Unajisikiaje kuwa na mwanamke mwenye 'Wigi'

Unajisikiaje kuwa na mwanamke mwenye 'Wigi'

Huku wanaponda ila kutwaaa wanawasifia hukooo!

Wanaume kwa unafiki huo mbinguni hamuendiii
Umeonaeee. Kwa kweli hatutaki hizo mambo wazichukie tu mpaka huko.

Na hasa kwenye huu uzi wote wanaosema kinyume hawaendi mbinguni. 😅😅
 
Umeonaeee. Kwa kweli hatutaki hizo mambo wazichukie tu mpaka huko.

Na hasa kwenye huu uzi wote wanaosema kinyume hawaendi mbinguni. [emoji28][emoji28]
Hahaha hahaha hahaha
Hawaendi mbinguni kabisaaa!
 
Nawaambiaga sana dada zangu kuwa mambo wanafanya wakidhani wanapendeza machoni kwa wanaume kumbe ndo wanatuchukiza mno
1.Kuvaa mawigi
2.Kucha bandia
3.Kope bandia
4.kujichubua
5.LIPSTICK
6.KUACHA MAPAJA WAZI

hivi vitu huwa vinanikera mno, sijui ni nani aliyewaambia wakiwa wasafi tu wa kawaida hawatongozwi
yaani hata marashi tu mtu anajipulizia utadhani anajiandaa kuzikwa ukikaa mita nne toka alipo tayari ushapata kipanda uso, warembo wa hivyo nakaa nao mbali kabisa
Umesahau kale kagodoro kwenye makalio
 
Sasa hivi pia wana makalio na chuchu bandia.
Nawaambiaga sana dada zangu kuwa mambo wanafanya wakidhani wanapendeza machoni kwa wanaume kumbe ndo wanatuchukiza mno
1.Kuvaa mawigi
2.Kucha bandia
3.Kope bandia
4.kujichubua
5.LIPSTICK
6.KUACHA MAPAJA WAZI

hivi vitu huwa vinanikera mno, sijui ni nani aliyewaambia wakiwa wasafi tu wa kawaida hawatongozwi
yaani hata marashi tu mtu anajipulizia utadhani anajiandaa kuzikwa ukikaa mita nne toka alipo tayari ushapata kipanda uso, warembo wa hivyo nakaa nao mbali kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli unaweza kabisa comfortably ukawa na mwanamke aliyevaa wigi jamani?

Shame on you guys.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Punde umenichekesha sana, hasa pale ulipotia, shame on you guys. Binafsi mimi haiwezekani hata kwa dawa. Na kwa ufupi tu hata mtoto wangu aliye chini ya miliki yangu habari ya wigi siitaki kabisa. ataweka akijitegemea huko siyo kwangu.
 
Ila chakushangaza ukivaa wigi utasifiwa sana umependeza.....Tanzania.
Anayekusifia hivyo either atakuwa mwanamke mwenzio wa designe yako au wanaume wenye kupenda kurukaruka kwa kila mwanamke anayemjia usoni mwake. kwa sababu anajua akikutaka hawezi kushindwa sababu hujiheshimu unatafuta wanaume.
 
Wamekua brainwashed kwamba wanawake wenye nywele refu na laini ndio wazuri na wao wenye nywele ngumu za kipipili sio wazuri, mwanamke anapaswa kujiamini na kujikubali jinsi Mungu alivomuumba, kama mzuri ni mzuri tu, unaweza vaa wigi original la laki 5 na bado usivutie.
Kunywa Pepsi nitalipa

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
 
Wamekua brainwashed kwamba wanawake wenye nywele refu na laini ndio wazuri na wao wenye nywele ngumu za kipipili sio wazuri, mwanamke anapaswa kujiamini na kujikubali jinsi Mungu alivomuumba, kama mzuri ni mzuri tu, unaweza vaa wigi original la laki 5 na bado usivutie.
Kama Flavian Matata
Namkubali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe kuna wigi orijino?

Sent using Jamii Forums mobile app
Original ni nywele za binadamu ambazo nyingi zinatoka Brazil na India
Yaani unauza nywele zako kama ni ndefu kwa makampuni nao huziuza mpaka $3000
Huko Brazil wasichana walikuwa wanatekwa na watu na kunyolewa kwa nguvu na kwenda kuziuza
Sasa wengi wameamua kuzikata kabisa na kubakiza kidogo au nao kuvaa wigi rahisi tu.
Zipo wigs hizi sasa ambazo ni changanyikeni hizo za bei rahisi ambazo zinatengenezwa kutokana na manyoa ya mbuzi
Zina masharti nazo hakikisha mvua isikukute njiani utanuka kama beberu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi sio kosa km mtu anajiona ana nywele mbaya au hazipo mwonekano mzuri acha afix kwa wig..mm wig limenishinda..ila nilikua nalo nikagawa...wig ni km mtu mfupi km mie avae highheels apande kidg..mbona easy tu jaman...!itafika kipindi wabana pony tails tutasemwa!
Pony tails are my favourite! Kama inashindikana bora ufanye cut tu uwe kama Chindma wa Perfect combo yule! Very sleek and natural looking! Strictly no make ups!
 
Wanaume wamejaa unafiki sana, hasa kama kuna kitu wanataka. Watakusifu sana kuwa wigi lako linekupendezesha, kumbe tu wanatamani maungo yako...
Sasa utaingia jimboni au ikulu bila kampeni!
 
Back
Top Bottom