Unajisikiajie Maxence Melo anapo like "post" yako

Unajisikiajie Maxence Melo anapo like "post" yako

simakoku

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
537
Reaction score
586
Kuna watu huwa wanalike kila post, hasa pale anapoanzisha uzi halafu watu wakachangia. Utakuta analike tu kwa aliyemjibu vizuri au hata aliyemjibu vibaya yeye anatoa like tu.

Lakini tangu nimeingia humu sikumbuki ni mara ngapi nimeona like za Maxence Melo kwenye nyuzi. Leo nimeona amelike uzi mmoja humu amelike. Kutakana na umuhimu na nafasi yake,

kwa mtazamo wangu aki like post fulani nachukulia kama ni heshima fulani.
 
Kuna watu huwa wanalike kila post, hasa pale anapoanzisha uzi halafu watu wakachangia. Utakuta analike tu kwa aliyemjibu vizuri au hata aliyemjibu vibaya yeye anatoa like tu. Lakini tangu nimeingia humu sikumbuki ni mara ngapi nimeona like za Maxence Melo kwenye nyuzi. Leo nimeona amelike uzi mmoja humu amelike. Kutakana na umuhimu na nafasi yake, kwa mtazamo wangu aki like post fulani nachukulia kama ni heshima fulani.
Hii kitu ilinitesa miaka Ile nimefungua akaunti ya fesibuku. Hakuna hata watu unaofahamiana nao, unaenda kwenye page ya msanii mfano Sean Paul ndo unatafuta friends huko.

Sasa ukipost kapicha, kila baada ya dakika 5 unarudi kuangalia aliye-like picha yako unakuta hola, basi unaumia. Tangu wakati huo sijawahi kuangaika na kujua nani kalike chochote ninachopost mahali popote.
 
Kuna watu huwa wanalike kila post, hasa pale anapoanzisha uzi halafu watu wakachangia. Utakuta analike tu kwa aliyemjibu vizuri au hata aliyemjibu vibaya yeye anatoa like tu.

Lakini tangu nimeingia humu sikumbuki ni mara ngapi nimeona like za Maxence Melo kwenye nyuzi. Leo nimeona amelike uzi mmoja humu amelike. Kutakana na umuhimu na nafasi yake,

kwa mtazamo wangu aki like post fulani nachukulia kama ni heshima fulani.
Humu ana nafasi mbili.

Moja, kama CEO wa JF.
Pili, kama mwana JF yeyote yule.

Nadhani ana like kwenye nafasi ya pili.
 
Maona ufahali sana mtu maempatia ajira Ku like post zenu. Hivi hamujui bia Sisi hawatengenezi chapa humu?

God save us
 
Nishaona likes zake km tatu hv kwenye comment zangu tena bila quotes au tag...
Na zote zilikua Jokes

Sion km ni inshu sana....
kwa upande mwingne ni km wewe...
Kama umemfanya apate furaha au umetoa point... Atakugea like wewe na yyt.
Appreciation ni kitu cha kawaida kinyume na hapo kuna tatizo......
 
Back
Top Bottom