Usishtuke! Picha ni mfano halisi wa kitu. Maadam ni picha ya nywele zako no hofu feelings on that. Watanzania ni wema sana. Usihofu tupia kapicha ya nywele za kama katani mama.Picha tena [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawaambiaga sana dada zangu kuwa mambo wanafanya wakidhani wanapendeza machoni kwa wanaume kumbe ndo wanatuchukiza mno
1.Kuvaa mawigi
2.Kucha bandia
3.Kope bandia
4.kujichubua
5.LIPSTICK
6.KUACHA MAPAJA WAZI
hivi vitu huwa vinanikera mno, sijui ni nani aliyewaambia wakiwa wasafi tu wa kawaida hawatongozwi
yaani hata marashi tu mtu anajipulizia utadhani anajiandaa kuzikwa ukikaa mita nne toka alipo tayari ushapata kipanda uso, warembo wa hivyo nakaa nao mbali kabisa
Niliwahi kuvutiwa na demu kisa wigi yale mafupi lilimkaa fresh yaani alinivutia sana
Sasa siku nikakutana nae hajalivaa nikaanza kujiuliza ndio yule au mwingiene
Kiukweli wanawake wavaa mawigi mnatutapeli sana mnatuuzia cheni bandia hahahah
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kila ndiyo ina ukweli ndani yake[emoji87]Na hawahawa wanaume ndo wa kwanza kuwasifia waliovaa mawigi kwamba wamependeza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza huwezi mzuia mwanamke kujiremba.
Mtagombana. Umwambie mwanamke wa makeup asipake aheri akuache.
Kabisa kabisaa! Wahenga wanasema siku nyengine unamsaidia wakati wa kuoga unamsaidia unazifikicha fikicha na shampoo. Mwisho wa siku unajisikia raha tupu kuwa naye.zinaleta msisimko na cocacola๐ค
hahaha hii kali..Kwanza huwezi mzuia mwanamke kujiremba.
Mtagombana. Umwambie mwanamke wa makeup asipake aheri akuache.
kwaฤทweliKabisa kabisaa! Wahenga wanasema siku nyengine unamsaidia wakati wa kuoga unamsaidia unazifikicha fikicha na shampoo. Mwisho wa siku unajisikia raha tupu kuwa naye.
Hongera sana Mkuu. Juhudi zako zikoje hasa kwa wale wa karibu yako ambao bila wigi hawawezi toka hata nje?Mimi ndiye ninayeongoza kuyachukia duniani kote wala siyo TZ pekee 7bu Mungu ni muumbaji bora sana kuliko Binadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeonaeee. Yaani kaka sipendi iwe hivyo kwa kweli. ๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenena dada,,isije kuwa wanayachukia hapa tu ila huko nyuma wanafukuzana nayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi wanyima wanawake kujiremba acha wajirembe.
Atakayeacha ameanza kutumia juzi. Mtu toka shule ya upili anaaka rangi wewe umemkuta na miaka 32 eti acha foundation.Wapo wanaozuia wanawake zao kujiremba.
Na huyo ambaye atachukua option ya kukuacha ni girlfriend na sio mke unless umeoa slei kwin.
Kwanza huwezi mzuia mwanamke kujiremba.
Mtagombana. Umwambie mwanamke wa makeup asipake aheri akuache.
Hivyo vya matako sawa na matiti sawa.Siyo kujiremba bali ni kutojiamini.
Nywele feki,
Kope feki,
Ngozi feki,
Lips feki,
Matiti/maziwa feki,
Ma**ko feki,
Hipsi feki,
Kucha feki, ss hapo una Mwanamke au mdoli [emoji848][emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
๐ ๐ ๐ ๐Ubahili tu umewajaa๐
Mimi pia nachukia kuvaa wigi kwanza linachosha halafu na joto hili la dar nahisi linanifanya naonekana kituko
Wanawake wakiwa natural au wakisuka nywele ambazo zinaonyesha uhalisia wao huwa wanapendeza sana sijui nani kawaloga na mawigi, mara kucha za chui, mara kope uuwi hivi vitu vilinipita mbali hata siku ya harusi yangu sikuweka kucha wala kope bandia na sitakaa niweke aisee
Sent using Jamii Forums mobile app