Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Uwe unamtoa out ila hakikisha kwanza unampitisha gym mpigishe tizi haswa alafu mpeleke mahali ale maisha. tofauti na hapo hawa wake zetu mazoezi hawataki.Kwa kweli mazoezi yanahitajika mapema sana, kila siku asubuhi niaze kumkimbiza kilometers kadhaa.
Hakikaπ€£π€£π€£π€£πͺπΊHatua inayo fuata hapo, ni kuoa bi-mdogo,
Ampitishe gym hadi azoee kwenda gym peke ake afu ata kuja na thread nyingine ya kilioUwe unamtoa out ila hakikisha kwanza unampitisha gym mpigishe tizi haswa alafu mpeleke mahali ale maisha. tofauti na hapo hawa wake zetu mazoezi hawataki.
Yani mjengee mazoea ya kumtoa out ila ajue kabisa unampitisha gym alafu ndiyo viwanjani kuserebuka akifikia unavyotaka unaanza kupunguza
Uwe unamtoa out ila hakikisha kwanza unampitisha gym mpigishe tizi haswa alafu mpeleke mahali ale maisha. tofauti na hapo hawa wake zetu mazoezi hawataki.
Yani mjengee mazoea ya kumtoa out ila ajue kabisa unampitisha gym alafu ndiyo viwanjani kuserebuka akifikia unavyotaka unaanza kupunguza
Yani mjengee mazoea ya kumtoa out ila ajue kabisa unampitisha gym alafu ndiyo viwanjani kuserebuka akifikia unavyotaka unaanza kupunguza
Pole mkuu π, kuazia tarehe 1/1/2024, vibonge wote ni kufanya mazoezi kwenda mbele.Nimejisikia vibaya maana hata mi napitia hali kama hii,jamani wanaume mjitahidi kutupa moyo tu, sio kwamba tunapenda, unakuta mwili unafumuka tu.
Acha kabisa mkuu...najiona navyopuputikaβ’ ππ Dah, Hili bandiko huwa ni chungu sana,
β’ Maana hapo 20 - 25 yrs left ππ ya kuishi duniani.
Kuna namna tu uzi ungefungiwa hapaTunzeni wake zenu wapendeze, ushamlaza kifua kimekuwa kama ndala za gesti halafu unasema kazeeka.
Mwanamke akishazaa basi mwili unafumuka kwa kasi na kadri anavyoendelea, kama ni mnene angalia avae zile nguo ndefu jamii ya abaya na sio za mtumba, tafuta angalau za bei mbaya zinapendeza kwa wanawake angalau 150k .
Manukato safi hata afike 50 utamuona kawaida ila kama humtunzi na hali za umaskini lazima awe kikongwe.
Jaribuπ Mkuu, Au nimpeleke Gym π€
Kufa ni wajibu...π π π’π’, kipindi nipo mdogo nilikua siamini kabisa, kama watu huwa wanakufa.. Lakini kwa sasa.... πππ