Unajisikiaje kuwa na mwanamke mwenye 'Wigi'

Unajisikiaje kuwa na mwanamke mwenye 'Wigi'

Nawaambiaga sana dada zangu kuwa mambo wanafanya wakidhani wanapendeza machoni kwa wanaume kumbe ndo wanatuchukiza mno
1.Kuvaa mawigi
2.Kucha bandia
3.Kope bandia
4.kujichubua
5.LIPSTICK
6.KUACHA MAPAJA WAZI

hivi vitu huwa vinanikera mno, sijui ni nani aliyewaambia wakiwa wasafi tu wa kawaida hawatongozwi
yaani hata marashi tu mtu anajipulizia utadhani anajiandaa kuzikwa ukikaa mita nne toka alipo tayari ushapata kipanda uso, warembo wa hivyo nakaa nao mbali kabisa

Hapo kwenye kipanda uso ndouniacha hoi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna demu mwingine zile purukushani za hapa na pale geto wigi lake si lilianguka? eee bn weee...nywele zilikuwa zimenyonyoka hadi ghafla u*me ulisinyaa pale pale, nilisitisha kabisa hata sikumduu.
Niliwahi kuvutiwa na demu kisa wigi yale mafupi lilimkaa fresh yaani alinivutia sana

Sasa siku nikakutana nae hajalivaa nikaanza kujiuliza ndio yule au mwingiene

Kiukweli wanawake wavaa mawigi mnatutapeli sana mnatuuzia cheni bandia hahahah

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi pia nachukia kuvaa wigi kwanza linachosha halafu na joto hili la dar nahisi linanifanya naonekana kituko

Wanawake wakiwa natural au wakisuka nywele ambazo zinaonyesha uhalisia wao huwa wanapendeza sana sijui nani kawaloga na mawigi, mara kucha za chui, mara kope uuwi hivi vitu vilinipita mbali hata siku ya harusi yangu sikuweka kucha wala kope bandia na sitakaa niweke aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wanaozuia wanawake zao kujiremba.
Na huyo ambaye atachukua option ya kukuacha ni girlfriend na sio mke unless umeoa slei kwin.
Atakayeacha ameanza kutumia juzi. Mtu toka shule ya upili anaaka rangi wewe umemkuta na miaka 32 eti acha foundation.

Labda kama anataka kujisitiri tu...atadate nawe siku tatu ya nne ukimwambia sitaki uvae wigi, kata kucha, acha poda...ukimwita kwa date haji...hmafikii hata ndoa.
 
Siyo kujiremba bali ni kutojiamini.
Nywele feki,
Kope feki,
Ngozi feki,
Lips feki,
Matiti/maziwa feki,
Ma**ko feki,
Hipsi feki,
Kucha feki, ss hapo una Mwanamke au mdoli [emoji848][emoji57]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo vya matako sawa na matiti sawa.

Ila hata foundation! Hata kupaka poda! Lipsticks...kope nazo hamtaki wanawake wajirembe wakuu! Waacheni .
 
Mpe hongera Mumeo kwa kupata Mke anayejitambua Mama[emoji847]
Mimi pia nachukia kuvaa wigi kwanza linachosha halafu na joto hili la dar nahisi linanifanya naonekana kituko

Wanawake wakiwa natural au wakisuka nywele ambazo zinaonyesha uhalisia wao huwa wanapendeza sana sijui nani kawaloga na mawigi, mara kucha za chui, mara kope uuwi hivi vitu vilinipita mbali hata siku ya harusi yangu sikuweka kucha wala kope bandia na sitakaa niweke aisee

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom