RealixT
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 1,547
- 2,751
Umefikia wapi na mjeda mkuu pmj na demu wako [emoji23]Hauko pk yko uzuri mm nna vindezi vinaniaNza sa hv [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefikia wapi na mjeda mkuu pmj na demu wako [emoji23]Hauko pk yko uzuri mm nna vindezi vinaniaNza sa hv [emoji1787][emoji1787]
Mjeda bado anafosi sema nmemwambia demu asimjibu sms wala kupokea simu nataka abadili line nmemwambia kama anamtaka aniambie tu nimuache kuliko kunicheat na mjeda malaya wale jamaa wataniletea dhahamaUmefikia wapi na mjeda mkuu pmj na demu wako [emoji23]
[emoji23] ushauri gn huu
[emoji23] dah mjeda jau mkuu akuache asikuingilie kwenye utamu wakoMjeda bado anafosi sema nmemwambia demu asimjibu sms wala kupokea simu nataka abadili line nmemwambia kama anamtaka aniambie tu nimuache kuliko kunicheat na mjeda malaya wale jamaa wataniletea dhahama
noUna sickle cell???
Which mme where mme when mme😁We dada mumeo haborekagi humo ndani kwenu 😂
Tatizo linaweza kuwa ni hormone za ukuaji, pia na mazungumzo Yako huenda yanachochea kuonekana mdogo.habari wanajf,
Hili Jambo la kuonekana mdogo kuliko umri wangu limekuwa Jambo ambalo naona kwangu ni Kama laana au kama baraka Tena maana nikimwambia mtu umri wangu akanitazama na Mimi haamini.
Naonekana mdogo miaka kumi nyuma kuliko umri wangu halisi na hii imekuwa na madhara haya kwangu
👉Kushindwa kuchukuliwa sirias na watu.
👉Kushindwa ku date na baadhi ya wanawake kwasababu wanaoona Kama wanadate kijana mdogo wa shule.,
👉Kutokusikilizwa , na kupuuzwa.
👉Kukosa baadhi ya nafasi za kazi au uongozi sehemu Fulani Kwani watu wanakuuona Kama wewe ni mdogo Sana
👉inakupasa uwe ni mtu wa kujielezea Sana hata Kama ni interview basi unataja umri wako hata Kama hujaulizwa ili kuwa ondoa hofu. , hata Kama unatongoza msichana unakuwa unatamani umuonyeshe angalau cheti chako Cha kuzaliwa aamini.
Unaeza tamani uwe hata na ndevu tu lakini wapi!
hili Jambo naona Kama litanichelewesha kufika mbali kwani hata kukaa na watu wa Rika lako unaonekana Kama hupaswi kuwa hapo hivyo unajikuta umezungukwa na vijana wadogo , basi tu.
Hii hali inaweza kuwa ni nzuri kwa wanawake lakini kwa mwanaume inampunguzia heshima.
Kama Kuna mtu anapitia Maisha Kama haya naomba tusaidiane jinsi ya kukabiliana na hali hii.
Nina 50 lakini twenty agers tena wale early twentees wananiona mwenzaohabari wanajf,
Hili Jambo la kuonekana mdogo kuliko umri wangu limekuwa Jambo ambalo naona kwangu ni Kama laana au kama baraka Tena maana nikimwambia mtu umri wangu akanitazama na Mimi haamini.
Naonekana mdogo miaka kumi nyuma kuliko umri wangu halisi na hii imekuwa na madhara haya kwangu
👉Kushindwa kuchukuliwa sirias na watu.
👉Kushindwa ku date na baadhi ya wanawake kwasababu wanaoona Kama wanadate kijana mdogo wa shule.,
👉Kutokusikilizwa , na kupuuzwa.
👉Kukosa baadhi ya nafasi za kazi au uongozi sehemu Fulani Kwani watu wanakuuona Kama wewe ni mdogo Sana
👉inakupasa uwe ni mtu wa kujielezea Sana hata Kama ni interview basi unataja umri wako hata Kama hujaulizwa ili kuwa ondoa hofu. , hata Kama unatongoza msichana unakuwa unatamani umuonyeshe angalau cheti chako Cha kuzaliwa aamini.
