Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanaganda, inategemea upo sehem gani, mfano mimi niliwai kua Burundi, asubuhi nilikuta yameganda aya ya minara, nikaweka juanikweli mkuu haya ya dukani hata hayagandi eti
KUNA NJIA 2 ZA.KUTENGENEZA MAFUTA YA MCHAICHAImchai chai unatoaje mafuta mkuu? majani au ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anayojipaka wife ndio hayohayo najipaka so huwa sisomi ni aina gani
Nice bro hiyo ni ngozi ya kawaida i mean normal dry skin hata mimi ndo nayatumia hayo...,Napaka happy skin ya blue sabun natumia ya kawaida B29