Cornwallis
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 940
- 853
- Thread starter
-
- #321
Mkuu hujathibisha chochote kati hivyo nilivyokuomba uthibitisho.Hizi elimu ni kubwa ndugu na ni elimu pana sana kwa wanaotaka kujua kuhusu siri za dunia na yanayoendelea duniani nguvu ipi ipo nyuma ya yote yatokeayo.
We bakia kwenye box la fikra moja tu ya sayansi hizi elimu zingine ngumu kwako.
. corona,ushoga motives,hayatokei kimakusudi
Twende kwenye elimu zingine nje ya sayansi ukitaka uthibishoMkuu hujathibisha chochote kati hivyo nilivyokuomba uthibitisho.
Unaweza kutaja vitu ambavyo falsafa inamfanya MTU aone havipo na vile ambavyo havipo vionekane kuwepo?Falsafa (arm chair thinking) ikiingia sana kichwani, huwa inampelekea mtu kuona kuwa vilivyopo vyote havipo, halafu vile ambavyo havipo, ndiyo vinaonekana kuwa vipo
I' m open.Twende kwenye elimu zingine nje ya sayansi ukitaka uthibisho
Kwa nini unadhani jina Mungu ndio lenye nguvu na sio mzimu?Mzimu una nguvu kwako na sio kwa wote.
Mungu ni jina na ndani ya jina ipo nguvu
Tengeneza mdoli muwekee pumzi mpe na akili ajitegemeeHoja nyepesi sana...Kila kitu hiki kinajulikana mechanisms zake
Ndio , mada imekuja baada ya kutolewa msukuleIna uhusiano na kinachojadiliwa hapa?
Umechukuliwa msukule weweTatizo lenu waumini.. mkiulizwa maswali yenye hoja nzuri.. mnakimbilia vitisho vitisho.
Hizi zama za werevu sio za wajinga wajinga.. jifunzeni kujibu maswali yenye hoja , kwa hoja nzuri ya jibu.. sio vitisho vitisho vya mwaka 47
Ni rahisi kuthibitisha yupo badala ya kuthibitisha kuwa hayupo. Pole kwa kusema mpumbavu, nimenukuu tu biblia.Hivyo unaamini kwa kuogopa kuitwa mpumbavu? Kama yupo kwanini aniache niwe mpumbavu na mwingine awe mwelewa? Unaweza kuthibitisha kuwa yupo?
Wewe mwanadamu uliye mtengeneza Mungu umekujaje duniani? (Binadamu wa kwanza kajaje?)Mimi ni kijana ambaye Kwa muda wa miaka 2 nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali hapa Jf katika jukwaa hili la intelligence. Moja ya mijadala ambayo imekuwa ikinivutia sana ni hii ya dhana ya uwepo wa Mungu.
Swali kubwa ambalo nimeku wa nikijiuliza ni " Mungu alitoka wapi"
Baada ya kuisoma sana biblia na Quran pamoja na kuwahoji viongozi mbalimbali wa dini, hatimaye nikapata jibu la swali lililonitatiza muda mrefu, Mungu alitoka wapi?
Nimegundua kuwa muumba wa Mungu ni mwanadamu. Yes mwanadamu kama Mimi na wewe ndiye aliyemuumba Mungu.
Kwanini nimefikia hitimisho hilo?
Vitabu tunavyoaminishwa kuwa ni vya Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu ( biblia & Quran) ni vitabu vyenye makosa mengi sana ya kimantiki na habari nyingi zenye utata, jambo ambalo tusingetegemea liwepo katika kitabu kilichoandikwa kwa muongozo kutoka kwa Mungu mkuu mwenye uwezo asiyeshindwa na kitu.
Uwepo wa habari hizo zenye utata zinadhihirisha moja kati ya mambo yafuatayo.
1. Mungu hana ukuu tunaoambiwa ndio sababu ameshindwa kutoa mwongonzo mzuri katika kuandika kitabu kisicho na makosa ya kimatinki.
2. Habari hizi ni zao la fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za giza na ujinga. Mwanadamu ambae alitaka kutafuta majibu mepesi katika maswali magumu yaliyomzunguka ndio sababu zina utata.
Kama jibu ni 1 basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo Bali aliyepo ni dhaifu na mbabaishaji aliyeshindwa kuandika vizuri kitabu kinachomuelezea yeye mwenyewe.
Kama jibu ni 2 ,basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo ndiyo sababu akatokea mtu akatunga habari kutokana na fikra zake mwenyewe. Angekuepo asingeruhusu magepu katika fikra za mwanadamu ambayo yamepelekea mwanadamu huyo kujitungia majibu mepesi na habari zenye utata ili kuziba hayo magepu katika fikra zake.
