Unajua Freeman Mbowe sio mtu wa Kawaida?

endelea kutumika..ipo siku akili zako zitarud tu

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 

Sio mtu wa kawaida kweli

Div 0 ya Form 6, unafikiri Mbowe kuipata hiyo 0 ni mtu wa kawaida, sio wa kawaida huyo, ni nyoko sana
 
Una mahaba na
Una mahaba na Mbowe sio bure. Hakuna Baya hata moja kwake so yeye ni mtakatifu jamani
 
Sio mtu wa kawaida kweli

Div 0 ya Form 6, unafikiri Mbowe kuipata hiyo 0 ni mtu wa kawaida, sio wa kawaida huyo, ni nyoko sana
Bora Mbowe ni ya form six wewe ya mwenyekiti wako ni ya FORM FOUR.Uliza tena hapo Lumumba.
 
Rais wa nchi ni Mungu wako?
Hii ndiyo mentality ya kipumbavu kabisa, na ndiyo anavyoichukulia huyo mnayemfanya awe mungu wenu!
Uakiona mtu kwenye mjadala wa kawaida ana resort kwenye matusi, ujue ni mufilisi kifikra. Siwezi kukurudishia tusi kwa vile wasomaji watashindwa kujua ni nani mpumbavu kati yangu na Kalamu1
 
Anastahili kura pesa ya chedema kwa mateso haya
 
Mkuu kwani kurudishiwa account zakeke na Mdude kushinda kesi ni fadhila? Wewe ni mtu wa ajabu sana. Nakuchukiaga sana siku hizi. Yani Mdude kasingiziwa kabambikiwa kesi Mbowe kaporwa account zake walipora na kumuachia Mdude hao hao unawasifia. Why are you annoying nowadays?

Could you please dissappear to hell and never come back

God bless Freeman Mbowe
 
Ukinichukia ni hiari yako na uhuru wako wa kuiamini unachoamini. Usinilazimishe kuandika kufurahisha roho yako. Mimi siishi kwa kukariri bali nakosoa left and right, kama wewe unamuabudu Mbowe you can go to jail as well
 
Ukinichukia ni hiari yako na uhuru wako wa kuiamini unachoamini. Usinilazimishe kuandika kufurahisha roho yako. Mimi siishi kwa kukariri bali nakosoa left and right, kama wewe unamuabudu Mbowe you can go to jail as well
LAZIMA UPANGIWE CHA KUANDIKA WEWEE KAMOOOONN.

Amready to go to Jail for Mwamba. Watu kama nyie ni wasaliti hamna msimamo. You have a spacial place in hell. Go back there where you belong.

Mbowe forever
 
Uakiona mtu kwenye mjadala wa kawaida ana resort kwenye matusi, ujue ni mufilisi kifikra. Siwezi kukurudishia tusi kwa vile wasomaji watashindwa kujua ni nani mpumbavu kati yangu na Kalamu1
"Upumbavu" hauwezi kujificha katika maandishi awekayo mtu kwenye jukwaa hili. Mtu haitwi "mpumbavu" bila kuona sababu ya upumbavu wake.
Sasa kama bado unapata shida kuelewa hayo, sina sababu zaidi ya kukufahamisha sifa sahihi unayoistahili.
 
LAZIMA UPANGIWE CHA KUANDIKA WEWEE KAMOOOONN.

Amready to go to Jail for Mwamba. Watu kama nyie ni wasaliti hamna msimamo. You have a spacial place in hell. Go back there where you belong.

Mbowe forever
Mbowe is already in jail, follow him mutha ..cka
 
"Upumbavu" hauwezi kujificha katika maandishi awekayo mtu kwenye jukwaa hili. Mtu haitwi "mpumbavu" bila kuona sababu ya upumbavu wake.
Sasa kama bado unapata shida kuelewa hayo, sina sababu zaidi ya kukufahamisha sifa sahihi unayoistahili.
Biblia inakataza kujibizana na watu kama wewe Kalamu

Mithali 26:4 . Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye

Nina logoff
 
Nitarudi kusoma tena kesi yake ikiisha nahisi nitakuelewa zaidi
 
Mleta mada hujaweka Na issue ya Chacha Wangwe hapo
 
Mleta mada hujaweka Na issue ya Chacha Wangwe hapo
Ooh yes umenikumbusha Ishu ya chacha wangwe.

Chacha Wangwe alikufa,
Rostam azizi kwa chuki alivyokua nayo dhidi ya chadema akiwa SA na akiwa mmiliki wa Magazeti fulani,kwa mkono wake akaandika malala kuonesha Chadema imehusika na kifo cha Wangwe.

Upande mwingine Polisi waliendelea na uchunguzi wakagundua mpaka Wangwe anakufa alikua na Deus Malya.
Kesi ikapelekwa mahakamani,
Deus Malya akautwa na hatia akafungwa.

Anatoka gerezani.

Baada ya Muda akawa mshirika wa Mwigulu mchemba,Deus Malya akashiriki kumfrem Lwakatare wa chadema kuwa Ni Gaidi.
Lisu akasimamia shoo Lwakatare akashinda kesi.
Yote haya Mbowe alipitia akiwa mwenyekiti wa Chadema.
Lego la yote hayo ni kutafuta namna ya kukifuta chama anachokiongoza Mwamba Mbowe.
 
100% mbowe sio gaidi
 
Kiufupi ni kuwa akuna na sijui kama itakuja tokea mwamba kama huyu kuja kushindana na ccm inayotumia nguvu ya dola na fedha ili kumpoteza kamanda mbowe. Pamoja na jitihada zao zote wameshindwa na hawataweza kumdondosha mwamba ana watu ndani na njee wanampa nguvu.
 
Mbowe ni mpango wa Mungu kwa watanzania kama ilivyokuwa Yesu kwa wanadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…