UNAJIMU: Sayari ya Mercury na Athari zake katika Maisha yetu

Kwanza kabla hujauliza una dini niambie nini maana ya dini
Dini ni kundi la watu waliokubaliana na mungu wao na kutenda yale anayoyataka mungu wao mfano.mungu wa waislam ameruhusu kuoa wake hadi wa nne..mungu wa wasabato haruhusu kabisa kula kambale pia anataka ibada iwe jumamosi..mungu wa wakatoliki anataka wao wasali rozali na wajipake majivu kuelekea kwaresma
 
Kwanza kabla hujauliza una dini niambie nini maana ya dini
Wewe ndiye uliyetolea ufafanuzi unaoujua wewe mwenyewe

Na kupitia huo ufafanuzi ukajitosheleza mwenyewe kuwa Dini na unajimu vyote ni sawa

Na ni mazao ya Imani

Na imani ambayo hata mtu akilishwa Matango pori kwake ni sawa Tu

Labda ulitakiwa kuniomba ufafanuzi juu la swali langu

Na tusiende mbali _ni sawa ningekuuliza una Imani katika ivyo vitu.?

Na ulitakiwa kujibu ndio au Hapana na ningekuelewa
 

Dini maana yake ni njia ya maisha na hakuna mtu asiyekuwa na njia ya maisha ktk ulimwengu huu kwani ulikuwa na lengo gani kuuliza hivyo.?
I
 

Umeeleza vzr ingawa umejikita ktk aina za dini kumbuka neno dini ni asili ya kiarabu ungejaribu kutoa maelezo kdg ktk asili yake ingekuwa vzr
 
Ushauri na Elimu gani? Haya uliyoandika?come on man... Why dya like to take people's problem for granted?

Watu hamuwaonei huruma mnataka waendelee tu kutapeliwa?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…