Mkuu inaonesha unahusudu na kiuwa muumini mnzuri wa NGUVU ZA GIZA
mkuu UCHAWI/NGUVU ZA GIZA /PEPO WA CHAFU /MAJINI ypo hilo linajurikana
Lakini ukiyaendekeza hayo unakuwa MTUMWA mno
Ikiwa hayakusumbui kimwili yaan hauna maradhi yatokansyo na hayo mambo
We yape kisogo hakuna dhambi utakayopata
fanya maisha pata ela(kulingana na urefu wa kazi yako /biashara yako)
saidia moyo wako unapoona panahitaji msaada wako na una uwezo huo
Nenda kanisani jmosi/jpili
Swali sala 5
Ukitaka kufanikiwa bira stress Acha zinaa kwanza
Acha pombe Acha USHIRIKINA
Then utaona kipato kinaongezeka