Unajua mapanya ya usiku yanaua ndoa zetu na uchumi wetu?

Unajua mapanya ya usiku yanaua ndoa zetu na uchumi wetu?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kama unaona ndoa yako maisha yako kiuchumii yanasuasuaa

Angalia na fukuza hawa
Panda
Mende
Mijusiiii
Mapaka

Kwa gharama zozote waondoke hapo kwako else utapigika mbaya yaana wanavyoendelea kuzaliana ndipo na wewe wwanakunyoshaaa kirohoo na kimwili mpaka unyokekekee

@fanyiakazi
C2
Tumeellewana
 
Mkuu inaonesha unahusudu na kiuwa muumini mnzuri wa NGUVU ZA GIZA

mkuu UCHAWI/NGUVU ZA GIZA /PEPO WA CHAFU /MAJINI ypo hilo linajurikana

Lakini ukiyaendekeza hayo unakuwa MTUMWA mno

Ikiwa hayakusumbui kimwili yaan hauna maradhi yatokansyo na hayo mambo
We yape kisogo hakuna dhambi utakayopata
fanya maisha pata ela(kulingana na urefu wa kazi yako /biashara yako)
saidia moyo wako unapoona panahitaji msaada wako na una uwezo huo
Nenda kanisani jmosi/jpili
Swali sala 5

Ukitaka kufanikiwa bira stress Acha zinaa kwanza
Acha pombe Acha USHIRIKINA
Then utaona kipato kinaongezeka
 
Ila nawe na hako kandoa,mbona unasumbua mno!?...ni halali yake anavyokunyima
Mmh shemejiyaakoo kasafiri
Angekuwepo saahizi mkuu..tunapumuliana kama sio kusafishana mda mzuri wa sex usiku 23000 mpaka 0100. Asbh 0500 mpaka 0600...usinikumbushe nimpigie yuko nanani maana sikuhizi wakwe wamekuwa chambonaenda kwa wazazii weee
 
Mmh shemejiyaakoo kasafiri
Angekuwepo saahizi mkuu..tunapumuliana kama sio kusafishana mda mzuri wa sex usiku 23000 mpaka 0100. Asbh 0500 mpaka 0600...usinikumbushe nimpigie yuko nanani maana sikuhizi wakwe wamekuwa chambonaenda kwa wazazii weee
🤣🤣🤣🤭
 
hawa wadudu wanaondoa uwepo wa Mungu ndani kwakoo usiwaruhusu
 
Back
Top Bottom