Unajua Mungu aliumbwa na nani?

Si uende umuulize yeye? Wewe una miaka mingapi? Je uliwahi kupata magonjwa ya akili au kuzimia au kifafa? Je ulisoma hicho ulichoandika kabla ya kukirusha? Unavyodhani wewe kwa hali yako jibu la swali lako ni lipi mwanangu?
 
Ameumba kila kitu kinachoonekana na kisichooonekana
Una uthibitisho gani yeye ndo kaviumba? Ulikuwepo ukamuona akiumba?

Na je yeye nani kamuumba? Na yuko wapi? Na anafanya nini saivi? Unaweza kumuita akaja akajieleza?
 
Una uthibitisho gani yeye ndo kaviumba? Ulikuwepo ukamuona akiumba?

Na je yeye nani kamuumba? Na yuko wapi? Na anafanya nini saivi? Unaweza kumuita akaja akajieleza?
Sitajibu huu ujinga wako utapambana mwenyewe
 
Wewe unataka MUNGU ajidhihirishe kwa namna gani kwako?
Kabla sijafunguka macho nilimtegemea kwa kipindi kirefu sana, akaniacha bila msaada wowote

Alikataa kunisaidia, ndo nikagundua kumbe naomba kitu kwa mtu ambaye hayupo, nikafuata njia nyingine nikafanikiwa.
 
Kabla sijafunguka macho nilimtegemea kwa kipindi kirefu sana, akaniacha bila msaada wowote

Alikataa kunisaidia, ndo nikagundua kumbe naomba kitu kwa mtu ambaye hayupo, nikafuata njia nyingine nikafanikiwa.
Mkuu Ipo siku utakuja kumjua MUNGU wa kweli
 
Mtu anaejifungia kwenye box la elimu moja tu ya sayansi pekee Ili kupata majibu ya hoja zake huwa kajifunga kwenye ufahamu.
Utadhani sayansi pekee ndio jawabu la KILA kitu
Hata hapo ulivyoandika umetumia sayansi.

Jaribu kuandika bila kutumia sayansi nitakuelewa zaidi.

Baniani mbaya, kiatu chake dawa.
 
Uneza kuta kila kitu ni Mungu, binadamu,wanyama, kila kitu ila tu hatujui
 
Yaani jamaa anakuja na hoja nyepesi hivi, kupinga uwepo wa Mungu? Mm nikadhani utaweka huo uliodai ni utafiti wa kushiba kutetea hoja yako. Lakni ni bla bla tu!
 
Unaweza kuthibitisha hili?? Maana umeweka claim isiyo na ushahidi wowote...Na hiyo claim mwenyewe naweza kusema kwa ulimwengu pia, Kuwa ulimwengu hahuhitaji chanzo kwakuwa haujawahi kutokuwepo.
Jibu swali nililokuuliza.
 
Siwezi kupoteza ATP zangu kujadili hizi mada, nenda katafute walugaluga huko mimi sina huo muda wa kubishana na wanaoipinga sayansi.
Shukrani.
Hii ndiyo shida ya kujadili mambo na mashabiki wa Sayansi. Mimi. Naishi katika Sayansi sababu ni mtu wa hayo mambo.

Kama wapo Wanasayansi au hata Wahandisi unao waamini walete nijadili ane nao, sababu hao wanaishi humo. Huenda tukaelewana nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…