Unajisikiaje ukiandika mada mzuri na yenye maana lakini ukakosa replies.?

Unajisikiaje ukiandika mada mzuri na yenye maana lakini ukakosa replies.?

Kumbeee
Jibu lake ni rahisi tu mkuu, ni kwamba eidha watu wameuona huo uzi kuwa ulichokiandika ni hali halisi na hauhitaji mjadala, au hawajakuelewa ulichoandika na hivyo wanashindwa kuchangia, au wanastress nyingi sana za maisha so wanataka mada za kuwapunguzia stress.
Wengine wataongezea,
 
jf itaendelea kuwepo kwa mamia ya miaka inayokuja hivyo hata usipopata replies wakati huu utapata wakati mwingine
 
Hahahhaha hapa Jf unatakiwa ucheze na hadhiraa tu wanataka nn kwa wakat huu
Mfano Hai tazama mada zako serious na zile zisizo za serious ambazo wewe Kama mdada umetoa humu pia angalia za mkaka pia
 
Watu kweli tuko tofauti sana;

Mimi hapo navimba bichwa kwelikweli, najiona nina akili sana hakuna wa kuni challenge kati ya viewers million 54, while no replies. yaani naona niko above them all.

naweza nikagombea hata u rais, na hii naifanya hata mtaani watu hawawezi kunibishia. mimi nikisema baaasi.

But nikichangia majukwaa ya Ulaya, na USA, weee challenges za huko, mpaka unaona umejinyea. so ukiona hivo siyo watu wa size yako ni mapoyoyo. downier
 
Back
Top Bottom