Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Uwe unamtoa out ila hakikisha kwanza unampitisha gym mpigishe tizi haswa alafu mpeleke mahali ale maisha. tofauti na hapo hawa wake zetu mazoezi hawataki.Kwa kweli mazoezi yanahitajika mapema sana, kila siku asubuhi niaze kumkimbiza kilometers kadhaa.
Yani mjengee mazoea ya kumtoa out ila ajue kabisa unampitisha gym alafu ndiyo viwanjani kuserebuka akifikia unavyotaka unaanza kupunguza