Yanaganda, inategemea upo sehem gani, mfano mimi niliwai kua Burundi, asubuhi nilikuta yameganda aya ya minara, nikaweka juanikweli mkuu haya ya dukani hata hayagandi eti
KUNA NJIA 2 ZA.KUTENGENEZA MAFUTA YA MCHAICHAImchai chai unatoaje mafuta mkuu? majani au ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anayojipaka wife ndio hayohayo najipaka so huwa sisomi ni aina gani
Nice bro hiyo ni ngozi ya kawaida i mean normal dry skin hata mimi ndo nayatumia hayo...,Napaka happy skin ya blue sabun natumia ya kawaida B29