Unajisikiaje kuwa na mwanamke mwenye 'Wigi'

iwekww hapa picha ya dada kavaa wig lake zuri alafu iweke picha ya dada mwenye natural yake..haijatiwa dash dash yyt..tuone nan yupo smart🎶.
ila ziwe za kibongo..msituwekee watutsi
Kutakuwa hamna balance, sharti zote ziwe standardized. Natural ziwe na mafuta au dawa ili kuendana na enhancenent ya wigi!
 
Yani mi yale mawigi mafupi wenyewe wanaziita helmenti. Sio siri nikimuona mtoto wa kike kavaa napatwa na hisia za bar maid kabisa!
Yani siyapendi, mara 10 avae yale ya saizi ya kati wanayoita bob! Yale yanakaaga mchicha sana
 
Nmecheka Hadi najihisi kuzimia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona mwanamke kavaa wigi anajipigapiga kichwani ujue linamuwasha na ndio anajikuna kiaina
Hapo ujue network imekata
Akizidi kujipigapiga unampa nyundo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeee nyundo kbsa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu anawaona nyie wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake ni watu wa urembo...mwanamke anaweza kubadili gauni kisa chupi ndani haiendani nalo.

Mnataka wawe kama sisi? Wajirembe mawigi acha wavae kizuri tu yawe yanawapendeza.
😂😂😂😂😂 we jamaa ni fwala
 
Unakuta wigi kubwa kama kabeba mzigo wa nyasi halafu linanuka hatari.

Wengine kakaa nalo hata miaka mitano duh uchafu unageuka kuwa urembo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma kote Ila nilipofika aya ya mwisho nikajikuta nacheka. Kwamba vigezo na Masharti kuzingatiwa mvuani [emoji23][emoji23][emoji23]


Sikuelewa niki wa pili alikua anasema Brazilian/ Indian hairs kumbe ndo haya maOG wigis
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanisamehe na jicho lao kwa kweli ila msema kweli mpenzi wa Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni nani asiyejiremba hapa duniani? Wewe mwenyewe unachonga nywele na kuvaa mavazi unayodhani yanakuvutia ili tu upendeze.

Wenzio wakienda mbali kwa kuvaa wig unaona nongwa?
Sasa boss kazi kwani mahitaji muhimu ya binadamu si yanafahamika au kumeongezeka na "WIGI"

Food, Clothes, Shelter...."wigi!"?!!
 
Wenyewe wanayapuliziaga pafyum na kuyapaka mafuta wigi la bei chee.. Kuna mengine mtaani yanauzwa hadi buku
Sent by anonymous user
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…