Unajua kwanini 90% ya wana-hiphop huamini kuwa 2pac ni king wao?

Unajua kwanini 90% ya wana-hiphop huamini kuwa 2pac ni king wao?

Another bullshit. Ni kweli Jay ali-sample wimbo wa Pac, lakini kusema eti "03 Bonnie and Clyde" ndio wimbo uliomtoa Jay ni uongo mkubwa. Huo wimbo uko kwenye albamu ya 6 ya Jay inayoitwa "The Blueprint 2: The Gift and The Curse" na ilitoka mwaka 2002. Albamu ya kwanza ya Jay "Reasonable Doubt" ilitoka mwaka 1996. Unataka kudanganya kwamba albamu zote tano za mwanzo Jay alikuwa bado hajajulikana mpaka alipotoa "The Blueprint 2"? Nina wasiwasi sana knowledge yako kuhusu hip hop.
Ndio anaweza kuwa alishatoa album kibao na kujulikana kiaina. Lakini wengi au dunia ilimjua zaidi baada ya kutoa huo wimbo.
 
Ndio anaweza kuwa alishatoa album kibao na kujulikana kiaina. Lakini wengi au dunia ilimjua zaidi baada ya kutoa huo wimbo.
Nope. Jay alikuwa tayari famous kabla ya huo wimbo. Albamu 6 (5 zake na moja ya compilation), hits kibao mfano Dead Presidents, Ain't No Nigga, Can't Knock the Hustle, Can I Get a ..., Hard Knock Life, Big Pimpin, I Just Wanna Love U, Izzo (HOVA) just to mention a few, halafu unasema Jay alikuwa hajulikani duniani? You can't be serious.
 
Back
Top Bottom