Unajua Mungu aliumbwa na nani?

Unajua Mungu aliumbwa na nani?

Hizi elimu ni kubwa ndugu na ni elimu pana sana kwa wanaotaka kujua kuhusu siri za dunia na yanayoendelea duniani nguvu ipi ipo nyuma ya yote yatokeayo.
We bakia kwenye box la fikra moja tu ya sayansi hizi elimu zingine ngumu kwako.
. corona,ushoga motives,hayatokei kimakusudi
Mkuu hujathibisha chochote kati hivyo nilivyokuomba uthibitisho.
 
Falsafa (arm chair thinking) ikiingia sana kichwani, huwa inampelekea mtu kuona kuwa vilivyopo vyote havipo, halafu vile ambavyo havipo, ndiyo vinaonekana kuwa vipo
Unaweza kutaja vitu ambavyo falsafa inamfanya MTU aone havipo na vile ambavyo havipo vionekane kuwepo?
 
Mzimu una nguvu kwako na sio kwa wote.
Mungu ni jina na ndani ya jina ipo nguvu
Kwa nini unadhani jina Mungu ndio lenye nguvu na sio mzimu?

Aliyekwambia na kukuaminisha jina Mungu ndio lenye nguvu ni nani?

Bila shaka ni dini..Ndio maana huwa nasema waafrika mlisha haribiwa na dini.

Unge aminishwa na kuambiwa hiyo nguvu inaitwa jina Mzimu tangu utotoni mwako unge amini mzimu ni jina lenye nguvu.

Kwa hiyo nahitimisha kwamba una mwamini Mungu kwa HOFU za kidini kwamba usipo amini uwepo wake mwisho wa siku utachomwa Moto..

Amka mwafrika.....[emoji1][emoji1]
 
Tatizo lenu waumini.. mkiulizwa maswali yenye hoja nzuri.. mnakimbilia vitisho vitisho.

Hizi zama za werevu sio za wajinga wajinga.. jifunzeni kujibu maswali yenye hoja , kwa hoja nzuri ya jibu.. sio vitisho vitisho vya mwaka 47
Umechukuliwa msukule wewe
 
Hivyo unaamini kwa kuogopa kuitwa mpumbavu? Kama yupo kwanini aniache niwe mpumbavu na mwingine awe mwelewa? Unaweza kuthibitisha kuwa yupo?
Ni rahisi kuthibitisha yupo badala ya kuthibitisha kuwa hayupo. Pole kwa kusema mpumbavu, nimenukuu tu biblia.
 
Mimi ni kijana ambaye Kwa muda wa miaka 2 nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali hapa Jf katika jukwaa hili la intelligence. Moja ya mijadala ambayo imekuwa ikinivutia sana ni hii ya dhana ya uwepo wa Mungu.

Swali kubwa ambalo nimeku wa nikijiuliza ni " Mungu alitoka wapi"

Baada ya kuisoma sana biblia na Quran pamoja na kuwahoji viongozi mbalimbali wa dini, hatimaye nikapata jibu la swali lililonitatiza muda mrefu, Mungu alitoka wapi?

Nimegundua kuwa muumba wa Mungu ni mwanadamu. Yes mwanadamu kama Mimi na wewe ndiye aliyemuumba Mungu.

Kwanini nimefikia hitimisho hilo?

Vitabu tunavyoaminishwa kuwa ni vya Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu ( biblia & Quran) ni vitabu vyenye makosa mengi sana ya kimantiki na habari nyingi zenye utata, jambo ambalo tusingetegemea liwepo katika kitabu kilichoandikwa kwa muongozo kutoka kwa Mungu mkuu mwenye uwezo asiyeshindwa na kitu.

Uwepo wa habari hizo zenye utata zinadhihirisha moja kati ya mambo yafuatayo.

1. Mungu hana ukuu tunaoambiwa ndio sababu ameshindwa kutoa mwongonzo mzuri katika kuandika kitabu kisicho na makosa ya kimatinki.

2. Habari hizi ni zao la fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za giza na ujinga. Mwanadamu ambae alitaka kutafuta majibu mepesi katika maswali magumu yaliyomzunguka ndio sababu zina utata.

Kama jibu ni 1 basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo Bali aliyepo ni dhaifu na mbabaishaji aliyeshindwa kuandika vizuri kitabu kinachomuelezea yeye mwenyewe.

Kama jibu ni 2 ,basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo ndiyo sababu akatokea mtu akatunga habari kutokana na fikra zake mwenyewe. Angekuepo asingeruhusu magepu katika fikra za mwanadamu ambayo yamepelekea mwanadamu huyo kujitungia majibu mepesi na habari zenye utata ili kuziba hayo magepu katika fikra zake.

Pointi zote mbili utaona zinaonyesha kuwa Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu mjuzi wa yote hayupo Bali " ama aliyepo ni dhaifu,mbabaishaji na asiye na uelewa wowote kuhusu ulimwengu, ama dhana nzima ni hadithi ya kutungwa katika fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za ujinga na kukosa access ya taarifa mbalimbali.