Unaeza tamani uwe hata na ndevu tu lakini wapi!
hili Jambo naona Kama litanichelewesha kufika mbali kwani hata kukaa na watu wa Rika lako unaonekana Kama hupaswi kuwa hapo hivyo unajikuta umezungukwa na vijana wadogo , basi tu.
Hii hali inaweza kuwa ni nzuri kwa wanawake lakini kwa mwanaume inampunguzia heshima.
Kama Kuna mtu anapitia Maisha Kama haya naomba tusaidiane jinsi ya kukabiliana na hali hii.
Sisi wabongo tatizo ni lishe duni wakati wa ukuaji hakuna kingine. Litoto la kijerumani miaka 14 utadhani libaba unaweza kulisalimia..!Tatizo linaweza kuwa ni hormone za ukuaji, pia na mazungumzo Yako huenda yanachochea kuonekana mdogo.
Sema naona stofanikiwa tu naanza kumtoa moyoni mdgmdg mweny kisu kikali ndo anakula nyama[emoji23] dah mjeda jau mkuu akuache asikuingilie kwenye utamu wako
Hahahah ni Tabu sana mkuuJuzi Kuna Dogo(Demu) Yuko form 6 mwaka huu (Mimi nilimaliza 2012) kanikuta nakula Cafe na ndugu yangu kakaniambia "Mambo" halafu mbele kamsalimia binamu yangu nimemzidi miaka 4 "shikamoo" Moyoni nikajitukana mwenyew Qmmke[emoji849]
mazungumzo yangu kivipi mkuuTatizo linaweza kuwa ni hormone za ukuaji, pia na mazungumzo Yako huenda yanachochea kuonekana mdogo.
Lishe duni, hapana , Tena mtu akiwa na lishe duni ndiyo anazeeka kabla ya mda wakeSisi wabongo tatizo ni lishe duni wakati wa ukuaji hakuna kingine. Litoto la kijerumani miaka 14 utadhani libaba unaweza kulisalimia..!
Sema faida nayoipata kuwachakata wamama watu wazima yani niktongoza hawachomoi wanaona ni kama age mate wao[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Dah sio poa
We ni Mimi Sasa,am 44yrs, but naonekana km 55,body na uwalaza vinachangia nadhaniMimi ni vice versa kwangu naonekana mzee mtu mzima tofauti na umri wangu.
Sure upande huo utawatungua sana. ila wapo wengine wako tofauti.Sema faida nayoipata kuwachakata wamama watu wazima yani niktongoza hawachomoi wanaona ni kama age mate wao
KabisaHiyo ipo Sana,una udongo mzuri
Mie mwaka Jana vimekuja vibint field,toka chuo nilichosoma,wakati vinatambulishwa kwa staff sikuwepo,kesho yake najihimu job,navikuta vimeketi,vinasubir siku ianze,vimeniona vikanambia,mambo🤔
Like what de fck,chuo wanachosoma ,mie nimetoka huko 10 years ago,afu unanisalimia mambo??nikazuga nikawaitikia,wasijisikie vibaya,Ila nikaona kama vimenidharau,
Muda wa chai wakaja wenzao wanaojitolea ofcn,wakanambia madame tunaomba twende tupapate breakfast,nikawaruhusu,nikawapatia na wekundu mmoja,nikiwaambia wakaribishen vizuri na wenzenu,wakatoka.
Wamerud baada ya nusu saa,nashangaa wanavyoongea nami ama kuuliza Jambo,wanauliza kwa heshma na adabu zote.
Nikajua yes,vijana wamewaeleza mie Nan kwa Ile ofisi.Hadi vinamaliza field,madame ikawa haiwakauki mdomoni na shkamoo za kutosha,so sometimes miili na sura fulan zinaficha umri halisi.