Unajua Freeman Mbowe sio mtu wa Kawaida?

Unajua Freeman Mbowe sio mtu wa Kawaida?

Mbowe namheshimu sana kiukweli pamoja na kwamba siipendi CHADEMA.
 
Freeman Mbowe sio mtu wa Kawaida,amini nakuambia.

Huyu mwamba amezaliwa kwenye familia ya kitajiri,

Baba yake alikua ni tahiti na alimwezesha Mwlm Nyerere kifedha kwenda NY Marekani kudai uhuru.

Hakukulia kwenye Manisha ya shida,

Amezaliwa ama amekulia katikati ya jiji la Dar es salaam,Sea view Upanga.

Pamoja na utajiri wao mwingine lakini ndio waliokua wamiliki wa Mbowe hotel na baadae club bilicanas,club iliyokua maarufu Sana hapa jiji Kabla ya kubomolewa na mwendazake.

Kwa kifupi Mbowe ni tahiti Hadi leo.

Mbowe ndie mwenyekiti wa Chadema alieijenga chadema kwa jasho na damu binafsi.

Amepitia mateso,machungu na magumu Sana katika kuijenga chadema kuliko mwanasiasa yoyote wa Tanzania kuliko hata mwalimu Nyerere alivyokua akidai uhuru wa Tanganyika.

Mbowe amebomolewa club bilicanas,
Ameharibiwa mashamba yake ya mbogamboga,
Alinusurika kupiga risasi siku ya Akwilina,
Alipigwa na watu wasiojulikana akiwa Dodoma.
Alishuhudia tukio baya kabisa la kushambulia kwa mbunge na mwanachama wa chama anachokiongoza,Mbunge Lissu,
Wanachama machachari na mabwege aliowatafuta na kuwafanya wakapata majina makubwa nchini walimsaliti na wakaondoka huku wakimkashifu,lakini hakuwajibu kitu,
Aliwakaribisha kiungwana baadhi ya wanasiasa kuja chadema na kupata haki sawa lakini baadae wakarudi waalikotoka huku wakimtukana.
Hawa wote Mbowe hakujibizana nao.

Mbowe Kila alipopata nafasi ya kuongea na taifa hakusita kuomba maridhiano ya kitaifa.
Mwenyekiti wa CCM taifa na Raid Marehemu Magufuli katika sherehe za uhuru huko CCM kirumba Mwanza alipompa Mbowe nafasi ya kusema machache,Mbowe aliomba Maridhiano ya kitaifa.

Mbowe leo hii Yuko ndani kwa kesi ya Ugaidi lakini sio mara ya kwanza kuqekwa ndani,Mbowe aliwekwa ndani miezi Mungu Bila kufukishwa mahakama na mara nyingine aliwekwa yeye na viongozi wenzake wa Chadema.Mbowe na wenzake walitoka kwa kulipiwa faini iliyochangishwa nchi mzima na wananchi wenye mapenzi mema.

Unaweza kukuuliza Kwa nini Mbowe amekubali kumpigia haya wakati hana shida yoyote,ni tajiri kama kama majajiri wengine walioamua kujiegemeza CCM ili wapate Kinga za utajiri wao?

Lowoasa alihamia chadema akatikiswa kidogo tu akarejea CCM,
Halikadharika Sumaye,Nyalandu na wengi kama hao.
Tazama wabunge wa ndugai akina Mdee,kuona tu hawatakua wabunge wote wakatimkia Bungeni kinyume na Sheria I'll wapate posho.

Mbowe ni Mzalendo wa kweli,ni mtaka mabadiliko wa kweli ni mpenda haki wa kweli.Mbowe hayupo kwenye siasa kwa sababu ya njaa,Mbowe kweli ni mtetezi wa wanyonge na ndio kazi ya chadema na chama makini cha siasa.
Mbowe kwa sasa anashitakiwa kwq kosa la hatari na kubwa Sana kosa la Ugaidi.
Angekua mtu mwingine angeshanyoosha mikono na kurudi kufanya biashara.
Siku zote ukimuona Mtu huyu huonesha sura ya Tanasamu hata akiwa mahakama .
Sikuwahi kujua kama Mbowe ana kaka Mwanajeshi,tena Major General wa JWTZ Marehemu.

Ukisikia kuna watu wakweli Dunia I Mbowe ni mmoja wao.

Mbowe alaiondokewa na wanasiasa mahili kama Zito,Slaa,Mwigamba,Arfi,Mashinji,Mdee,Bulaya,Shonza,Safari,Katambi,Mwambe,kutoka na wengine wengi,lakini Mbowe hajateteleka na Chadema Bado inapendwa.

