DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kuna hili kundi la watu wanadai wameoa wengine wameolewa, lakini wako na michipuko kibao, Uzinzi kibao, sasa mmeoa nini?
Ni vituko tu huko doani kila Mtu anajaribu kuonesha uchafu wake. Watu wamechoka hatari, wamepoteza Nuru.
Ni watu wachache ndo wana-Enjoy Ndoa, wengi wao uchafu na kuleteana Umeme.
Ni vituko tu huko doani kila Mtu anajaribu kuonesha uchafu wake. Watu wamechoka hatari, wamepoteza Nuru.
Ni watu wachache ndo wana-Enjoy Ndoa, wengi wao uchafu na kuleteana Umeme.