Mfano wako wa sisimizi unahusiana nini na mjadala huu? ElezeaSasa we kijana mbona umeanzia mbali kujua uwepo wa MUNGU. So umeanzia kwako mwenyewe, Je mwanadamu alitokea wapi? Anzia hapo Tanya hizo tafiti.ndio Sasa uje kutafuta huyu anayeitwa MUNGU. HIVI una habari sisimizi akiwa kwenye basi Wala hajui kuwa basi linatembea au limesimama. Hata basi likifika Mwanza kwa mfano sisimizi anajiona Yuko pale pa siku zote.
Mungu hayupo....Mimi kusema hivyo hakunizuii kusikiliza hoja za MTU anaesema mungu yupo.Unachokisoma Leo hii hakitakusidia kumjua huyo Mungu umtakaye
😃😄Kama vile sisimizi asivyo kuwa na maarifa kujua Kama Yuko kwenye basi au aridhini, Kama asivyojua Kama yupo dereva au la na wewe NI sawa na sisimizi tu, hayo Mambo yako mbali sanaaaa na upeo wa akili yako. IMfano wako wa sisimizi unahusiana nini na mjadala huu? Elezea
Dada Connie, hayo makosa kwenye hivyo vitabu umejuaje ni makosa? umetumia kipimo gani kujua ni makosa? Hizo habari nyingi zenye utata huoni labda inatokana na kutozielewa kabisa hasa kutokana na utafiti ulioufanya kwa miaka 2 tu?Vitabu tunavyoaminishwa kuwa ni vya Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu ( biblia & Quran) ni vitabu vyenye makosa mengi sana ya kimantiki na habari nyingi zenye utata, jambo ambalo tusingetegemea liwepo katika kitabu kilichoandikwa kwa muongozo kutoka kwa Mungu mkuu mwenye uwezo asiyeshindwa na kitu.
Mbona unababaika,,,Jisimamie na jiamini na uwe na kauli moja,,,Unaonyesha una tatizo kwenye uelewa wako maana unatafuta makosa ndani ya vitabu vyenye makosa..Bali aliyepo ni dhaifu na mbabaishaji aliyeshindwa kuandika vizuri kitabu kinachomuelezea yeye mwenyewe.
Falsafa ni arm chair thinking. Kwa hiyo naweza hata sasa hivi nikatumia logical arguments na ku-prove kwamba wewe haupo; halafu in the same way, nikatumia the same logical arguments ku-prove kwamba binadamu aliwahi kuishi akiwa kama nyaniUnaweza kutaja vitu ambavyo falsafa inamfanya MTU aone havipo na vile ambavyo havipo vionekane kuwepo?
Unazidi kuipa hoja yangu nguvu kuwa hizi imani zinasababishwa na uvivu wa kufikiri..😃😄Kama vile sisimizi asivyo kuwa na maarifa kujua Kama Yuko kwenye basi au aridhini, Kama asivyojua Kama yupo dereva au la na wewe NI sawa na sisimizi tu, hayo Mambo yako mbali sanaaaa na upeo wa akili yako. I
Point yangu si kutaka wewe unipe evidence, Bali kukuonyesha kuwa hauko sahihi unaponiambia Mimi sitakiwi kuwahoji wanaotoa jibu la ulimwengu umeumbwa na mungu na nikae kimya kisa sina jibu ulimwengu umeanzaje sasa kwanini hao wenye majibu wasituonyeshe evidence zinazosapoti majibu yao? Unaniambia nijifunze mijadala nashindwa kukuelewa.
☝️😂 ona huu ujinga..... haujapinga kitu maana haujaleta points zako kuweza ku counter hoja za wale wanaosema Mungu yupo na mfano wako wa hesabu ni GARBAGE.Usipojua jibu halisi basi ni lazima uzijue kanuni za muhimu ambazo zinaweza kukuongoza kuutambua uongo unaotolewa kuhusu swali ambalo hata wewe hujui ukweli halisi na wa moja kwa moja vinginevyo hataweza kupinga.
