Unajua Freeman Mbowe sio mtu wa Kawaida?

Unajua Freeman Mbowe sio mtu wa Kawaida?

Haina ubishi wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".

Ningetegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri ajenge uchumi.
Miaka nenda rudi eti usubiri ajenge nchi Kwanza
 
Umesahau
Alikoswa na bomu Soweto Arusha. Bomu lilianguka mahali alipo ondoa mguu.
Na sekunde chache baada ya lile bomu mkokosa wauwaji wakajaribu kumlenga kwa risasi ambayo nadhani moja ili mdhuru ole milya maana ndiyo walikua wamekaa naye karibu.
 
Mkuu sija mshuhudia uongo kwa lolote zaidi ya kumshauri atubie, maana binaadamu hatujakamilika.
Ndugu,
Huko kumkazania akatubu hayo mliyobumba na KUMBAMBIKIA ndiyo/ndiko kumshuhudia uongo.
Ondoa kwanza boriti kwenye jicho lako, ndipo utaweza kuona kibanzi kwenye jicho la mwenzio.
Enenda ukatubu. AMEN
 
  • Thanks
Reactions: ADK
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ukienda kumtembelea weekend hii mwambie atubie makosa yake yote aliyo yatenda kwa siri.
Bila kuhukumu,Inawezekana kabisa ukawa na makosa na dhambi zaidi ya Mbowe! "Biblia inasema toa kwanza bolti ndani ya jicho lako mwenyewe kabla ya kutoa kwenye jicho la MBOWE!

Nakukumbusha tena wewe msabato mwenzangu ,Jumamosi hii fedha zilizo jaa damu unazo pewa kutoka Lumumba usizilete tena Kanisani!
KANISA LA WADVENTISTI WA SABATO HATUZITAKI
 
Tangu lini gaidi akawa mtu wa kawaida
Ni kweli,kumbuka hata Jiwe alikuwa na kiburi cha Uzima.Kumbuka hata yule tajiri alikuwa na kiburi cha Uzima lakini alivyo kufa alitamani LAZARO achovye ncha ya kidole ampe maji.

KUMBUKA PIA JPM alitamani LISSU afe hii yote ni kiburi cha Uzima.

Etwege unatamani sana MBOWE apatwe na baya hii ni kwa sababu ya kiburi chako cha Uzima...!
 
Freeman Mbowe sio mtu wa Kawaida,amini nakuambia.

Huyu mwamba amezaliwa kwenye familia ya kitajiri,

Baba yake alikua ni tahiti na alimwezesha Mwlm Nyerere kifedha kwenda NY Marekani kudai uhuru.
Asante sana wasifu huu ni haki ya shujaa kama Mbowe. Mungu ambariki Mbowe awe kiongozi wa nchi hii siku chache zijazo.
 
Miaka nenda rudi eti usubiri ajenge nchi Kwanza
Miaka nenda rudi ni mingapi? Wakati alitoa hilo jibu akiwa na siku 30 tu!! Leteni arguments zenye mashiko, acheni kudandia hoja za wanasiasa wanaogombea madaraka.
 
Ni kweli sio wa kawaida ni gaidi utake usitake

Tanzania bila ugaidi inawezekana
Good for you!!Hata akifungwa kwa ugaidi familia yako itaendelea kuwa maskini !Itaendelea kuwa omba omba wa Lumumba!!

Mbowe siyo gaidi hata kuja kuwa gaidi.
 
Mbowe ni Mzalendo wa kweli,ni mtaka mabadiliko wa kweli ni mpenda haki wa kweli.Mbowe hayupo kwenye siasa kwa sababu ya njaa,Mbowe kweli ni mtetezi wa wanyonge na ndio kazi ya chadema na chama makini cha siasa.
Andiko lako refu ni hafifu sana.

Ukipata muda, jaribu kujikita kuelezea mstari huo mmoja na nusu hapo juu kwa kirefu zaidi, ukiwa na ushahidi juu yake.

Hapo utakuwa umemtendea haki Ndugu Mbowe na kufanya wengi wamfahamu vyema, badala ya mizunguko mingi uliyoweka kwenye mada ndefu isiyokuwa na ushawishi mkubwa juu ya sifa alizonazo Mbowe.