Pointi zote mbili utaona zinaonyesha kuwa Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu mjuzi wa yote hayupo Bali " ama aliyepo ni dhaifu,mbabaishaji na asiye na uelewa wowote kuhusu ulimwengu, ama dhana nzima ni hadithi ya kutungwa katika fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za ujinga na kukosa access ya taarifa mbalimbali.
Nawasilisha.
Sijui alikujaje....hill halifanyi jibu liwe mungu kaumba..Wewe mwanadamu uliye mtengeneza Mungu umekujaje duniani? (Binadamu wa kwanza kajaje?)
Hizi hoja ni ngumu na hakuna wa kukupa Majibu kwa wakati huu sana utaishia kushambuliwa tu na wanaoamini katika nadharia hii.Mimi ni kijana ambaye Kwa muda wa miaka 2 nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali hapa Jf katika jukwaa hili la intelligence. Moja ya mijadala ambayo imekuwa ikinivutia sana ni hii ya dhana ya uwepo wa Mungu.
Swali kubwa ambalo nimeku wa nikijiuliza ni " Mungu alitoka wapi"
Baada ya kuisoma sana biblia na Quran pamoja na kuwahoji viongozi mbalimbali wa dini, hatimaye nikapata jibu la swali lililonitatiza muda mrefu, Mungu alitoka wapi?
Nimegundua kuwa muumba wa Mungu ni mwanadamu. Yes mwanadamu kama Mimi na wewe ndiye aliyemuumba Mungu.
Kwanini nimefikia hitimisho hilo?
Vitabu tunavyoaminishwa kuwa ni vya Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu ( biblia & Quran) ni vitabu vyenye makosa mengi sana ya kimantiki na habari nyingi zenye utata, jambo ambalo tusingetegemea liwepo katika kitabu kilichoandikwa kwa muongozo kutoka kwa Mungu mkuu mwenye uwezo asiyeshindwa na kitu.
Uwepo wa habari hizo zenye utata zinadhihirisha moja kati ya mambo yafuatayo.
1. Mungu hana ukuu tunaoambiwa ndio sababu ameshindwa kutoa mwongonzo mzuri katika kuandika kitabu kisicho na makosa ya kimatinki.
2. Habari hizi ni zao la fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za giza na ujinga. Mwanadamu ambae alitaka kutafuta majibu mepesi katika maswali magumu yaliyomzunguka ndio sababu zina utata.
Kama jibu ni 1 basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo Bali aliyepo ni dhaifu na mbabaishaji aliyeshindwa kuandika vizuri kitabu kinachomuelezea yeye mwenyewe.
Kama jibu ni 2 ,basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo ndiyo sababu akatokea mtu akatunga habari kutokana na fikra zake mwenyewe. Angekuepo asingeruhusu magepu katika fikra za mwanadamu ambayo yamepelekea mwanadamu huyo kujitungia majibu mepesi na habari zenye utata ili kuziba hayo magepu katika fikra zake.
Pointi zote mbili utaona zinaonyesha kuwa Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu mjuzi wa yote hayupo Bali " ama aliyepo ni dhaifu,mbabaishaji na asiye na uelewa wowote kuhusu ulimwengu, ama dhana nzima ni hadithi ya kutungwa katika fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za ujinga na kukosa access ya taarifa mbalimbali.
Nawasilisha.
Unataka kujenga hoja ipi?Mungu baba ni muweza wa vyote
ili?Tengeneza mdoli muwekee pumzi mpe na akili ajitegemee
Msukule ni nini?Tengeneza mdoli muwekee pumzi mpe na akili ajitegemee
Ndio , mada imekuja baada ya kutolewa msukule
ThibitishaNi rahisi kuthibitisha yupo badala ya kuthibitisha kuwa hayupo. Pole kwa kusema mpumbavu, nimenukuu tu biblia.
Hayupo, angekuwepo asingejificha tumtafute na tutakaomkosa atuchome moto.Hizi hoja ni ngumu na hakuna wa kukupa Majibu kwa wakati huu sana utaishia kushambuliwa tu na wanaoamini katika nadharia hii.
Nenda katafute kitabu kinachoitwa HOMA YA DUNIA ni ngumu kukipata ila kinapatikana. Hakika ukikisoma utaona namna ambavyo Dunia imebadilishwa na Mfalme Constantine kiasi hivi sasa huwezi pata ukweli wowote kumuhusu Mwenyezi Mungu.
Ni huzuni kwa upande wangu kuona Mungu muweza wa yote Bado amekaa kimya. Hata baada ya kupotezewa viumbe wake kiasi hata kuandaa Jeshi la malaika ili siku Moja waje waiangamize na kutoka hukumu kwa Dunia hii aliyoitengeneza kwa uweza wake mwenyewe kwa kile kinachosemekana kumuhasi na kutotii kile anachokitaka Mwanadamu wake awe.
Unachokisoma Leo hii hakitakusidia kumjua huyo Mungu umtakayeHayupo, angekuwepo asingejificha tumtafute na tutakaomkosa atuchome moto.