy inwardly ita athiri vipi vitu vya nje yake?



Iki pause inaathiri vipi mikataba ya duniani?



Kuna uhusianogani wa Mercury ku pause na mikataba kuwa sluggish? Kinachounganisha hivyo viwili ni nini na kwa nini hili lisiwe uzushi wa kale tu?

Mtu anaposema mwezi unasababisha maji ya bahari kupwa , anaweza kuonesha yanafanya hivyo kwa msukumo wa gravity.

Wewe nguvu gani za sayari ya Mercury zinafanya mikataba iwe sluggish?



Hujathibitisha kitu, umelazimisha jambo.



Hapa kuna kipi cha kuelewa wakati umelazimisha jambo bilakulielezea?

Kipi kinachosababisha mwendo wa Mercury uathiri mikataba duniani?

Hujajibu swali hili.
Sasa hapo nushakuelewa nini unataka.

Inataka niandike in details, sawa hiyo inawezekana na hakuna hata ambacho hatujasoma hapo.

Lakini kwa namna unavyotaka wewe hivyo basi niandike page zaidi ya 20 kuthibitisha kwa sababu kuna vitu vingine ambavyo sikuviandika hapa na ambavyo ni lazima uvijue. Huko ndio ntaeleza kwa nini Mercury amekua messenger of the sky na sio Venus au Mars. Ipo sababu ambayo itanibidi niandike makala ndefu zaidi.

Option nyingine ni wewe kuamua kujifunza kwa kiwango fulani kinachoridhisha, hata kama nikiweka makala na wepesi kunielewa.

Kwa sababu kwenye hili bandiko mimi nimegeneralize, na sitaweza kwenda deep kwa kiasi unachotaka coz itabidi nikuanzie mwanzo kabisa, ambapo utajua kwa nini mercury anafanya kazi hizo.

Kwa sababu hii Retrograde ni topic kabisa inayojitegemea. Na mimi nilichofanya kama kuchota portion yake na kuiweka.

Lakini ni mkweli nikiandika kwa machache hivi hutakaa ukaelewa hata siku moja. Inabidi upewe hata kitabu kizima ukae peke yako ujisomee. Ama kama ntaweza kukipandisha hapa ntakiweka.
 
Mercury ni zaidi ya satellite zilizowekwa na hao watu. Ntarudi
Kwenye unajimu mercury ndio planets inayosimamia masuala yote yanayohusu communication.

Tabu ninayopata kuwaelewesha nyinyi ni moja, mnauliza mambo ambayo kiukweli mkitaka niwajibu kwa ufupi hamtakaa mkaelewa.

Kwa mfano hapa nilitaka kueleza concept ya soul symbol. Hii ndio ingejibu swali lako completely.

Sasa ntakapoanza kueleza ndio ntazidi kukuchanganya. Yaani ni sawa na mwanafunzi wa form one kaingia darasa la form 6. Kila atakachoambiwa ataona kipya.

Yaani maswali yanatakiwa kujibiwa kwa ufupi, usipoelewa summary basi itabidi uanzie chini kabisa ndio utaelewa ntakachosema.
 
Kwenye unajimu mercury ndio planets inayosimamia masuala yote yanayohusu communication.

Tabu ninayopata kuwaelewesha nyinyi ni moja, mnauliza mambo ambayo kiukweli mkitaka niwajibu kwa ufupi hamtakaa mkaelewa.

Kwa mfano hapa nilitaka kueleza concept ya soul symbol. Hii ndio ingejibu swali lako completely.

Sasa ntakapoanza kueleza ndio ntazidi kukuchanganya. Yaani ni sawa na mwanafunzi wa form one kaingia darasa la form 6. Kila atakachoambiwa ataona kipya.

Yaani maswali yanatakiwa kujibiwa kwa ufupi, usipoelewa summary basi itabidi uanzie chini kabisa ndio utaelewa ntakachosema.
Mkuu mimi siamini kama kuna jibu lisilokua na utata halafu lisieleweke, binafsi naona unashindwa kujibu maswali vizuri na hii imepelekea wewe kutafuta vichaka vyako vya kujifichia;
1. Haya mambo ni magumu nikiwaeleza kwa kifupi hamtaelewa.
2. Jiunge na group langu la whatsapp ile upate darasa na materials mengine.
3.Hamna uelewa wa unajimu kwahiyo hakuna mnachokijua.

Acha kujificha kwenye hivi vichaka, toa majibu ambayo yanaeleweka vizuri ili tuone kama kweli hizi nondo zako nizakuaminika, then tutakuja huko whatsapp.
 
Mkuu mimi siamini kama kuna jibu lisilokua na utata halafu lisieleweke, binafsi naona unashindwa kujibu maswali vizuri na hii imepelekea wewe kutafuta vichaka vyako vya kujifichia;
1. Haya mambo ni magumu nikiwaeleza kwa kifupi hamtaelewa.
2. Jiunge na group langu la whatsapp ile upate darasa na materials mengine.
3.Hamna uelewa wa unajimu kwahiyo hakuna mnachokijua.

