DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Avatar lako tu linaashiria nawe una michepuko maana Hilo Bata sio lingine!!!Punguza sauti kidogo...Nini shida mkuu?
Tuishi mkuu, huko Kwa Mungu kugumu Sana kutoboa.Avatar lako tu linaashiria nawe una michepuko maana Hilo Bata sio lingine!!!
Hata mimi Sielewi kwetu ndoa ni kwa ajili ya kuepuka zinaa sasa mtu unaoa then unaendelea kuzini si bora usioe tu, baadae unalalamika una mikosi na mabalaa.Kuna hili kundi la watu wanadai wame-oa wengine wameolewa , lakini wako na michipuko kibao Uzinzi , kibao , sasa mmeoa Nini ??
Ni vituko tu huko Ndoani kila Mtu anajaribu kuonesha uchafu wake .
Watu wamechoka hatari wamepoteza Nuru
Ni watu wachache ndo wana-Enjoy Ndoa wengi wao uchafu na kuleteana Umeme
Duh hawa watu wanachekesha sanaHata mimi Sielewi kwetu ndoa ni kwa ajili ya kuepuka zinaa sasa mtu unaoa then unaendelea kuzini si bora usioe tu, baadae unalalamika una mikosi na mabalaa.
Una pwenti hapa mwanangu.Kuna hili kundi la watu wanadai wame-oa wengine wameolewa , lakini wako na michipuko kibao Uzinzi , kibao , sasa mmeoa Nini ??
Ni vituko tu huko Ndoani kila Mtu anajaribu kuonesha uchafu wake .
Watu wamechoka hatari wamepoteza Nuru
Ni watu wachache ndo wana-Enjoy Ndoa wengi wao uchafu na kuleteana Umeme
Mnafata Uzinzi na michipukoTatzo lako unadhani kila mtu anaoa ili kufata tendo, ndoa ni zaid ya sarakasi chumbani bwashee[emoji4]
Ni akili fupi sana,Hata mimi Sielewi kwetu ndoa ni kwa ajili ya kuepuka zinaa sasa mtu unaoa then unaendelea kuzini si bora usioe tu, baadae unalalamika una mikosi na mabalaa.
Akili ndefu ni kuoa na kuwa na michipuko kibaoNi akili fupi sana,
Kuamini unaoa ili kukata nyege.
Mimi sijaoa so siwezi kuishi Maisha ya MaigizoKabla hatujaendelea na mjadala,
Jinsia yako mtoa mada tafadhal [emoji4]
Subiri uoe ndo ujue kuwa kuna wiki inaweza isha au zaidi mkeo anasema anaumwa mgongo, tumbo, mgongo nk..Mimi sijaoa so siwezi kuishi Maisha ya Maigizo
Kama nawaona wanavokutizama kwa hasira...Kuna hili kundi la watu wanadai wame-oa wengine wameolewa , lakini wako na michipuko kibao Uzinzi , kibao , sasa mmeoa Nini?
Ni vituko tu huko Ndoani kila Mtu anajaribu kuonesha uchafu wake. Watu wamechoka hatari wamepoteza Nuru
Ni watu wachache ndo wana-Enjoy Ndoa wengi wao uchafu na kuleteana Umeme