Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Nlifikiria vijana wa sasa hivi mtataka kujua alianzaje Max had kufika hapa alipo!😊😊! Kumbe mnazinguka na likes zake😄😄😄!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
App unayotumia huwezi kuona [emoji3][emoji3]Ame-like post ya kwako au ya mtu mwingine?. Unajuaje like ya mtu mwingine kwamba ime-like-wa na nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaida tu.Kuna watu huwa wanalike kila post, hasa pale anapoanzisha uzi halafu watu wakachangia. Utakuta analike tu kwa aliyemjibu vizuri au hata aliyemjibu vibaya yeye anatoa like tu.
Lakini tangu nimeingia humu sikumbuki ni mara ngapi nimeona like za Maxence Melo kwenye nyuzi. Leo nimeona amelike uzi mmoja humu amelike. Kutakana na umuhimu na nafasi yake,
kwa mtazamo wangu aki like post fulani nachukulia kama ni heshima fulani.
Trump Alisha wahi Ku retweet tweet yangu Kule kwenye TL yako niliona ishu ya kawaida sana mzee..
😂 😂 😂 😂Acha ushamba kwani huyo Maxence Melo ni nani? Yeye ni oksijeni?
Mimi napenda za Wangari Maathai, akilike post yangu mimi hoi[emoji39][emoji39][emoji125][emoji125][emoji125]Na likes za Polepole je?
Mtumishi ww!😅😅😅!...una joto sana na mm..shindwaaaa!Mimi napenda za Wangari Maathai, akilike post yangu mimi hoi[emoji39][emoji39][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji39] sishindwi, nikianza agenda yangu sitaki kushindwa. Siku ukilike tu mimi napata joto sana haha!!Mtumishi ww![emoji28][emoji28][emoji28]!...una joto sana na mm..shindwaaaa!
[emoji23][emoji23][emoji39] sishindwi, nikianza agenda yangu sitaki kushindwa. Siku ukilike tu mimi napata joto sana haha!!
Tukipiga [emoji485] nina uhakika wewe ndio utapata "shida"! Kwani kufahamiana si kunaanzia hapa, siku nikikuona tunaendeleza tu, hem' ngoja nipunguze hili tumbo kwanza hahaha[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!...siku ntakunyweshwa miwine [emoji39][emoji39]...utajuutraaa!..alafu tunavyochat hapa ova tunafahamiana..lol..nakukjmbusha besdei yangu
Tukipiga [emoji485] nina uhakika wewe ndio utapata "shida"! Kwani kufahamiana si kunaanzia hapa, siku nikikuona tunaendeleza tu, hem' ngoja nipunguze hili tumbo kwanza hahaha[emoji23][emoji23]
Kama unatumia jf app clik apo kwenye hicho ki dubwasha cha dole gumba (like) utaona hivi idadi ya id zilizo penda/like post yakoAme-like post ya kwako au ya mtu mwingine?. Unajuaje like ya mtu mwingine kwamba ime-like-wa na nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naendelea kulike posts zako, ukilike zangu napata faraja halafu naendelea kuhamasika[emoji39][emoji39][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tumbo linapendezea shati bwana wee!..tumbo lina hadhi yake mkuu...hata bank unakopesheka bila dhamana...! Ila lisizidi usije umia style zingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787](akili za kukosa kaz hizi)
Naona hizi ID zinawadanganya wengi.Dogo!