Unajisikiajie Maxence Melo anapo like "post" yako

Unajisikiajie Maxence Melo anapo like "post" yako

Waaow mwaka mpya wakakuvurugia,acha kabisa kuna kipindi nilikula ban ya wiki kurudi tu ndani masaa machache nikapata nyingine ya wiki[emoji23][emoji23]

🤣🤣🤣
Ww nakuonaga uko active kule celebrity..dah mie siasa! Nimeamua kuachana na ujinga!
 
Na leo ndo kwanza siku ya tatu tangu mfunge shule kwasababu ya Corona,,,


Bado siku 27 ,,, tutakuvumilia tu.
Kuna watu huwa wanalike kila post, hasa pale anapoanzisha uzi halafu watu wakachangia. Utakuta analike tu kwa aliyemjibu vizuri au hata aliyemjibu vibaya yeye anatoa like tu.

Lakini tangu nimeingia humu sikumbuki ni mara ngapi nimeona like za Maxence Melo kwenye nyuzi. Leo nimeona amelike uzi mmoja humu amelike. Kutakana na umuhimu na nafasi yake,

kwa mtazamo wangu aki like post fulani nachukulia kama ni heshima fulani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sana Tu huwa nafurahia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
haya nimekupa like umefurahi sasa?
IMG_20200320_163635.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa nafurahi sana na mara kadhaa hivi ame like kwangu.
Kuna watu huwa wanalike kila post, hasa pale anapoanzisha uzi halafu watu wakachangia. Utakuta analike tu kwa aliyemjibu vizuri au hata aliyemjibu vibaya yeye anatoa like tu.

Lakini tangu nimeingia humu sikumbuki ni mara ngapi nimeona like za Maxence Melo kwenye nyuzi. Leo nimeona amelike uzi mmoja humu amelike. Kutakana na umuhimu na nafasi yake,

kwa mtazamo wangu aki like post fulani nachukulia kama ni heshima fulani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ufahari sana kama, ambavyo mwalimu akikuandikia Vema kwenye daftari class.
 
Back
Top Bottom