Unajua kuna vijana walilala Miaka 309 bila kuamka?

Kila kitu cha Mwenyezi Mungu, sio sayansi tu
Nilikushangaa ulivyosema sayansi imekuja juzi. Wakati sayansi ni ya Mwenyezi Mungu. Kuanzia wewe ulivyo ni sayansi. Mvua inayonyesha ni sayansi. Jua ni sayansi, nyota, mwezi vyoote ni sayansi.
 
Hyo inaitwa CRYOSLEEP, ni aina ya kutunza mwili ambapo viungo vya ndani vya binadmu kuzima na kutunzwa kwenye baridi kwa muda unaotaka ukiwa umelala na kisha joto la mwili huanza kuja taratibu na ukiamka unakuwa hujaongezeka umri
 
Hyo inaitwa CRYOSLEEP, ni aina ya kutunza mwili ambapo viungo vya ndani vya binadmu kuzima na kutunzwa kwenye baridi kwa muda unaotaka ukiwa umelala na kisha joto la mwili huanza kuja taratibu na ukiamka unakuwa hujaongezeka umri
Nani kafanyiwa hivi ? America wanafanya?
 
Nani kafanyiwa hivi ? America wanafanya?
Ukicheki aya ya 17 au 18 kama mas-hafu imeweka Bismllahi kama aya, inasema "Na unaliona jua linapopanda linapita mbali na pango" hyo ina maanisha walikuwa hawapati joto la jua hivyo kusababisha kuwa na hali ya baridi ndani ya pango
 
Matured. Hakuna kiswahili chake? Au ndio chawa wa wazungu?
 
Kwan kipindi icho mbwa walikua na uwezo wa kuishi miaka mingapi mkuu.
 
Matured. Hakuna kiswahili chake? Au ndio chawa wa wazungu?

Asalama leko allahu kibaruu
Muhammad lasuur.

Ningetaja maneno haya wala usingeongea hivyo, ewe mfuasi wa chombo/mpango cha kueneza tamaduni, mila na desturi za kiarabu (maana halisi ya uislam)
 
Hyo inaitwa CRYOSLEEP, ni aina ya kutunza mwili ambapo viungo vya ndani vya binadmu kuzima na kutunzwa kwenye baridi kwa muda unaotaka ukiwa umelala na kisha joto la mwili huanza kuja taratibu na ukiamka unakuwa hujaongezeka umri
Leo nilikuwa sijanywa CHAI asante sana
 
Asalama leko allahu kibaruu
Muhammad lasuur.

Ningetaja maneno haya wala usingeongea hivyo, ewe mfuasi wa chombo/mpango cha kueneza tamaduni, mila na desturi za kiarabu (maana halisi ya uislam)

tameer
Kwa akili yako. Nani ni chawa halisi wa wageni. Je ni wale ambao wanatamka maneno yaleyale ya lugha wageni mara 5 kwa siku. Au ni wale wengine ambao hutumia lugha ya kigeni kwa nasibu. Bila kuwa na mfumo maalum wa kutaja maneno hayo?
Ukijibu tafadhali, nakala iende kwa huyu Malaria 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…