Unajua Freeman Mbowe sio mtu wa Kawaida?

Mi nadhani tuuseme ukweli kuwa huyu ni shujaa namba 1 duniani hata Mungu alipomaliza kumuumba Yesu aliyefuta ni Freeman, na hajawai tokea mtu kama yeye ambaye kila uchaguzi mkuu unapoanza anakikopesha chama miela kibao na anakidai chama miela kibao mpaka leo.
Pia ni mwenyekiti wa maisha wa Chadema milele Mungu na wanadamu tumemtukuza, Aliteguka miguu tu bila ya kuumia popote alivyokuwa amelewa chakali Faru Joni hakuzimia wala nini na hakuwai kukanusha.

Tofauti na Mandela alipokuwa gerezaji watu walimwaacha na kuendelea na shughuli za chama na ukombozi Mbowe mtu wa Mungu shujaa yeye shughuli zote zimesimama, macho, masikio, akili zote ziko mahakamani. Hata akiukumiwa miaka 30 tutaakikisha tunaelekeza akili na kilakitu Segerea ikiwezekana ofisi kuamia Segerea kwa mtu wa ajabu kuwa kutokea duniani.

Mimi sishangai kwani hata huku kwetu kanisani tukimpenda mchungaji hata waseme kafanyaje hatusikilizagi kwasababu ni mteuliwa wa Mungu, tulikuwa na mchugaji mmoja alikuwa analamba kondoo tena walionona, kuna jamaa alikuwa anatetea mpaka raha lakini siku moja alilambwa mkewe akajua, mimacho ilimtoka kama fundi saalakini sisi tulimtuliza atulie na mambo yaendelee kwani mtumishi wa Mungu unakuwa umemgusa Mungu.

Shujaa mboe tajiri mkubwa lakini ilihali akijua kuwa likachero Lowasa liko kazini alikubali kupokea kitita cha noti hili kuongeza mtaji kwa kuibadirisha gia box angani na yaliyotokea nani ajui kuwa huyu ni shujaa. Na mimi kama mtoto wa mchugaji anamwona kama mtu shujaa kwa uwezo wake mkubwa wa kuiga utamaduni wa kanisa kukusanya sadaka na kuuamishia Ufipa na kuweza kukusanya sadaka kuzidi sisi ambao tumesoma teolojia na saikolojia ametuzidi unaweza vipi kukataa si shujaa.

Mbowe ambaye aliunda Redibrigedia Nyekundu ambayo ilikuwa inakong'ota mpaka viongozi waliokuwa awakubali maamuzi yake unadhani itakuwaje akija kuchukuwa nchi si tutashuhudia ushujaa wake.
Wakati waafrika wote na duniani na wakristu na waislam tukiamini kuwa mtu akifa tunamwacha kwani ametangulia mbele za haki lakini ni tofauti kwa huyu shujaa Mbowe na kweli ni shujaa kwa sababu nilishuhuudia hotuba yake baada ya marehemu akiwa Nairobi aliikomalia maiti aliikunja aliamua mpaka kuichania sanda yaani alikuwa anaongea kanakwamba huyo mtu mzima hili hali alipokuwa mzima huyu shujaa mkia ulifika mpaka usoni kupitia chini.

Nawasilisha karibuni sana kanisani.
 
Mwamba Mbowe bado kawashika manyumbu

 
Pia ni jabali kuu. "Freeman is not a terrorist".
 
Hakuna uchumi anaojenga Samia na hajui hata huo uchumi unajengwaje, acha uongo bwana. Ccm ili wawepo lazima wafanye hayo otherwise, ccm is kaput.
 
Ukiacha hayo matusi uliyoandika, kimsingi hata mimi nilikuwa nawaza kwamba Rais Samia anahitaji kupewa muda, hasa kwa nia njema aliyokwisha ionesha.
Lakini baada ya kutafakari kwa makini, nimeona CHADEMA wako sahihi katika hayo wanayofanya. Kitu ambacho kiko wazi ni kwamba Samia alivutwa sketi, hasa baada ya kuonesha nia ya kukutana na CHADEMA. Na hao waliomshauri aachane na CHADEMA, walikuwa na hoja.
Iko hivi. CCM imetumia wizi mkubwa sana kuingia madarakani 2019 na 2020. Siku za mwanzo za kampeni za 2020, CHADEMA walikuwa wanyonge. Lakini baada ya kuona mwitikio wa wananchi, wakajiamini zaidi. Magufuli, ambaye ni mwoga sana wa competition, akaanza kumhujumu Lissu, ambapo mwanzo alimuignore. Sasa miaka 5 ya Magufuli iliumiza wananchi wengi, na walikuwa tayari kuiondoa CCM madarakani. Kisiasa, ccm ni mfu, bila mkongojo na mbeleko ya Dola, ccm hamna kitu.