Nimeweza kupinga dhana nzima ya mungu kuwepo kwa sababu ina utata na habari zinazojipinga hata kama Mimi mwenyewe sijui ulimwengu ulitokeaje.
Hapo ni kwa kutumia kanuni muhimu ya kuangalia logical consistency ya dhana nzima bila haja ya kujua ulimwengu ulianzaje.
Bado tunarudi palepale....ninachokifanya mimi ninahoji uthabiti wa dhana ya uwepo wa mungu, wewe unanilazimisha nijue kwanza jibu la ulimwengu ulitoka wapi ndio nihoji uthabiti wa dhana ya mungu.1. Kwanza umebisha na kukataa hoja zao bila kuleta hoja zako hii inaonesha hauelewi nini maama ya mjadala siku zote uki object point ya mtu basi leta ya kwako yenye mantiki KITU AMBACHO HAUJAFANYA.
2. Nimekuomba ulete ushahidi wako wa kwamba nini kiliumba au kilileta binadamu bado unaniuliza maswali ambayo yaani unazidisha maswali zaidi inaonesha HAUNA UELEWA WANINI MAANA YA MJADALA.
Kwanini unaandikia mate??Falsafa ni arm chair thinking. Kwa hiyo naweza hata sasa hivi nikatumia logical arguments na ku-prove kwamba wewe haupo; halafu in the same way, nikatumia the same logical arguments ku-prove kwamba binadamu aliwahi kuishi akiwa kama nyani
Hujaelewa nini? Unataka mpaka kitu kipotee. Falsafa ni nini?Kwanini unaandikia mate??
Kufikiria tu mtu mwanaume akamwaga shawaha zake kwa mtu mwanamke Kisha akapatikana kiumbe chenye damu na nyama kwa rangi tofauti tofaut Kama mweus ,mweupe ,nkKijana unatikisa mbuyu umejikuta unatikisa makalio yako mwenyewe.
Hata kama huamini achana na hilo DUDE linaloitwa MUNGU. Lipo nje ya uwezo wako kulielewa.
tafuta muda wa peke yako, uyaangalie mazingira yako milima na mabonde, nyota angani, wanyama, samaki, wadudu, ndege, n.k (angalia usiku na muda wa mchana)
Utaanza taratibu kugundua kuwa kumuamini MUNGU inahitaji kuuvua huo ujuaji wako.
tuliza akili kijana!
Andika kwa mifano, mfano uliposema unaweza kuthibitisha mimi sipo ungethibitisha kabisa sio kuishia kuandikia mateHujaelewa nini? Unataka mpaka kitu kipotee. Falsafa ni nini?
Ni uhalisia au wazo lako wewe na watu wa hesabu ? Naomba uthibitishe kama kuna Infinity series na uniambie nini maana yake hasa ?Ndiyo infinity series zipo.
Hata 1+2+3... Ni infinity series.
Sijabadili chochote zaidi ya kukupa ufafanuzi na mfano husika.Ulianza kwa kusema sheria kali sijui uliitolea wapi, kwamba kila kilichopo lazima kina chanzo, nkakwambia Mungu yupo ina maana ana chanzo??
Ukabadili na kusema yeye hana chanzo, Kumbe ile sentensi ulikosea...kumbe sio kila kilichopo kina chanzo.
Na kama hii sheria ni batili, ina maana inawezekana hata vitu vikawepo bila chanzo (mfano Mungu)
Na kama sio kila kilichopo kina chanzo (kwa mfano Mungu yupo na haihitaji chanzo) basi kumbe inawezekana hata vitu vikawepo bila chanzo.
Maana kumbe sheria yako ni batili.
Nini kinazuia vitu vingine visiwepo bila chanzo kama Mungu ameweza kuwepo bila chanzo?
Unajua maana ya Falsafa; kwanza labda turudi huko. Falsafa ni nini, by definition?Andika kwa mifano, mfano uliposema unaweza kuthibitisha mimi sipo ungethibitisha kabisa sio kuishia kuandikia mate
Nimecheka sana, nimekupa kazi naona umeshindwa.Ww ni mjinga wa tafsiri ya neno imani, Imani sio uhalisia. Ishia tu hapo hapo usiendelee.