Unajua kwanini Wazungu wanapenda kusoma vitabu?

Unajua kwanini Wazungu wanapenda kusoma vitabu?

Kiukweli sipendi kusomasoma ila nature ya maisha yangu najikuta nasoma.
Kwanza huo muda sinaga kusoma li kitabu likubwa dah.
Kuna siku moja classmate wangu alikuwa mtu mzima alinambia kwa hii coz ulosoma lazima usome vitabu vikubwa. Ahaaa.

Nikamjibu mm ni msikilizaji mzuri mwalimu anachofundisha darasani anakutana nacho kwenye karatasi ya majibu. Na ndo nilisomaga hivyo hivyo.

Mimi napenda mtu aongeee afu mimi niandike nilichoelewa. Sijawahi kusoma kitabu nikakimaliza naishia nusu au specific topic

Ambavyo sipendi kusoma ma vitabu na uzee huu kuna lugha nipo naisoma dah maisha haya!
 
Reading habit ipo kwa wenzetu. Sisi wengi wetu usomaji hata magazeti tu shida unless habar ikae kuvutia zaidi interest za mitaani. Wengi sisi hatuvutiwi wala hatuna interest na vitabu au makala za kuelimisha, ndio mana kusoma vitabu vya kujiongezea maarifa mbalimbali ni shida bila kujali lugha iliyotumika.
Kwenye masebule yetu hatuna kabati la vitabu wala magazeti au magazine. Ila makabati ya vyombo . Kuna miaka ya katikati hapo kabla simu janja hazijawa nyingi kulikuwa na magazine fulani watu walipendelea kusoma ..ila leo hayaonekanai. Watu tuko busy na mitandao kwenye simu zetu..
 
Back
Top Bottom