Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha niliwahi kukaa nyumba moja na bro mmoja tukisoma vyuo tofauti. Asubuhi anaweza kusindikiza demu aliyemla usiku baada ya saa anarudi na kitu kingineNapishana na wewe kidogo.
Mambo kama hayo uswahilini sidhani kama yako sana kwakua kuna macho mengi. Ila ukipanga maeneo ya binafsi sana ndiko kunatokea hayo,niliwahi kupanga nyumba mkoa fulani miaka ya nyuma kidogo,jirani yangu alikuwa analeta wanawake watatu mpk wanne kwa siku.
Ila nadhani sababu ya uhuru tuliokuwa nao so haikuwa shida kwake kufanya hayo,nadhani pangekuwa na wakaaji wengi lazima kuna kale kaaibu na Maneno ya watu lazima angejiheshimu.
Kajenge nyumba yako,ili kuepukana na hiyo kadhia.Umepanga mahali, halafu kila siku unaona Mpangaji mwenzio anaingiza Malaya ndani kwake.
Unajisikiaje wewe kama Mpangaji?
NB: UNA MKE NA WATOTO.
Umejuaje ni malaya? Je unajua wakiingia ndani wanafanya nini ?Umepanga mahali, halafu kila siku unaona Mpangaji mwenzio anaingiza Malaya ndani kwake.
Unajisikiaje wewe kama Mpangaji?
NB: UNA MKE NA WATOTO.
"anaingiza malaya ndani kwake"Umepanga mahali, halafu kila siku unaona Mpangaji mwenzio anaingiza Malaya ndani kwake.
Unajisikiaje wewe kama Mpangaji?
NB: UNA MKE NA WATOTO.
MAHANAkama una kelwa unahama mahana wote sio nyumba yenu hamuwezi wekeana masharti kila mtu analipa kodi kwa jasho lake
Hii ni sahihi ukiwa na familia lazima ujiposition kiulinzi wa familiaKila mtu anachumba chake.
Kawaida kama ungekuwa bachelor ungechukulia poa tu,ila kama unafamilia aah mkuu haijakaa sawa hii
Wakati huo yeye yupo anakuangalia tu?UKIONA ANAENDELEA NA TABIA HIYO.
kwa mara ya pili,vizia kaleta mwanamke jitokeze mbele yao akiwa yeye na huyu mwanamke mazungumzo yako yawe haya.....
Halo, nilitaka kuongea nanyi nyote wawili kuhusu jambo ambalo limekuwa likinisumbua. Nimekuwa nikihisi kutoridhika mara kwa mara nawewe fulani(jina lake)kwa kuwa na wanawake tofauti tofauti kila kujicha. Yani tangu umepata haya maradhi umekuwa kila siku unaleta wanawake ndani kwako,,,,kwanini?unataka kuangamiza watoto wa watu ona sasa asubuhi ulikuwa na Amina mchana Mwanaidi jioni hii umeleta na huyu tena.nafsi inanisuta lazima nikwambie ukweli mdogo wangu kifo kinakuita na nitapiga simu nyumbani.
Ukimaliza sema hayo ingia ndani.usisubili ajibu.akifanikiwa kumuingza ndani huyo manzi niite makonda niko hapa nakungoja💯💯