Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Natumia ya south africa pia.. Alaf naenjoy kwa sababu ndo mafuta na mke wangu anapaka so ni mwendo wa kubana matumizi.. Chupa moja tunashare na wife...hata hyo nzuri sana product za south africa ni nzuri kweli
hope unatumia ya south africa sio ya nairobi