Mtu mwenye matusi huwa sijui nina mwonaje !Siwezi ku ignore mtu mimi ila watu wengi kutokana na mikazo ya maisha hawapendi kuona au kusikia mambo wasiyoyapenda
😀😀😀Mtu mwenye matusi huwa sijui nina mwonaje !
Ni kuipiga tu nusu kaputi hakuna namna.😀😀😀
Kuna namba ina mitusi kama yote
Haina haja Mkuu ndivyo walivyo raia 😃😃😃Ni kuipiga tu nusu kaputi hakuna namna.
😁😁😁Haina haja Mkuu ndivyo walivyo raia 😃😃😃
Una moyo mdogo🤣🤣🤣🤣Nimechungulia nimekuta nimeignore members 34 na threads 17😂
Nimejicheka hapo nilipoignore mpaka threadsUna moyo mdogo🤣🤣🤣🤣
Kwa nini🤣?Aiseee nimeangalia kwenye ignoring nimemkuta Mshangazi, Bachelor na Chief God love 😃😃😃
Ndio maana nimecheka,mimi nawapenda wale wanajikutaga wakorofi,nahama nao mitaa naendeleza mapambano...😁😁Nimejicheka hapo nilipoignore mpaka threads
Kawaida unless kama ningeweza kuzibadilisha kuwa pesa kama ilivyo kwa Youtube views hata sponsored ads ningefanyia post zangu aiseeIwe ni response ya meseji 📩 likes👍reactions😍🤣 au dislikes😡
Wajisikiaje?
Mkuu emb naomba nielekeze namna ya kupiga misumari, kuna watu sitaki kuwaona.Na wamatusi usisahau kuwalamba pini kukutana tena mpaka paradiso😁
Mkuu emb naomba nielekeze namna ya kupiga misumari, kuna watu sitaki kuwaona.
😳he kumbe kuna minyukano humu?Ndio maana nimecheka,mimi nawapenda wale wanajikutaga wakorofi,nahama nao mitaa naendeleza mapambano...😁😁
Dah 😀😀😀Kwa nini🤣?