Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
🤣🤣🤣
Ww nakuonaga uko active kule celebrity..dah mie siasa! Nimeamua kuachana na ujinga!
🤣🤣🤣...ila mie ni team Zari..nampenda! Ndo celebrity nayemwelewa!😊😊..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣
Ww nakuonaga uko active kule celebrity..dah mie siasa! Nimeamua kuachana na ujinga!
Ukihusishwa husikaNlifikiria vijana wa sasa hivi mtataka kujua alianzaje Max had kufika hapa alipo!😊😊! Kumbe mnazinguka na likes zake😄😄😄!
Kabla sijajisikiaje muulize anajisikiaje nikipost kwenye huu mtandao wake.
Maxence Melo Njoo "ulaiki" post
Zamani alikuwa ana like, miaka hii sijui ni pesa imeongezeka zikamtia jeuri au kesi zimentinga haonekani,
Sent using Jamii Forums mobile app