Unajisikiaje kuwa na mwanamke mwenye 'Wigi'

Unajisikiaje kuwa na mwanamke mwenye 'Wigi'

Unadhani sio kweli? Ukiwa na nywele ndefu na laini ni nzuri. Kipilipili sio kizuri.

binafsi naamini kwamba hakuna mwanamke mbaya, kila mwanamke ana uzuri wake Unique aliojaaliwa na Mungu. Kuna ambao wamejaaliwa nywele nzuri lakini shepu kama Kabati, kuna ambao wamejaaliwa macho mazuri akikutizama akili ishakuruka😜kuna wenye Dimples, Lips nzuri, pua nzuri, nyusi nzuri, miguu mizuri, Shepu namba 8, kuna ambao uzuri wao ni rangi zao za ngozi, etc Mungu hakupi vyote na Mungu hakunyimi vyote. kwahio ni kheri umsifie mkeo kwa yale aliojaaliwa na kuboost confidence yake kwamba yy ni mZuri. kuliko kumkosoa kwa ambacho hajajaaliwa na kumfanya akose kujiamini. Mbona wazungu wanapenda vipilipili, wanavutiwa na usukaji wa nywele za mkono, etc
 
Wewe tukimchukua hadija wako wa shamba na mtoto mzuri aliyejiremba wa mjini Dasalama kwa piere unadhani utamchagua nani ? Halafu unatuambia waache kujiremba?


Mwisho mtawaambia waache kujiliza vitandani nyie maana hamchelewi.
Akiwa amejiremba kiuasilia bila kuongezea ambacho Mungu kamuumbia atakuwa bomba sana kwangu lkn akishachanganya miongoni mwa niliyoorodhesha hapo juu kuyachukia huyo hanifai hadi kufa kwangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe tukimchukua hadija wako wa shamba na mtoto mzuri aliyejiremba wa mjini Dasalama kwa piere unadhani utamchagua nani ? Halafu unatuambia waache kujiremba?


Mwisho mtawaambia waache kujiliza vitandani nyie maana hamchelewi.
Kuna dem napiga mashine halii wala hakuna miguno
 
binafsi naamini kwamba hakuna mwanamke mbaya, kila mwanamke ana uzuri wake Unique aliojaaliwa na Mungu. Kuna ambao wamejaaliwa nywele nzuri lakini shepu kama Kabati, kuna ambao wamejaaliwa macho mazuri akikutizama akili ishakuruka[emoji12]kuna wenye Dimples, Lips nzuri, nyusi nzuri, Shepu namba 8, kuna ambao uzuri wao ni rangi zao za ngozi, etc Mungu hakupi vyote na Mungu hakunyimi vyote. kwahio ni kheri umsifie mkeo kwa yale aliojaaliwa na kuboost confidence yake kwamba yy ni mZuri. kuliko kumkosoa kwa ambacho hajajaaliwa na kumfanya akose kujiamini. Mbona wazungu wanapenda vipilipili, wanavutiwa na usukaji wa nywele za mkono, etc

Kuna binadamu wazuri kuliko wenzao kama ilivyo kwenye akili.

Tehtehteh...
 
binafsi naamini kwamba hakuna mwanamke mbaya, kila mwanamke ana uzuri wake Unique aliojaaliwa na Mungu. Kuna ambao wamejaaliwa nywele nzuri lakini shepu kama Kabati, kuna ambao wamejaaliwa macho mazuri akikutizama akili ishakuruka[emoji12]kuna wenye Dimples, Lips nzuri, nyusi nzuri, Shepu namba 8, kuna ambao uzuri wao ni rangi zao za ngozi, etc Mungu hakupi vyote na Mungu hakunyimi vyote. kwahio ni kheri umsifie mkeo kwa yale aliojaaliwa na kuboost confidence yake kwamba yy ni mZuri. kuliko kumkosoa kwa ambacho hajajaaliwa na kumfanya akose kujiamini. Mbona wazungu wanapenda vipilipili, wanavutiwa na usukaji wa nywele za mkono, etc

Kwa hiyo wazungu wanavaa vipilipili vichwani?

