Unajisikiaje ukipewa DISLIKE kwenye comment yako?

Uzi wa dislike huuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ewaaaah. Mashkaji zangu Carleen Depal Palina acheni kuchukulia vitu serious kiivyo mbona nyie mnaboaga watu ila wanawapotezea

Haha kwaiyo mnateseka na dislikes 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Daaah hata wajinga hukua
 
kwa kweli mi huwa najihoji mara 2 tatu why nipewe πŸ‘Ž

Kuna member kaibuka hapa yeye kila post abagawa Dislike tu sijui roho yake imekaaje kaaje humo ndaniπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Karibuni kwa Hoja na Love za kutosha mwenzenu nifurahi😍

Kuna mdudu yupo kazini leo

 
kwa kweli mi huwa najihoji mara 2 tatu why nipewe πŸ‘Ž

Kuna member kaibuka hapa yeye kila post abagawa Dislike tu sijui roho yake imekaaje kaaje humo ndaniπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Karibuni kwa Hoja na Love za kutosha mwenzenu nifurahi😍
Mtupie moto mwekundu na wewe.
 
kwa kweli mi huwa najihoji mara 2 tatu why nipewe πŸ‘Ž

Kuna member kaibuka hapa yeye kila post abagawa Dislike tu sijui roho yake imekaaje kaaje humo ndaniπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Karibuni kwa Hoja na Love za kutosha mwenzenu nifurahi😍
KIlaza akinipa like nitajihoji sana.
Lakini chizi akinipa dislike nafurahi sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huko twitter kuna jamaa Ambaye kila comment lazima atamke neno 'mavi'!
... sijui ndiyo 'ndagu' yake!!!?
πŸ˜…
 
Kwahiyo huyo mtoa dislikes hafanyi kosa kisheria? We unaona haingilii uhuru wa mtu? Kumbe nawe ni wale wale tu.
Kupenda na kuchukia ni unconscious!! Lakini kumzuia mtu kupenda au kutopenda kuna utayari ndani yake!!
 
Mshana nipo nae kwenye uzi flani amaizing sana kule mkuu,

Huyo ni mwanangu sana mkuu, nyue wengine mtakaa kwa adabu

Sema unaogopa kurogwa [emoji1787] ebu acha kuweka dislike kwa wenzio unawapa sonona
 
Kwani zinawapunguzia nn mkuuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nguvu za kiume [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…