Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Umeonaeee. Kwa kweli hatutaki hizo mambo wazichukie tu mpaka huko.Huku wanaponda ila kutwaaa wanawasifia hukooo!
Wanaume kwa unafiki huo mbinguni hamuendiii
Na hasa kwenye huu uzi wote wanaosema kinyume hawaendi mbinguni. 😅😅