Kuna umuhimu, wa baada ya misukosuko yote hii, inabidi Mbowe aanze kujitambulisha zaidi kwa wananchi juu ya anachokisimamia yeye kwenye hatma ya taifa letu na ustawi wa waTanzania wote.
Ni lazima ajitambulishe sasa.
 
Hivi unajua chadema ameanzisha nani?

Hivi unajua lile jango kina mbowe walilitoa wapi mpaka wakawa wamiliki halali?

Unajua baba wa ubatizo wa mbowe alikuwa nani?

Unajua mbowe amekulia wapi?.

Chadema imeanzishwa na mzee mtei , mbowe amemuowa mtoto wa mzee mtei, mzee mtei amemkabidhi chama cha chadema mkwewe mbowe akiendeshe.

Mbowe amekulia ikulu ya d.s.m. lile jengo ambalo lilibomolewa baba yake mbowe mzee ekaeli mbowe alipewa na mwalimu. Mwalimu ndio baba wa ubatizo wa mbowe.

Hapa kuna jambo kubwa sana la ukaribu ktk familia hizi tatu mzee mtei , mzee ekaeli na mwalimu isipokuwa ilikuwa zamani wanaokuja sasa hayo hawayafuati tena ,

Embe nitafutie picha ya mwalimu amevaa nguo yenye langi ya ccm ukiipata ilete hapa, au nguo yenye nembo ya ccm .
 
Umesahau
Alikoswa na bomu Soweto Arusha. Bomu lilianguka mahali alipo ondoa mguu.
Na enzi hizo Mwigulu ndiye alikuwa 'General' wa kundi lililokuwa na kazi ya kuimaliza CHADEMA!

Inaelekea CHADEMA wana kitu cha ziada ndani yao kinachowalinda hadi kufikia hapa walipofikia.
 
Haina ubishi wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".

Ningetegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri ajenge uchumi.

Duniani tunaishi kwa win- win situation. Kama Samia amefuta kesi za kubambikiza, Mahakama zimeanza kutenda haki, akaunti za Mbowe zimefunguliwa, uhuru wa maoni umeruhisiwa na hatua za kudhibiti COVID-19 zimeanza kuchukuliwa, hiyo ni WIN kwa CDM. Nilitegemea naye Rais SSH WIN yake iwe kusikilizwa aliposema nataka nijenge uchumi kwanza.

On the contrary Mbowe na Lissu wakaanza kumfokea Rais kama vile ni mbunge wa BAWACHA??

Mpaka unajiuliza nini kimewapata hawa watu ambao kwa Mwendazake waliufyata miaka 5. Mwendazake kawapiga risasi, kavunja Bilicanas na kavunja na mashamba yake, kamchukulia na fedha kwenye akaunti. Hajawahi hata kulalamika.

Samia kamrudishia akaunti, kesi zao za kubambika zikapigwa chini pamoja na ya MDUDE. Halafu wao ndiyo wa kwanza kusema HATUWEZI KUMBEMBELEZA Samia. Shenz taipu Bladifakeni Mbowe
Kwani 'Maza Mizinguo' alikuwa anawafanyia fadhira Mbowe na Lissu?
Yeye hakuwa na 'interest' katika hayo unayoyataja hapa?
Yeye hawezi kusema uongo, kwa kuahidi bila 'timeframe'? Alikwambia "uchumi" utarekebishika lini? Aliahidi wakutane wakakataa kukutana naye kwenye mazungumzo?

Unapoleta vihoja visivyokuwa na nguvu usisahau kuwa wapo wanaokusoma na kuelewa ulaghai unaojaribu kuuza.
 
Miaka nenda rudi ni mingapi? Wakati alitoa hilo jibu akiwa na siku 30 tu!! Leteni arguments zenye mashiko, acheni kudandia hoja za wanasiasa wanaogombea madaraka.
Kuna mwanasiasa asiyegombea madaraka? Taja angalau mmoja tu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ukienda kumtembelea weekend hii mwambie atubie makosa yake yote aliyo yatenda kwa siri.
Ya kwako wewe "uliyoyatenda kwa siri" nani atakusaidia kutubia...?

Unanyooshea kidole kimoja wenzako, huku vinne vya kwako mwenyewe vikikunyooshea wewe...

Be carefully, usijipalie moto wa hukumu yako mwenyewe kwa sababu tu wewe ni mjinga...!!
 
Back
Top Bottom