Pamoja na jitihada zote za kumtoa Mbowe kwenye mstari na ndani ya misimamo yake,jitihada za kutaka kuiua chadema lakini chadema bado ni tishio kubwa Sana na Bado inaaminika na wananchi wengi Sana.

Chadema imeimarika zaidi na Mbowe amekuwa imara zaidi kuliko wakati wowote ule.

Mbowe hana shida za kiuchumi lakini anapigania haki za kisiasa katika Taifa hilo.
Kumbuka siasa ndio kila kitu.
Unapozungumzua siasa unazungumzia bei za umeme,maji,cementi,mafuta,chakula,elimu,usalama,katiba,amani,haki,furaha,sayasi,imani,utamaduni,mali,biashara na Kila kitu,kwani vitu hivyo hupangwa na kuamuliawa na wanasiasa.

Mbowe anakosa nini?
Mbowe sio Gaidi.
Ugaidi wa Mbowe ni kuzamisha ideology za haki maendeleo na amani miongoni mwa watanzania wengi

Kazi hii imetukuka mno.
 
Kuna muda natamani kujua jamaa elimu yake hata kwaufipi Ila haiwezekanagi ,mwenye taarifa zaidi
 
Kwani 'Maza Mizinguo' alikuwa anawafanyia fadhira Mbowe na Lissu?
Yeye hakuwa na 'interest' katika hayo unayoyataja hapa?
Yeye hawezi kusema uongo, kwa kuahidi bila 'timeframe'? Alikwambia "uchumi" utarekebishika lini? Aliahidi wakutane wakakataa kukutana naye kwenye mazungumzo?

Unapoleta vihoja visivyokuwa na nguvu usisahau kuwa wapo wanaokusoma na kuelewa ulaghai unaojaribu kuuza.
Ndiyo hizo dharau sasa ninazoziongelea. Unamuwekea timeframe Rais wa nchi?? Wewe nani?? Mbowe mwenyewe hajaachia Uwenyekiti wa CHADEMA kuanzia mwaka 2003, halafu anataka kumpangia Rais SSH??

Muache aendelee kunyea debe kwanza, na akitoka atakuwa kashika adabu. Shenzy Taipu
 
Miaka nenda rudi ni mingapi? Wakati alitoa hilo jibu akiwa na siku 30 tu!! Leteni arguments zenye mashiko, acheni kudandia hoja za wanasiasa wanaogombea madaraka.
Si ndiyo ajenda za chama changu za ngoja tujenge uchumi kwanza,, uchumi haujengwi kwa miaka mitano ndugu kama wanavyo tuaminisha hawa wanasiasa wa chama changu cha CCM, Ikiwa vitu vingu vinafanyika nyuma ya pazia,, uchumi tutausikia kwenye maneno tuuu
 
#FAM hawezi kupendwa na ccm. Amekuwa imara kwa miaka mingi sana. Amevishinda vikwazo na vizingiti vya ccm na watawala.
Ni mzalendo. Ni mpambanaji.
Wasiomjua vizuri wanafikiri #FAM ni kama #Kigwa au #Msukuma au #Kibajaji #Cheyo au #ZZK wanaotegemea siasa na mbeleko ili waishi!
 
Si ndiyo ajenda za chama changu za ngoja tujenge uchumi kwanza,, uchumi haujengwi kwa miaka mitano ndugu kama wanavyo tuaminisha hawa wanasiasa wa chama changu cha CCM, Ikiwa vitu vingu vinafanyika nyuma ya pazia,, uchumi tutausikia kwenye maneno tuuu
Hujui kitu kuhusu uchumi, huwezi kuchangia kitu wewe mbumbumbu
 
Haina ubishi wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".

Ningetegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri ajenge uchumi.

Duniani tunaishi kwa win- win situation. Kama Samia amefuta kesi za kubambikiza, Mahakama zimeanza kutenda haki, akaunti za Mbowe zimefunguliwa, uhuru wa maoni umeruhisiwa na hatua za kudhibiti COVID-19 zimeanza kuchukuliwa, hiyo ni WIN kwa CDM. Nilitegemea naye Rais SSH WIN yake iwe kusikilizwa aliposema nataka nijenge uchumi kwanza.

On the contrary Mbowe na Lissu wakaanza kumfokea Rais kama vile ni mbunge wa BAWACHA??

