Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Ahahahah... what is wrong with the age??? Mimi sijawah kuona shida hata.Mambo ya kuachana na Mke miaka 2 ndio hayo sasa, utofauti uanzie angalau miaka 7 kwenda juu.
Manukato safi hata afike 50 utamuona kawaida ila kama humtunzi na hali za umaskini lazima awe kikongwe..Tunzeni wake zenu wapendeze,ushamlaza kifua kimekuwa kama ndala za gesti halafu unasema kazeeka .
Mwanamke akishazaa basi mwili unafumuka kwa kasi na kadri anavyoendelea ,kama ni mnene angalia avae zile nguo ndefu jamii ya abaya na sio za mtumba ,tafuta angalau za bei mbaya zinapendeza kwa wanawake angalau 150k .
Manukato safi hata afike 50 utamuona kawaida ila kama humtunzi na hali za umaskini lazima awe kikongwe.
Kwa kazi ipi? hii ya kujenga taifa?ππ, mkuu ni nyingi sana kwani, au hutaki kuremba ubavu wa moyo wako?
Mke wake amekua tipwa tipwa baada ya kujifungua, Sasa kila akimuangalia anaona kama amezeeka gafla. Plus hajipendi ndo kabisa,Ajitahidi kujiweka vizuri, kuzaa au umri sio sababu ya yeye kuonekana mzee. At 35 mbona ni mdada mdogo tu anatakiwa kuonekana mrembo sana.
Safi sana mkuu, pia hii ya kuoana miaka ikiwa sawa naona kuna changamoto yake.... Mwanamke akisha zaa tu.. Mwanamke anaaza Kuonekana MkubwaNashukuru wangu nimempita miaka 10, hivyo bado naonekana Daddie kwake
Love is a beautiful think created by God π
Sasa si umweleze yeye sisi unatueleza itakusaidia wewe niniπHabari wana JF, Poleni na majukumu ya hapa na pale π€,
β’ Nimekuwa nikifikiria na kufuatilia hili kwa miezi kadhaa sasa, nimeona mke wangu si tena yule mrembo niliyemkuta na kumtongoza.
β’ Atafikisha miaka 35 hivi karibuni, na tumepata watoto wawili pamoja, Lakini ni kwa nini ghafla anaonekana kuzeeka zaidi ya umri huo, ndicho sikielewi.
β’ Nimeona wanawake na marafiki wa umri wake bado wanavyoendelea kuwa wabunifu na kufuata mtindo wa mitindo ya maisha, lakini mke wangu hafanyi bidii tena kuchukulia mitindo kwa uzito.
β’ Anavaa nguo yoyote ile, bila kujali tukio. Huenda hamtanielewa kuhusu hili, kwa sababu zamani alikuwa anazingatia haya kabla hatujapata mtoto wetu wa kwanza. Labda tuseme maisha magumu, sikweli, hapitii kwenye mazingira magumu, maisha yetu ni ya kutosha namlisha vizuri kila siku.
β’ Hivi ni nini kinachoendelea??
β’ Wanaume mlio oa, mnahisi hivi pia kama ninavyo hisi mimi?, Namaanisha wale waliooa kwa miaka 5-10 na zaidi.
........ Hadithi ya kijana aliyefunga ndoa miaka 11 iliyopita." π.
ππ, Tufanyaje Sasa mkuu,Sawa unaweza oa mke mdogo, halafu naye baada ya muda anamzidi Dada yake humo ndani utakuwa na (semitellar )fuso mbili [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Jamaa kila siku anaacha 15000/- mezani,Isije unaacha pesa kidogo au matumizi yake yakawaida unampa kidogo halafu unataka apendeze, nini, mpigishe pamba za nguvu uone kama hatapembeza, halafu yale maronya ronya kazichome
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Laki 150 kawaida sana? Mimi namudu laki 1.5!Kwani bei kubwa? Mbona kawaida sana
Yote sawa kama ni chinya uwezo wako ,tafuta hata 50k zipo nguo safi kabisa.Laki 150 kawaida sana? Mimi namudu laki 1.5!