Nawasilisha.
Wewe mwanadamu uliye mtengeneza Mungu umekujaje duniani? (Binadamu wa kwanza kajaje?)
 
Wewe mwanadamu uliye mtengeneza Mungu umekujaje duniani? (Binadamu wa kwanza kajaje?)
Sijui alikujaje....hill halifanyi jibu liwe mungu kaumba..

Inabifi tusiwe wavivu wa kufikiri ,tutulize akili na tufanye uchunguzi tupate majibu yenye mantiki zaidi na sio kujitungia majibu ya harakaharaka yasiyothibitishika.
 
Mimi ni kijana ambaye Kwa muda wa miaka 2 nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali hapa Jf katika jukwaa hili la intelligence. Moja ya mijadala ambayo imekuwa ikinivutia sana ni hii ya dhana ya uwepo wa Mungu.

Swali kubwa ambalo nimeku wa nikijiuliza ni " Mungu alitoka wapi"

Baada ya kuisoma sana biblia na Quran pamoja na kuwahoji viongozi mbalimbali wa dini, hatimaye nikapata jibu la swali lililonitatiza muda mrefu, Mungu alitoka wapi?

Nimegundua kuwa muumba wa Mungu ni mwanadamu. Yes mwanadamu kama Mimi na wewe ndiye aliyemuumba Mungu.

Kwanini nimefikia hitimisho hilo?

Vitabu tunavyoaminishwa kuwa ni vya Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu ( biblia & Quran) ni vitabu vyenye makosa mengi sana ya kimantiki na habari nyingi zenye utata, jambo ambalo tusingetegemea liwepo katika kitabu kilichoandikwa kwa muongozo kutoka kwa Mungu mkuu mwenye uwezo asiyeshindwa na kitu.

Uwepo wa habari hizo zenye utata zinadhihirisha moja kati ya mambo yafuatayo.

1. Mungu hana ukuu tunaoambiwa ndio sababu ameshindwa kutoa mwongonzo mzuri katika kuandika kitabu kisicho na makosa ya kimatinki.

2. Habari hizi ni zao la fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za giza na ujinga. Mwanadamu ambae alitaka kutafuta majibu mepesi katika maswali magumu yaliyomzunguka ndio sababu zina utata.

Kama jibu ni 1 basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo Bali aliyepo ni dhaifu na mbabaishaji aliyeshindwa kuandika vizuri kitabu kinachomuelezea yeye mwenyewe.

Kama jibu ni 2 ,basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo ndiyo sababu akatokea mtu akatunga habari kutokana na fikra zake mwenyewe. Angekuepo asingeruhusu magepu katika fikra za mwanadamu ambayo yamepelekea mwanadamu huyo kujitungia majibu mepesi na habari zenye utata ili kuziba hayo magepu katika fikra zake.

Pointi zote mbili utaona zinaonyesha kuwa Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu mjuzi wa yote hayupo Bali " ama aliyepo ni dhaifu,mbabaishaji na asiye na uelewa wowote kuhusu ulimwengu, ama dhana nzima ni hadithi ya kutungwa katika fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za ujinga na kukosa access ya taarifa mbalimbali.

Nawasilisha.
Hizi hoja ni ngumu na hakuna wa kukupa Majibu kwa wakati huu sana utaishia kushambuliwa tu na wanaoamini katika nadharia hii.

Nenda katafute kitabu kinachoitwa HOMA YA DUNIA ni ngumu kukipata ila kinapatikana. Hakika ukikisoma utaona namna ambavyo Dunia imebadilishwa na Mfalme Constantine kiasi hivi sasa huwezi pata ukweli wowote kumuhusu Mwenyezi Mungu.

Ni huzuni kwa upande wangu kuona Mungu muweza wa yote Bado amekaa kimya. Hata baada ya kupotezewa viumbe wake kiasi hata kuandaa Jeshi la malaika ili siku Moja waje waiangamize na kutoka hukumu kwa Dunia hii aliyoitengeneza kwa uweza wake mwenyewe kwa kile kinachosemekana kumuhasi na kutotii kile anachokitaka Mwanadamu wake awe.
 
Hizi hoja ni ngumu na hakuna wa kukupa Majibu kwa wakati huu sana utaishia kushambuliwa tu na wanaoamini katika nadharia hii.

Nenda katafute kitabu kinachoitwa HOMA YA DUNIA ni ngumu kukipata ila kinapatikana. Hakika ukikisoma utaona namna ambavyo Dunia imebadilishwa na Mfalme Constantine kiasi hivi sasa huwezi pata ukweli wowote kumuhusu Mwenyezi Mungu.

Ni huzuni kwa upande wangu kuona Mungu muweza wa yote Bado amekaa kimya. Hata baada ya kupotezewa viumbe wake kiasi hata kuandaa Jeshi la malaika ili siku Moja waje waiangamize na kutoka hukumu kwa Dunia hii aliyoitengeneza kwa uweza wake mwenyewe kwa kile kinachosemekana kumuhasi na kutotii kile anachokitaka Mwanadamu wake awe.
Hayupo, angekuwepo asingejificha tumtafute na tutakaomkosa atuchome moto.
 
Back
Top Bottom