Mpaka unajiuliza nini kimewapata hawa watu ambao kwa Mwendazake waliufyata miaka 5. Mwendazake kawapiga risasi, kavunja Bilicanas na kavunja na mashamba yake, kamchukulia na fedha kwenye akaunti. Hajawahi hata kulalamika.

Samia kamrudishia akaunti, kesi zao za kubambika zikapigwa chini pamoja na ya MDUDE. Halafu wao ndiyo wa kwanza kusema HATUWEZI KUMBEMBELEZA Samia. Shenz taipu Bladifakeni Mbowe
Samia ndo kajichafua mwenyewe Mulamula kaenda state department kuomba Hangaya aonane na Biden au Kamara kakataliwa coz of Mbowe
 
Freeman Mbowe sio mtu wa Kawaida,amini nakuambia.

Huyu mwamba amezaliwa kwenye familia ya kitajiri,

Baba yake alikua ni tahiti na alimwezesha Mwlm Nyerere kifedha kwenda NY Marekani kudai uhuru.

Hakukulia kwenye Manisha ya shida,

Amezaliwa ama amekulia katikati ya jiji la Dar es salaam,Sea view Upanga.

Pamoja na utajiri wao mwingine lakini ndio waliokua wamiliki wa Mbowe hotel na baadae club bilicanas,club iliyokua maarufu Sana hapa jiji Kabla ya kubomolewa na mwendazake.

Kwa kifupi Mbowe ni tahiti Hadi leo.

Mbowe ndie mwenyekiti wa Chadema alieijenga chadema kwa jasho na damu binafsi.

Amepitia mateso,machungu na magumu Sana katika kuijenga chadema kuliko mwanasiasa yoyote wa Tanzania kuliko hata mwalimu Nyerere alivyokua akidai uhuru wa Tanganyika.

Mbowe amebomolewa club bilicanas,
Ameharibiwa mashamba yake ya mbogamboga,
Alinusurika kupiga risasi siku ya Akwilina,
Alipigwa na watu wasiojulikana akiwa Dodoma.
Alishuhudia tukio baya kabisa la kushambulia kwa mbunge na mwanachama wa chama anachokiongoza,Mbunge Lissu,
Wanachama machachari na mabwege aliowatafuta na kuwafanya wakapata majina makubwa nchini walimsaliti na wakaondoka huku wakimkashifu,lakini hakuwajibu kitu,
Aliwakaribisha kiungwana baadhi ya wanasiasa kuja chadema na kupata haki sawa lakini baadae wakarudi waalikotoka huku wakimtukana.
Hawa wote Mbowe hakujibizana nao.

Mbowe Kila alipopata nafasi ya kuongea na taifa hakusita kuomba maridhiano ya kitaifa.
Mwenyekiti wa CCM taifa na Raid Marehemu Magufuli katika sherehe za uhuru huko CCM kirumba Mwanza alipompa Mbowe nafasi ya kusema machache,Mbowe aliomba Maridhiano ya kitaifa.

Mbowe leo hii Yuko ndani kwa kesi ya Ugaidi lakini sio mara ya kwanza kuqekwa ndani,Mbowe aliwekwa ndani miezi Mungu Bila kufukishwa mahakama na mara nyingine aliwekwa yeye na viongozi wenzake wa Chadema.Mbowe na wenzake walitoka kwa kulipiwa faini iliyochangishwa nchi mzima na wananchi wenye mapenzi mema.

Unaweza kukuuliza Kwa nini Mbowe amekubali kumpigia haya wakati hana shida yoyote,ni tajiri kama kama majajiri wengine walioamua kujiegemeza CCM ili wapate Kinga za utajiri wao?

Lowoasa alihamia chadema akatikiswa kidogo tu akarejea CCM,
Halikadharika Sumaye,Nyalandu na wengi kama hao.
Tazama wabunge wa ndugai akina Mdee,kuona tu hawatakua wabunge wote wakatimkia Bungeni kinyume na Sheria I'll wapate posho.

Mbowe ni Mzalendo wa kweli,ni mtaka mabadiliko wa kweli ni mpenda haki wa kweli.Mbowe hayupo kwenye siasa kwa sababu ya njaa,Mbowe kweli ni mtetezi wa wanyonge na ndio kazi ya chadema na chama makini cha siasa.
Mbowe kwa sasa anashitakiwa kwq kosa la hatari na kubwa Sana kosa la Ugaidi.
Angekua mtu mwingine angeshanyoosha mikono na kurudi kufanya biashara.
Siku zote ukimuona Mtu huyu huonesha sura ya Tanasamu hata akiwa mahakama .
Sikuwahi kujua kama Mbowe ana kaka Mwanajeshi,tena Major General wa JWTZ Marehemu.