Hata waafrika wanaosuka kwa nywele za mikono wapo. Wazungu wavaa weaving wapo.
 
Umenikosha sana Mama, rasta asuke km kawa ajirembe kwa kiasi nitampenda sana, ndiyomaana Wanawake wa kizulu/South Africa na Nigeria huwa nawaelewaga sana.

Hongera zako zimfikie Mumeo.
Hapana too much is harful, watu wajirembe ila kwa kiasi sio mpaka wanakua kama majini jamani...hata mimi najiaremba, napaka poda, mafuta na navaa vizuri lakini siwezi kupaka makeup mpaka nikawa kama majivu au mdoli, nasuka nywele ila sipendelei kuvaa wigi au kushonea weaving, ila rasta nasuka na aina zingine za nywele

Kila mtu ana preference zake ila hapa nadhani mtoa mada anazungumzia wale wanawake wanaopenda kuwa fake kwa akila kitu kuanzia kope, kucha, nywele nk, i mean mtu anajiremba mpaka antia kinyaa

Hao ndio tunaowazungumzia hapa, na ndio maana nikasema hizo makeup nazo zina athari mtu anapaka kila siku haachi uso ukapumua mwisho wa siku ngozi inalemaa au inaonekana imezeeka

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother! Kupendeza ni kuvutia kwa uzuri, na ni hali nzuri na inampendeza hata mtazamaji.

Akina mama/dada zetu ni kweli wanastahiki kupendeza, lakini ni kwa namna gani? Hili ndilo swali lililojenga hoja.

Wapendeze kwa uhalisiya wao na wala si kwa nakshi za kuazima na ndiyo maana strongestbeliefsecret akaainisha mfano wa urembo wa kuazima. Mathalani: Kucha, kope, wigi.

Sasa hiyo ni nini brother! Huko ni kupendeza kwa kuazima! Kwa kifupi wanafoji kupendeza. Wajikubali tu kwa muonekano wao na wapendeze kwa uhalisiya wao. Ndicho kinachozungumziwa.
Safi sana Chifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo wazungu wanavaa vipilipili vichwani?

Hata waafrika wanaosuka kwa nywele za mikono wapo. Wazungu wavaa weaving wapo.

Usinichoshe we Baba.. Yote nilioyaandika hapo hujayaelewa au ndo kukurupuka? huyo aliniQuote kwamba nywele refu na laini ndo nzuri ila nywele za kipilipili sio nzuri ndo nikamjibu kila mwanamke ana uzuri wake aliojaaliwa na Mungu, wengine nywele, macho, shepu, miguu, etc na mwisho nikamwambia hata hao wazungu wenye nywele laini wanapenda nywele za kusuka kwa mkono ambazo waafrika wengi ndo wasukaji wakuu, sasa nakushangaa ww BABA umedandia comment yangu kwamba waafrika wanaosuka wapo kwani wapi nimesema waafrika hawasuki? UNIKOME.
 
Haijapita hata miezi mi4 Tajiri wa kwanza duniani "James Buffen" aliachwa na Mke wake kwa talaka halali kabisa.

Endelea kukariri kuwa pesa ndiyo kila kitu ktk maisha.

NB:

*Pesa ina uwezo wa kununua starehe lkn siyo mapenzi ya dhati.
*Pesa itanunua cheti lkn si akili.
*Pesa itanunua kazi lkn siyo ufanisi, mfano daktari azalishaye Wanawake.

Wake up you right now my sister[emoji4]
mwanaume kutokuwa napesa huwa inamfanya ajihami sanakwa kila kitu..Ee Mungu tuangalie waja wako[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila wanaume bwana unamkataza mke wako kuvaa wigi kwa kigezo cha wewe kutokuyapenda ila unawafata wanawake wanaovaa mawigi as michepuko yako. The same kwa kucha za bandia kope na makeup. Mko na nini nyinyi wababa?
Mtustahmilie jamani, wenzenu tuna vichwa viwili (cha juu na cha chini). Sasa sometimes tunawaza kwa kutumia vichwa vya chini
 
Back
Top Bottom