Unajisikiaje unapoonekana mdogo kuliko umri wako?

Unajisikiaje unapoonekana mdogo kuliko umri wako?

Najivunia kuwa young forever... Wadogo zangu ni wakubwa kimuonekano na hata nikiongozana nao wao wanaonekana ni wakubwa kunizidi...najivunia sana hii hali ya kuwa na mwili mdogo mdogo...Kwa upande wangu sijapata changamoto yoyote...japo watu Huwa wananilinganisha na watoto wa 95 Huwa najichekea TU kimoyo moyo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]​
Mvi ndio zitaharibu kila kitu
 
Kwasababu najifahamu , kwanza sauti yangu huwa haisikiki ovyo ovyo , so nikizungumza watu huwa naona Wana pay attention, halafu I'm introverted kind of person so Kuna Kama barrier Kati yangu Mimi na watu wengine, and lastly sizoeleki kirahisi naweza ishi na watu 100 eneo moja kwa mwaka mzima lakini sifahamu hata majina Yao,. Ndio Mimi huyo
Ukazungukwaje na watoto sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi wa kujupakulia minyama, hapa pisi zote baby face 😂😂😂

jf ya upepo, utapovuma tumoo
 
HIiiiiiiu
habari wanajf,

Hili Jambo la kuonekana mdogo kuliko umri wangu limekuwa Jambo ambalo naona kwangu ni Kama laana au kama baraka Tena maana nikimwambia mtu umri wangu akanitazama na Mimi haamini.

Naonekana mdogo miaka kumi nyuma kuliko umri wangu halisi na hii imekuwa na madhara haya kwangu

👉 Kushindwa kuchukuliwa sirias na watu.

👉 Kushindwa ku date na baadhi ya wanawake kwasababu wanaoona Kama wanadate kijana mdogo wa shule.,

👉 Kutokusikilizwa , na kupuuzwa.

👉 Kukosa baadhi ya nafasi za kazi au uongozi sehemu Fulani Kwani watu wanakuuona Kama wewe ni mdogo Sana

👉 Inakupasa uwe ni mtu wa kujielezea Sana hata Kama ni interview basi unataja umri wako hata Kama hujaulizwa ili kuwa ondoa hofu. , hata Kama unatongoza msichana unakuwa unatamani umuonyeshe angalau cheti chako Cha kuzaliwa aamini.

Unaeza tamani uwe hata na ndevu tu lakini wapi!

Hili Jambo naona Kama litanichelewesha kufika mbali kwani hata kukaa na watu wa Rika lako unaonekana Kama hupaswi kuwa hapo hivyo unajikuta umezungukwa na vijana wadogo, basi tu.

Hii hali inaweza kuwa ni nzuri kwa wanawake lakini kwa mwanaume inampunguzia heshima.

Kama Kuna mtu anapitia Maisha Kama haya naomba tusaidiane jinsi ya kukabiliana na hali
Hii nzuri sana tena sana usiombe uonekane mzee wakati ni mdogo!
 
Kweli hata Mimi napitia hii changamoto,Mwili mdogo miaka 40 mvi zimejaa kichwani.

Ni mwendo wa kunyoa kipara tu kwa sasa

Kuna watu nikiwaambia Nina familia wanakataa wakati mwanangu wa 1 yupo sekondari.

Hilo ni tatizo la akili huenda,unanyoa kuwaficha watu umri wako wakati mkeo anajua na ukienda kwa Daktari unataja mwenyewe umri
 
Ukiwa na hela utaonekana mtu mzima hata kama umri,sura na umbo lako ni dogo

Mimi kuna baba yangu mdogo kanizidi kama miaka 20 hivi lakini hua ananiita broo na hapo nina vi chenchi tu

Amekujua unapenda kujikweza,anakusifia akuibe
 
Mkuu

Umenilenga kabisa, umenielezea vizuri mno!

Sio wa dogo zangu kuonekana kunizidi, sio mke wangu mkubwa kwangu hadi watoto naambiwa sio wangu eti ni wadogo zangu sasa kuwa na mwili mdogo, kukosa ndevu na kuwa mfupi ndo chanzo cha kukosa iliyo halali yangu?


Kanisani wakisema vijana huku na wazee kule kila kundi linadai mi sio wa huku nenda kule kwa wazee/vijana!

Mi ni wa kuitwa dogo mtu umri huu? Dharau kabisa.

[emoji23] nimekumbuka enzi hizo baada ya vita ya Tanzania na Uganda ilikuwa ikifanyika oparation mkoa wa Mara wilaya 2 tu (Mugumu na Tarime) ya walio silaha.

Sorry nje mada

(Niwakumbushe kidogo,
Vita wakati ikiendelea kulikuwa na urejashaji wa miili ya marehem waliofia vitani, miili ilikuwa ikija ndani ya jeneza unakuta bunduki zimo na baadhi ya majeneza yalikuwa hayana miili ni silaha tupu!

Basi bana vita ilivyomalizika ikaoneka wilaya ya Tarime vijijini silaha zipo nyingi tu vijijini huko.

Nifupishe story
Mwl. Nyerere tena!
Vilitumwa vikosi huko!
Mungu mkubwa hakuna uasi ulifika kufanyika.

Baadhi ya silaha zikarejeshwa kwenye kambi na baadhi zilifichwa mashambani na waliokuwa na silaha wengine walikimbilia Mugum

Ko ukaanzishwa utaratibu wa kufanya inspection kila kijiji kila kaya tena ni kwa kushtukiza
Wao walikuwa wakifika ni neno 1 tu SILAHA

walikuwa wakikuta vijana ni kipigo cha mbwa koko onyesha silaha ilipo

Sina hili wala lile naibuka home naambiwa silaha iko wapi nikasema sijui wakasema kana dharau mwingine mwache huyo ni mdogo [emoji23]!

Wakaja kwa babu wanamuomba silaha kaingia ndani kawaletea Biblia wakacheka wakaondoka
Mi kuzungu nyumba ya pili nawakuta wanakunywa busara kwa viazi)

Ok turudi kwenye mada, kwa ujumla dharau zimezidi

Ila jambo linalosababisha kwa upande wangu nahisi ni mavazi (sijawahi kuacha jeans na T-shirt)

Company niliyonayo pia ni mule mule nawazidi ila ukiambiwa nawazidi utakataa

Kama kuna namna members mnaweza nipa mbinu niheshimiwe please [emoji120] nitashukuru sana!
 
Muda fulani naimba wimbo wa jay ze forever young miaka over 30 ila naonekana a teenager [emoji1][emoji1]

Mi mwenyewe nauelewa huo wimbo

IMG_5271.jpg
 
Back
Top Bottom