Ukisikia kuna watu wakweli Dunia I Mbowe ni mmoja wao.

Mbowe alaiondokewa na wanasiasa mahili kama Zito,Slaa,Mwigamba,Arfi,Mashinji,Mdee,Bulaya,Shonza,Safari,Katambi,Mwambe,kutoka na wengine wengi,lakini Mbowe hajateteleka na Chadema Bado inapendwa.

Pamoja na jitihada zote za kumtoa Mbowe kwenye mstari na ndani ya misimamo yake,jitihada za kutaka kuiua chadema lakini chadema bado ni tishio kubwa Sana na Bado inaaminika na wananchi wengi Sana.

Chadema imeimarika zaidi na Mbowe amekuwa imara zaidi kuliko wakati wowote ule.

Mbowe hana shida za kiuchumi lakini anapigania haki za kisiasa katika Taifa hilo.
Kumbuka siasa ndio kila kitu.
Unapozungumzua siasa unazungumzia bei za umeme,maji,cementi,mafuta,chakula,elimu,usalama,katiba,amani,haki,furaha,sayasi,imani,utamaduni,mali,biashara na Kila kitu,kwani vitu hivyo hupangwa na kuamuliawa na wanasiasa.

Mbowe anakosa nini?
Mbowe sio Gaidi.
Kwa umei wako humjui Mbowe
 
Samia ndo kajichafua mwenyewe Mulamula kaenda state department kuomba Hangaya aonane na Biden au Kamara kakataliwa coz of Mbowe
Mnaaminishwa vitu vya upuuzi tu. Ule New York ulikuwa mkutano wa UN siyo USA na Tanzania.

Weka hapa barua ambayo Mulamula aliandika kuomba appointment na Joe Biden au Kamala Harris. Then weka na ya majibu ya kukataliwa. Kama huna basi funga Domo lako kubwa
 
Mnaaminishwa vitu vya upuuzi tu. Ule New York ulikuwa mkutano wa UN siyo USA na Tanzania.

Weka hapa barua ambayo Mulamula aliandika kuomba appointment na Joe Biden au Kamala Harris. Then weka na ya majibu ya kukataliwa. Kama huna basi funga Domo lako kubwa
Tulia we tikiti Samia amehaha Sana kuonana na Kamala,,,coz US walimjibu Mulamula kuwa nchi inanuka no democracy no rule of law
 
Ndiyo hizo dharau sasa ninazoziongelea. Unamuwekea timeframe Rais wa nchi?? Wewe nani?? Mbowe mwenyewe hajaachia Uwenyekiti wa CHADEMA kuanzia mwaka 2003, halafu anataka kumpangia Rais SSH??

Muache aendelee kunyea debe kwanza, na akitoka atakuwa kashika adabu. Shenzy Taipu
Kuwa na mawazo huru Rais ni mtumishi wa wenye Nchi ambao ni Wananchi .Na kumwambia Rais kuhusu katiba mpya sio kumtukana ni mahitaji ya wenye Nchi kwa Sababu tayali sheria ya katiba mpya ilishatungwa 2012 .Nakushangaa kama Jambo dogo kama hili hulijui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Freeman Mbowe sio mtu wa Kawaida,amini nakuambia.

Huyu mwamba amezaliwa kwenye familia ya kitajiri,

Baba yake alikua ni tahiti na alimwezesha Mwlm Nyerere kifedha kwenda NY Marekani kudai uhuru.

Hakukulia kwenye Manisha ya shida,

Amezaliwa ama amekulia katikati ya jiji la Dar es salaam,Sea view Upanga.

Pamoja na utajiri wao mwingine lakini ndio waliokua wamiliki wa Mbowe hotel na baadae club bilicanas,club iliyokua maarufu Sana hapa jiji Kabla ya kubomolewa na mwendazake.

Kwa kifupi Mbowe ni tahiti Hadi leo.

Mbowe ndie mwenyekiti wa Chadema alieijenga chadema kwa jasho na damu binafsi.

Amepitia mateso,machungu na magumu Sana katika kuijenga chadema kuliko mwanasiasa yoyote wa Tanzania kuliko hata mwalimu Nyerere alivyokua akidai uhuru wa Tanganyika.