Acha kujificha kwenye hivi vichaka, toa majibu ambayo yanaeleweka vizuri ili tuone kama kweli hizi nondo zako nizakuaminika, then tutakuja huko whatsapp.
Kwa hiyo ndugu unataka topic nilioisoma kwa miezi kadhaa nikueleweshe ndani ya usiku mmoja.??

Ili nieleweke inabidi nikate topic nzima hapa. Na kufanya hivyo ntakua siwatendei haki wale wanaolipa pesa zao kule kwenye WhatsApp group.

Kama kutoa Elimu bure nishafanya zaidi ya miezi miwili. Kwa hapa Jamii Forum ntaishia kuweka short summary kama hizi, sitaweka topic nzima hata siku moja.

Ni bora mkaniona sijui lolote, ila walio kwenye WhatsApp group wanajua mpaka sasa tunaelekea wapi...
 
Sasa hapo nushakuelewa nini unataka.

Inataka niandike in details, sawa hiyo inawezekana na hakuna hata ambacho hatujasoma hapo.

Lakini kwa namna unavyotaka wewe hivyo basi niandike page zaidi ya 20 kuthibitisha kwa sababu kuna vitu vingine ambavyo sikuviandika hapa na ambavyo ni lazima uvijue. Huko ndio ntaeleza kwa nini Mercury amekua messenger of the sky na sio Venus au Mars. Ipo sababu ambayo itanibidi niandike makala ndefu zaidi.

Option nyingine ni wewe kuamua kujifunza kwa kiwango fulani kinachoridhisha, hata kama nikiweka makala na wepesi kunielewa.

Kwa sababu kwenye hili bandiko mimi nimegeneralize, na sitaweza kwenda deep kwa kiasi unachotaka coz itabidi nikuanzie mwanzo kabisa, ambapo utajua kwa nini mercury anafanya kazi hizo.

Kwa sababu hii Retrograde ni topic kabisa inayojitegemea. Na mimi nilichofanya kama kuchota portion yake na kuiweka.

Lakini ni mkweli nikiandika kwa machache hivi hutakaa ukaelewa hata siku moja. Inabidi upewe hata kitabu kizima ukae peke yako ujisomee. Ama kama ntaweza kukipandisha hapa ntakiweka.
Hujathibitisha.

Thibitisha.
 
Mkuu mimi siamini kama kuna jibu lisilokua na utata halafu lisieleweke, binafsi naona unashindwa kujibu maswali vizuri na hii imepelekea wewe kutafuta vichaka vyako vya kujifichia;
1. Haya mambo ni magumu nikiwaeleza kwa kifupi hamtaelewa.
2. Jiunge na group langu la whatsapp ile upate darasa na materials mengine.
3.Hamna uelewa wa unajimu kwahiyo hakuna mnachokijua.

Acha kujificha kwenye hivi vichaka, toa majibu ambayo yanaeleweka vizuri ili tuone kama kweli hizi nondo zako nizakuaminika, then tutakuja huko whatsapp.
Nimemuuliza kitu straightforward.

Athibitishe kwamba hizi habari zake ni za kweli, na si stories tu.

Hajaweza kuthibitisha hilo.
 
Kwa hiyo ndugu unataka topic nilioisoma kwa miezi kadhaa nikueleweshe ndani ya usiku mmoja.??

Ili nieleweke inabidi nikate topic nzima hapa. Na kufanya hivyo ntakua siwatendei haki wale wanaolipa pesa zao kule kwenye WhatsApp group.

Kama kutoa Elimu bure nishafanya zaidi ya miezi miwili. Kwa hapa Jamii Forum ntaishia kuweka short summary kama hizi, sitaweka topic nzima hata siku moja.

Ni bora mkaniona sijui lolote, ila walio kwenye WhatsApp group wanajua mpaka sasa tunaelekea wapi...

Acha longolongo.

Thibitisha Mercury inaathiri mikataba duniani.
 
La nyongeza_ je una Dini.?

Dini na unajimu zote sawa mafundisho yake yote yanategemea imani huwezi kuthibitisha kama yana ukweli unachotakiwa ukubali ht km uongo


Hata yesu alitabiriwa na magician nyinyi mnasema manabii kuthibitisha wao walimtabiri alipozaliwa wakaona nyota yake wamajusi wakaenda kumsujudia

Astrology + religion= delusion

Astronomy+science= facts


Unaona utofauti kati ya prediction na uncertain ingawa zote ni probability
 
Write your reply..
Tatizo la wengi humu ni uwezo mdogo wa kufikiri. Hebu jaribu kujiuliza kwanini mtu mwenye kifafa au mataahira wanazidi hasa kipindi cha mwezi mpevu?
Ukijiuliza hayo utagundua kuwa kweli kuna namna fulani tunabe controlled na mizunguko ya sayari na mwezi.
 
Back
Top Bottom