Umeonaeee. Kwa kweli hatutaki hizo mambo wazichukie tu mpaka huko.Huku wanaponda ila kutwaaa wanawasifia hukooo!
Wanaume kwa unafiki huo mbinguni hamuendiii
Hahaha hahaha hahahaUmeonaeee. Kwa kweli hatutaki hizo mambo wazichukie tu mpaka huko.
Na hasa kwenye huu uzi wote wanaosema kinyume hawaendi mbinguni. [emoji28][emoji28]
Umesahau kale kagodoro kwenye makalioNawaambiaga sana dada zangu kuwa mambo wanafanya wakidhani wanapendeza machoni kwa wanaume kumbe ndo wanatuchukiza mno
1.Kuvaa mawigi
2.Kucha bandia
3.Kope bandia
4.kujichubua
5.LIPSTICK
6.KUACHA MAPAJA WAZI
hivi vitu huwa vinanikera mno, sijui ni nani aliyewaambia wakiwa wasafi tu wa kawaida hawatongozwi
yaani hata marashi tu mtu anajipulizia utadhani anajiandaa kuzikwa ukikaa mita nne toka alipo tayari ushapata kipanda uso, warembo wa hivyo nakaa nao mbali kabisa
Nawaambiaga sana dada zangu kuwa mambo wanafanya wakidhani wanapendeza machoni kwa wanaume kumbe ndo wanatuchukiza mno
1.Kuvaa mawigi
2.Kucha bandia
3.Kope bandia
4.kujichubua
5.LIPSTICK
6.KUACHA MAPAJA WAZI
hivi vitu huwa vinanikera mno, sijui ni nani aliyewaambia wakiwa wasafi tu wa kawaida hawatongozwi
yaani hata marashi tu mtu anajipulizia utadhani anajiandaa kuzikwa ukikaa mita nne toka alipo tayari ushapata kipanda uso, warembo wa hivyo nakaa nao mbali kabisa
Hivi Punde umenichekesha sana, hasa pale ulipotia, shame on you guys. Binafsi mimi haiwezekani hata kwa dawa. Na kwa ufupi tu hata mtoto wangu aliye chini ya miliki yangu habari ya wigi siitaki kabisa. ataweka akijitegemea huko siyo kwangu.Ni kweli unaweza kabisa comfortably ukawa na mwanamke aliyevaa wigi jamani?
Shame on you guys.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anayekusifia hivyo either atakuwa mwanamke mwenzio wa designe yako au wanaume wenye kupenda kurukaruka kwa kila mwanamke anayemjia usoni mwake. kwa sababu anajua akikutaka hawezi kushindwa sababu hujiheshimu unatafuta wanaume.Ila chakushangaza ukivaa wigi utasifiwa sana umependeza.....Tanzania.
Kunywa Pepsi nitalipaWamekua brainwashed kwamba wanawake wenye nywele refu na laini ndio wazuri na wao wenye nywele ngumu za kipipili sio wazuri, mwanamke anapaswa kujiamini na kujikubali jinsi Mungu alivomuumba, kama mzuri ni mzuri tu, unaweza vaa wigi original la laki 5 na bado usivutie.
Wowowo je IPO!??Ni kweli unaweza kabisa comfortably ukawa na mwanamke aliyevaa wigi jamani?
Shame on you guys.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndiyo maana siku hizi kumuona mwanamke mwenye mvi ni nadra sanaWigi linaficha vitu vingi sana kwa wanawake.
Mojawapo ni kipimo cha afya.
HahahahahahaKuna mtu alisema kakutana na dada kavaa wigi, yule dada kugeuka pembeni wigi bado linaangalia mbele
Hapo ujue network imekataUkiona mwanamke kavaa wigi anajipigapiga kichwani ujue linamuwasha na ndio anajikuna kiaina
Kama Flavian MatataWamekua brainwashed kwamba wanawake wenye nywele refu na laini ndio wazuri na wao wenye nywele ngumu za kipipili sio wazuri, mwanamke anapaswa kujiamini na kujikubali jinsi Mungu alivomuumba, kama mzuri ni mzuri tu, unaweza vaa wigi original la laki 5 na bado usivutie.
πππππ holly cowPENGINE AKIVUA WIGI ANA KIPARA KIKUBWA TU
Sasa hapo utaangalia mwenyewe kama akivaa wigi ndo unakuwa comfortable au akivua wigi ndo unakuwa comfortable?
Original ni nywele za binadamu ambazo nyingi zinatoka Brazil na India
Pony tails are my favourite! Kama inashindikana bora ufanye cut tu uwe kama Chindma wa Perfect combo yule! Very sleek and natural looking! Strictly no make ups!mimi sio kosa km mtu anajiona ana nywele mbaya au hazipo mwonekano mzuri acha afix kwa wig..mm wig limenishinda..ila nilikua nalo nikagawa...wig ni km mtu mfupi km mie avae highheels apande kidg..mbona easy tu jaman...!itafika kipindi wabana pony tails tutasemwa!
Sasa utaingia jimboni au ikulu bila kampeni!Wanaume wamejaa unafiki sana, hasa kama kuna kitu wanataka. Watakusifu sana kuwa wigi lako linekupendezesha, kumbe tu wanatamani maungo yako...