Mbowe amebomolewa club bilicanas,
Ameharibiwa mashamba yake ya mbogamboga,
Alinusurika kupiga risasi siku ya Akwilina,
Alipigwa na watu wasiojulikana akiwa Dodoma.
Alishuhudia tukio baya kabisa la kushambulia kwa mbunge na mwanachama wa chama anachokiongoza,Mbunge Lissu,
Wanachama machachari na mabwege aliowatafuta na kuwafanya wakapata majina makubwa nchini walimsaliti na wakaondoka huku wakimkashifu,lakini hakuwajibu kitu,
Aliwakaribisha kiungwana baadhi ya wanasiasa kuja chadema na kupata haki sawa lakini baadae wakarudi waalikotoka huku wakimtukana.
Hawa wote Mbowe hakujibizana nao.

Mbowe Kila alipopata nafasi ya kuongea na taifa hakusita kuomba maridhiano ya kitaifa.
Mwenyekiti wa CCM taifa na Raid Marehemu Magufuli katika sherehe za uhuru huko CCM kirumba Mwanza alipompa Mbowe nafasi ya kusema machache,Mbowe aliomba Maridhiano ya kitaifa.

Mbowe leo hii Yuko ndani kwa kesi ya Ugaidi lakini sio mara ya kwanza kuqekwa ndani,Mbowe aliwekwa ndani miezi Mungu Bila kufukishwa mahakama na mara nyingine aliwekwa yeye na viongozi wenzake wa Chadema.Mbowe na wenzake walitoka kwa kulipiwa faini iliyochangishwa nchi mzima na wananchi wenye mapenzi mema.

Unaweza kukuuliza Kwa nini Mbowe amekubali kumpigia haya wakati hana shida yoyote,ni tajiri kama kama majajiri wengine walioamua kujiegemeza CCM ili wapate Kinga za utajiri wao?

Lowoasa alihamia chadema akatikiswa kidogo tu akarejea CCM,
Halikadharika Sumaye,Nyalandu na wengi kama hao.
Tazama wabunge wa ndugai akina Mdee,kuona tu hawatakua wabunge wote wakatimkia Bungeni kinyume na Sheria I'll wapate posho.

Mbowe ni Mzalendo wa kweli,ni mtaka mabadiliko wa kweli ni mpenda haki wa kweli.Mbowe hayupo kwenye siasa kwa sababu ya njaa,Mbowe kweli ni mtetezi wa wanyonge na ndio kazi ya chadema na chama makini cha siasa.
Mbowe kwa sasa anashitakiwa kwq kosa la hatari na kubwa Sana kosa la Ugaidi.
Angekua mtu mwingine angeshanyoosha mikono na kurudi kufanya biashara.
Siku zote ukimuona Mtu huyu huonesha sura ya Tanasamu hata akiwa mahakama .
Sikuwahi kujua kama Mbowe ana kaka Mwanajeshi,tena Major General wa JWTZ Marehemu.

Ukisikia kuna watu wakweli Dunia I Mbowe ni mmoja wao.

Mbowe alaiondokewa na wanasiasa mahili kama Zito,Slaa,Mwigamba,Arfi,Mashinji,Mdee,Bulaya,Shonza,Safari,Katambi,Mwambe,kutoka na wengine wengi,lakini Mbowe hajateteleka na Chadema Bado inapendwa.

Pamoja na jitihada zote za kumtoa Mbowe kwenye mstari na ndani ya misimamo yake,jitihada za kutaka kuiua chadema lakini chadema bado ni tishio kubwa Sana na Bado inaaminika na wananchi wengi Sana.

Chadema imeimarika zaidi na Mbowe amekuwa imara zaidi kuliko wakati wowote ule.

Mbowe hana shida za kiuchumi lakini anapigania haki za kisiasa katika Taifa hilo.
Kumbuka siasa ndio kila kitu.
Unapozungumzua siasa unazungumzia bei za umeme,maji,cementi,mafuta,chakula,elimu,usalama,katiba,amani,haki,furaha,sayasi,imani,utamaduni,mali,biashara na Kila kitu,kwani vitu hivyo hupangwa na kuamuliawa na wanasiasa.

Mbowe anakosa nini?
Mbowe sio Gaidi.
100% ukweli mtupue
 
Tulia we tikiti Samia amehaha Sana kuonana na Kamala,,,coz US walimjibu Mulamula kuwa nchi inanuka no democracy no rule of law
Achana na huyo kiazi cherema. Ni mropokaji tu mwenye haiba kama za popo.
 
Back
Top Bottom