Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una mazungumzo au mambo ya kitoto.mazungumzo yangu kivipi mkuu
hapana mkuu, siko hivoUna mazungumzo au mambo ya kitoto.
Wewe n mfupi shida ukiwa mfupiii ukawii kuonekana mdogo hasa kama huna mwili bora uwe mrefu ukose mwili.picha! hapana, gonga tu kwenye point mkuu
Fugeni nywele muwe warefu ukiwa mfupi hakikisha nywele za kichwa zinakuwa ndefu,huu ufupi na kukosa mwili unaonekana umedumaadah! basi tufanye Nini mkuu?
Kwahiyo Mr. Van kila siku anahisi amelala na mwanafunzi?Umenikumbusha kuna siku nimekutana na ndugu ambaye hatukuwahi kuonana akaniambia "za saizi". Wakubwa wacha wamshukie kama mwewe msalimie vizuri huyu mkubwa sana kwako.
Mimi ni mkubwa halafu napenda ukubwa sana. Sema mwili na sura vinanikataa. Ndio hivyo kupambana na hali tu
Kuchukuliwa siriaz kunatokana na madini unayoyatoa mdomoni, kama hauwezi kujipangilia kuanzia the way unavyoeongea na kuvaa na kutembea, hata ungekuwa mzee, haitakaa itokee uchukuliwe siriaz.habari wanajf,
Hili Jambo la kuonekana mdogo kuliko umri wangu limekuwa Jambo ambalo naona kwangu ni Kama laana au kama baraka Tena maana nikimwambia mtu umri wangu akanitazama na Mimi haamini.
Naonekana mdogo miaka kumi nyuma kuliko umri wangu halisi na hii imekuwa na madhara haya kwangu
👉Kushindwa kuchukuliwa sirias na watu.
👉Kushindwa ku date na baadhi ya wanawake kwasababu wanaoona Kama wanadate kijana mdogo wa shule.,
👉Kutokusikilizwa , na kupuuzwa.
👉Kukosa baadhi ya nafasi za kazi au uongozi sehemu Fulani Kwani watu wanakuuona Kama wewe ni mdogo Sana
👉inakupasa uwe ni mtu wa kujielezea Sana hata Kama ni interview basi unataja umri wako hata Kama hujaulizwa ili kuwa ondoa hofu. , hata Kama unatongoza msichana unakuwa unatamani umuonyeshe angalau cheti chako Cha kuzaliwa aamini.
Unaeza tamani uwe hata na ndevu tu lakini wapi!
Hili Jambo naona Kama litanichelewesha kufika mbali kwani hata kukaa na watu wa Rika lako unaonekana Kama hupaswi kuwa hapo hivyo unajikuta umezungukwa na vijana wadogo , basi tu.
Hii hali inaweza kuwa ni nzuri kwa wanawake lakini kwa mwanaume inampunguzia heshima.
Kama Kuna mtu anapitia Maisha Kama haya naomba tusaidiane jinsi ya kukabiliana na hali hii.
Visualize mwenyeweHamna lolote unapenda utoto tu weka picha hapo tukuone
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hahaaa sio udogo huo babuKwahiyo Mr. Van kila siku anahisi amelala na mwanafunzi?
Hujanielewa maana ya kuchukuliwa siriaz hapo, namaanisha mtu anaona kama hupaswi kupata kile unachoomba especially Kama unaomba kazi. Yaani mtu anapima uwezo wako kwa kukutazama tu. hili linatokea sanaKuchukuliwa siriaz kunatokana na madini unayoyatoa mdomoni, kama hauwezi kujipangilia kuanzia the way unavyoeongea na kuvaa na kutembea, hata ungekuwa mzee, haitakaa itokee uchukuliwe siriaz.
Umejuaje kwamba huna mazungumzo au mambo ya kitoto?hapana mkuu, siko hivo
Kwasababu najifahamu , kwanza sauti yangu huwa haisikiki ovyo ovyo , so nikizungumza watu huwa naona Wana pay attention, halafu I'm introverted kind of person so Kuna Kama barrier Kati yangu Mimi na watu wengine, and lastly sizoeleki kirahisi naweza ishi na watu 100 eneo moja kwa mwaka mzima lakini sifahamu hata majina Yao,. Ndio Mimi huyoUmejuaje kwamba huna mazungumzo au mambo ya kitoto?
Kwa hiyo hata ulichokiandika hapa unahisi umeandika kiutu uzima?Kwasababu najifahamu , kwanza sauti yangu huwa haisikiki ovyo ovyo , so nikizungumza watu huwa naona Wana pay attention, halafu I'm introverted kind of person so Kuna Kama barrier Kati yangu Mimi na watu wengine, and lastly sizoeleki kirahisi naweza ishi na watu 100 eneo moja kwa mwaka mzima lakini sifahamu hata majina Yao,. Ndio Mimi huyo
Shida ya lishe tangu ulipokuwa mchanga lishe ilikua ya taabu taabu, hebu jitahidi ule vinono uonekane na wewe mtu katika watu😆😆😆 issue ya uwiano katika ukuaji wa binadamu ni lishe tu hamna story nyingine. Lisheni watoto wenu vizuri jamani tupate kina LeBron James huku TZ
Nimejibu swali uliloniuliza , kwani ulitegemea jibu gani ?Kwa hiyo hata ulichokiandika hapa unahisi umeandika kiutu uzima?
Kweli nimeamini wewe ni bwana mdogo.Nimejibu swali uliloniuliza , kwani ulitegemea jibu gani ?
ushasema Mimi ni bwana mdogo mkuu, tuishie tu hapo.Kweli nimeamini wewe ni bwana mdogo.
Hata namna unavyojibu tu ni ushahidi tosha.
Tuachane na hilo, kampani yako unaofanya nao mazungumzo ni rika lipi?