Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Baba Yako au ndugu Yako unapomuona akiwa upande wa mashihidi kesi ya akina Mbowe unajisikiaje? Unajisikia furaha kwamba ukoo wenu umezaa shujaa ukamsomesha na kumwombea Kwa Mungu apate na Sasa anafanya kazi mliyotamani awe anaifanya?
Unaposikia ndugu Yako akitajwa KWENYE jopo la mawakili wa Serikali au unapoona jamaa yako anatajwa kwenye jopo la mawakili wa serikali unajiona group Lenu la WhatsApp au familia yenu imepata mtu wakutrend kwenye mitandao na hivyo jina la familia linakua au unajitathmini vipi moyoni.
Unaposikia ndugu yenu ni akimu au Judge anayesimamia kesi hii au amewahi kusimamia kesi hii unajisikiaje moyoni? Unajihisi kushangalia kwamba familia imetoa mwakilishi anayesimamia haki nchini na ambaye watoto wako wakikua watapata heshima kutokana na jina lake kama familia ya Mwalimu Nyerere inapotembelea nyota ya baba na Babu Yao? Do you feel like reserving blessing from the job your relative is doing to people of this land?
Wewe ni mtoto au Mzazi wa wapelelezi wa kesi hii na umesikia mwanao au Mzazi wako au clasmate wako akitajwa kufanyia kazi ya upelelezi katika kesi hii, how proud are for the moment?
Wewe ni kiongozi wa kiroho wa mashahidi, mawakili, majaji na Mahakimu waliowahi kushiriki kesi hii na watu hawa wanafika kwenye nyumba Yako ya Ibada, je ukiambiwa watambulishe kama waumini wako unawiwa kuifanya hivyo kwamba they have done remarkable job? How do you feel unapobaini kwamba mmoja wa wahudika upande wa Jamhuri anasali au anaswali kwenye eneo lako la kiutawala kiroho?
Wewe nikiongozi wa sekta, au taasisi ambayo wanatoka mashahidi na watendaji wanaotoa ushahidi au kusaidia mahakama Kwa upande wa Jamhuri; unabarikiwa na kazi wanayofanya watendaji wako? Are you sending blessing to your family?
Mwisho; Kwa ambao sijawataja hapo juu naomba kuuliza kinachoendelea mahakamani kinakubariki Kwa kiasi Gani kiimani? Unaweza kusimama ukamtukuza Mungu huku ukiwaombea washiriki wa upande wa Jamhuri waendelee kuwafanyia haya mazuri wanayofanya kwa Watanzania wengine? Nafsi yako inaliona tukio ili kwa mrengo Gani?
Next timu tutajihoji Kwa upande wa utetezi. Leo tujihoji Kwa upande wa Jamhuri nakuona kama Taifa linahitaji ongezeko la watoa huduma wa aina ya Hawa ndugu zetu wa Jamhuri au tunayokazi yakufanya kiimani kubadili ugumu wa miyoyo
Unaposikia ndugu Yako akitajwa KWENYE jopo la mawakili wa Serikali au unapoona jamaa yako anatajwa kwenye jopo la mawakili wa serikali unajiona group Lenu la WhatsApp au familia yenu imepata mtu wakutrend kwenye mitandao na hivyo jina la familia linakua au unajitathmini vipi moyoni.
Unaposikia ndugu yenu ni akimu au Judge anayesimamia kesi hii au amewahi kusimamia kesi hii unajisikiaje moyoni? Unajihisi kushangalia kwamba familia imetoa mwakilishi anayesimamia haki nchini na ambaye watoto wako wakikua watapata heshima kutokana na jina lake kama familia ya Mwalimu Nyerere inapotembelea nyota ya baba na Babu Yao? Do you feel like reserving blessing from the job your relative is doing to people of this land?
Wewe ni mtoto au Mzazi wa wapelelezi wa kesi hii na umesikia mwanao au Mzazi wako au clasmate wako akitajwa kufanyia kazi ya upelelezi katika kesi hii, how proud are for the moment?
Wewe ni kiongozi wa kiroho wa mashahidi, mawakili, majaji na Mahakimu waliowahi kushiriki kesi hii na watu hawa wanafika kwenye nyumba Yako ya Ibada, je ukiambiwa watambulishe kama waumini wako unawiwa kuifanya hivyo kwamba they have done remarkable job? How do you feel unapobaini kwamba mmoja wa wahudika upande wa Jamhuri anasali au anaswali kwenye eneo lako la kiutawala kiroho?
Wewe nikiongozi wa sekta, au taasisi ambayo wanatoka mashahidi na watendaji wanaotoa ushahidi au kusaidia mahakama Kwa upande wa Jamhuri; unabarikiwa na kazi wanayofanya watendaji wako? Are you sending blessing to your family?
Mwisho; Kwa ambao sijawataja hapo juu naomba kuuliza kinachoendelea mahakamani kinakubariki Kwa kiasi Gani kiimani? Unaweza kusimama ukamtukuza Mungu huku ukiwaombea washiriki wa upande wa Jamhuri waendelee kuwafanyia haya mazuri wanayofanya kwa Watanzania wengine? Nafsi yako inaliona tukio ili kwa mrengo Gani?
Next timu tutajihoji Kwa upande wa utetezi. Leo tujihoji Kwa upande wa Jamhuri nakuona kama Taifa linahitaji ongezeko la watoa huduma wa aina ya Hawa ndugu zetu wa Jamhuri au tunayokazi yakufanya kiimani kubadili ugumu wa miyoyo