Kwa hiyo, kuongea na CHADEMA maana yake angalau Katiba na sheria ya vyama vya siasavifuatwe. Naamini Samia alikuwa tayari kwa hayo. Lakini hata Polepole aliwahi kusema, kabla hajajiunga na ccm na kuweka kando akili zake, kwamba kama sheria zinaheshimiwa, ccm haiwezi kushinda.

Kwa kulitambua hilo, washauri wa Samia hawawezi kumshauri akae na CHADEMA.

Kwa hiyo Samia alivunja ahadi yake, akwaachia polisi na watu wa usalama washughulike na CHADEMA . Hiyo kwa Kweli inazidi kuiua ccm. Mbinu ingine walishauri CHADEMA waongee na polisi badala ya Samia. Huu ulikuwa mtego, ambao hata akina zitto waliingia mkenge, kabla ya kuushitukia. Lakini CHADEMA waliuona mapema sana.

Kimsingi, haki haitolewi bure, hupiganiwa. Ndio maana Kenya wako vizuri zaidi kwa sababu walipambana, wakamwaga damu, sio tu wakati wa uhuru, bali pia kipindi cha katiba mpya.

Kwa hakika, kama Samia angetekeleza ahadi yake, akaongea na CHADEMA , Mbowe hangekuwa na nguvu na umaarufu alio nao sasa. Na hii ndio siri wasiyoijua ccm. Upinzani unapungua nguvu mnapojadiliana. Mnapokuwa na muafaka
 
Hakuna uchumi anaojenga Samia na hajui hata huo uchumi unajengwaje, acha uongo bwana. Ccm ili wawepo lazima wafanye hayo otherwise, ccm is kaput.
Wewe unajuwa nini kuhusu uchumi? Choo cha nyumba yako chenyewe imeshindwa kujenga, unakunya kwa jirani, halafu unakuja kubeza kazi za kimkakati za taifa
 
Yote nakubaliana na wewe kasoro aya hii hapa;
"Kimsingi, haki haitolewi bure, hupiganiwa. Ndio maana Kenya wako vizuri zaidi kwa sababu walipambana, wakamwaga damu, sio tu wakati wa uhuru, bali pia kipindi cha katiba mpya."

Kumwaga damu kwa ajili ya wachache wanaogombea kutawala HAPANA. Wakenya waligombana na Kikwete na Mkapa ndiyo walihusika kuwapatanisha. Burundi, Rwanda, Uganda hawa wote wakipata shida wanasuluhishwa Tanzania. Sisi tutakwenda wapi? Kisa tu Mbowe awe Rais?
 
Siasa za Tanzania zina magwiji watatu

1.JK Nyerere
2. J.M Kikwete
3.F.A.Mbowe

Wengine wote wanasiasa uchwara hawawafiki hao jamaa hata chembe

Hawa wamepiga mwingi sana kwenye hizi siasa zetu

Hawa ni majabali hasa .

#MboweSioGaidi
 
Unaongea vitu ambavyo ni propaganda na pia haviendani na uhalisia. Lowasa hajatoa pesa yoyote kwa CHADEMA. Ndio, alileta kura nyingi za urais, alileta wabunge na madiwani wengi, japo nao wengi wao walikuwa wasakatonge. Hozi propaganda kwamba Mbowe anategemea fedha ya CHADEMA, bado tu mnaziendeleza ilhali CHADEMA sasa hawapokei asilani ruzuku ya serikali, wameisusa. Sasa Mbowe hapo anakula pesa gani? Sema mmezoea hongo, rushwa na ufisadi huko ccm, mnazania kila mtu mwizi kama nyie?
 
Walamba makalio wa lumumba
 
Eti mtt wa mchunguji [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Wewe unajuwa nini kuhusu uchumi? Choo cha nyumba yako chenyewe imeshindwa kujenga, unakunya kwa jirani, halafu unakuja kubeza kazi za kimkakati za taifa
Ww ni wa kupuuzwa tuu [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Mbowe ni mwamba.amefanya harakati hata vijijini.mfano Kule mbozi na momba Hadi vijana waliomaliza vyuo hawana fedha ya kampeni walipata ubunge(silinde na haonga).Viva mbowe,God is with you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…