interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Ni mbwebwe tu huwa hamjielewi Wanaume aina zenu, mfano wale house girs ni wangapi hawana muda wa kuvaa hayo mawigi, huwa hamuwatongozi hadi kusaliti ndoa na wengine kuwa wake?Hahaha.
Mzee baba.... wewe unataka wanawake wawe unavyotaka?
Mwanamke akijiremba anavutia...kama hautaki wanaojiremba si ichukue asiyejiremba?
Sent using Jamii Forums mobile app